NBAA YAANZISHA MFUMO MPYA WA USAJILI KWA NJIA YA MTANDAO(MEMS)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nWKESexIkS8/Xl0LrWBBFkI/AAAAAAALgaI/UgyU3uqT6QIbTldINDABsJdSBFvvmvwuACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeanzisha mfumo mpya wa usajili kwa njia ya mtandao( MEMS) kwa wanafunzi, wanachama na wadau wake ili kwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi hiyo imeeleza kuwa mfumo huo unatoa fursa kwa wanafunzi na wanachama kupata huduma mbalimbali zinazotolewa na Bodi ikiwa ni pamoja na kufanya usajili, kufanya malipo mbalimbali, kuhudhuria semina, kununua vitabu na kadhalika kupitia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VRHYeCCRgNw/VSgdCoNO6pI/AAAAAAAHQJw/QMd3z4aN0wQ/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Mfumo mpya wa upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao kuzinduliwa hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-VRHYeCCRgNw/VSgdCoNO6pI/AAAAAAAHQJw/QMd3z4aN0wQ/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, UHURU ONE YAANZISHA MFUMO MPYA WA MTANDAO WA 4G LTE
9 years ago
MichuziWACHIMBAJI WADOGO SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MFUMO MPYA WA UTOAJI LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO
10 years ago
Mtanzania25 Mar
TMA yaanzisha mfumo mpya kwa marubani
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeanzisha mfumo ambao unawawezesha marubani kupata taarifa za hali ya hewa kwa njia ya mtandao.
Hayo yalisemwa juzi, katika maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani, ambapo Meneja Masoko na Mahusiano wa TMA, Hellen Msemo, alisema kuwa kila shirika la ndege litapatiwa namba ya siri ya kuingia kwenye mfumo huo.
“Kila shirika la ndege litachukua taarifa kwa ajili ya safari zake na hii ni miongoni mwa jitihada za mamlaka...
9 years ago
VijimamboBENKI KUU YA TANZANIA YAANZISHA MFUMO MPYA WA MALIPO KWA MASAA 24 UTAJULIKANA KAMA TISS.
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Kampuni ya simu ya tigo,Uhuru One yaanzisha mfumo moya wa mtandao wa 4G LTE
katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam jana kwenye
mkutano juu ya kampuni ya Tigo kuanza kutumia mfumo wa kwanza Afrika wa
mawasiliano ya 4G DVNO ikishirikiana na Uhuru One.
Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bpdr7fm1SCE/Xk_4Bc5vlhI/AAAAAAALevc/FMlshmYrI8onWt8cwet4wZ4KRgN3sBtMgCLcBGAsYHQ/s72-c/e17ff0ac-672d-475d-9423-652b81637401.jpg)
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Basata yaanzisha mfumo mpya
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limeanzisha kanzidata ‘database’ ya kuhifadhi kumbukumbu na taarifa mbalimbali za kumbi za starehe na burudani nchini ili kurahisisha upatikanaji wa takwimu sahihi katika sekta ya sanaa.
Akizungumza jijini hivi karibuni wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa Basata kuhusu matumizi sahihi ya kanzidata, Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Godfrey Mngereza alisema wanaimani malengo ya kuhifadhi taarifa na...