Basata yaanzisha mfumo mpya
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limeanzisha kanzidata ‘database’ ya kuhifadhi kumbukumbu na taarifa mbalimbali za kumbi za starehe na burudani nchini ili kurahisisha upatikanaji wa takwimu sahihi katika sekta ya sanaa.
Akizungumza jijini hivi karibuni wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa Basata kuhusu matumizi sahihi ya kanzidata, Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Godfrey Mngereza alisema wanaimani malengo ya kuhifadhi taarifa na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cWdjAwLnL10/VM4WY_Wp6YI/AAAAAAAHAps/gRWwjYyKDmM/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
BASATA YAANZISHA MFUMO WA KUHIFADHI TAARIFA ZA KUMBI ZA BURUDANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-cWdjAwLnL10/VM4WY_Wp6YI/AAAAAAAHAps/gRWwjYyKDmM/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhMGPNoWFjg/VM4Wd37LleI/AAAAAAAHAp0/lAuS9GKkaWE/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
MUWSA yaanzisha mfumo mpya kuhifadhi taarifa
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka Moshi (MUWSA) imeanzisha kitengo cha mfumo wa kijiografia (GIS) kitakachokuwa na jukumu la kukusanya taarifa za wateja wa maji na kuzihifadhi katika mfumo wa kielektroniki...
10 years ago
Mtanzania25 Mar
TMA yaanzisha mfumo mpya kwa marubani
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeanzisha mfumo ambao unawawezesha marubani kupata taarifa za hali ya hewa kwa njia ya mtandao.
Hayo yalisemwa juzi, katika maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani, ambapo Meneja Masoko na Mahusiano wa TMA, Hellen Msemo, alisema kuwa kila shirika la ndege litapatiwa namba ya siri ya kuingia kwenye mfumo huo.
“Kila shirika la ndege litachukua taarifa kwa ajili ya safari zake na hii ni miongoni mwa jitihada za mamlaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nWKESexIkS8/Xl0LrWBBFkI/AAAAAAALgaI/UgyU3uqT6QIbTldINDABsJdSBFvvmvwuACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NBAA YAANZISHA MFUMO MPYA WA USAJILI KWA NJIA YA MTANDAO(MEMS)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nWKESexIkS8/Xl0LrWBBFkI/AAAAAAALgaI/UgyU3uqT6QIbTldINDABsJdSBFvvmvwuACLcBGAsYHQ/s320/0.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi hiyo imeeleza kuwa mfumo huo unatoa fursa kwa wanafunzi na wanachama kupata huduma mbalimbali zinazotolewa na Bodi ikiwa ni pamoja na kufanya usajili, kufanya malipo mbalimbali, kuhudhuria semina, kununua vitabu na kadhalika kupitia...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, UHURU ONE YAANZISHA MFUMO MPYA WA MTANDAO WA 4G LTE
9 years ago
VijimamboBENKI KUU YA TANZANIA YAANZISHA MFUMO MPYA WA MALIPO KWA MASAA 24 UTAJULIKANA KAMA TISS.
11 years ago
Tanzania Daima30 May
TCU yaanzisha mfumo utambuzi gharama za masomo
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imeanzisha mfumo wa utambuzi wa gharama za masomo kwa kila mwanafunzi wa elimu ya juu. Mfumo huo utatumika kama mwongozo kwa ajili ya serikali...
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Kampuni ya simu ya tigo,Uhuru One yaanzisha mfumo moya wa mtandao wa 4G LTE
katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam jana kwenye
mkutano juu ya kampuni ya Tigo kuanza kutumia mfumo wa kwanza Afrika wa
mawasiliano ya 4G DVNO ikishirikiana na Uhuru One.
Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez...