Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC ahimiza wazazi kutoficha viziwi

MKUU wa mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amewataka wazazi wenye watoto walio na ulemavu wa kusikia (Viziwi) kutowaficha ndani badala yake watoe taarifa kwa viongozi wa serikali za vijiji na mitaa ili wasaidiwe kupatiwa huduma muhimu ya elimu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAZAZI MKOANI RUVUMA WATAKIWA KUTOWAFICHA WATOTO VIZIWI.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu amewataka wazazi wenye watoto walemavu wa kusikia (Viziwi) kutowaficha ndani badala yake watoe taarifa kwa viongozi wa serikali za vijiji na mitaa ili wasaidiwe kupatiwa huduma muhimu ya elimu.  Ametoa wito huo leo wakati akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa chama cha Viziwi mkoa (CHAVITA) ambapo amewahakikishia kuwa serikali inathamini na kuwatambua viziwi kuwa ni kundi maalum katika jamii linalohitaji elimu maalum Ameongeza kusema kuwa huduma...

 

9 years ago

Habarileo

DC ahimiza walimu kushirikiana na wazazi

MKUU wa Wilaya Tarime, Glorious Luoga amewahimiza walimu kushirikiana na wazazi ili kuinua kiwango cha elimu wilayani hapa, hatua aliyosema itasaidia kufikia malengo yaliyokusudiwa na serikali.

 

10 years ago

Habarileo

Kawambwa ahimiza wazazi kuzuru maonesho ya elimu

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amewataka wazazi na walezi nchini kutembelea maonesho ya Elimu ya kimataifa katika viwanja vya maonesho vya Sabasaba jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa muhimu za elimu.

 

10 years ago

Dewji Blog

DC Songea ahimiza wazazi kuchangia chakula kukuza elimu

DSC00595

Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti.

Na demasho.com

 Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma imefanya tathimini ya elimu ya na matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2014 katika ukumbi wa EMAU Peremiho.

Katika tathimini hiyo mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti amewataka Madiwani ,Maafisa tarafa, Watendaji wa kata  na Watendaji wa Vijiji kuwapa elimu wazazi juu ya umuhimu wa kuchangia chakula cha kutosheleza muhula wa masomo ili kusaidia wanafunzi kufanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi-Wasioona wanahitaji msaada

BAADHI ya makundi ya watu wenye ulemavu yamekuwa yakikosa haki zao kutokana na maumbile waliyonayo. Makundi hayo ni ya watu wenye ulemavu ambayo hujikuta yakipambana na changamoto mbalimbali katika mazingira...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPB kuanzisha huduma kwa viziwi

BENKI ya Posta Tanzania (TPB) inatarajia  kuanzisha huduma maalumu kwa wateja wake wenye ulemavu, wakiwamo viziwi, ili wawe sehemu ya wanufaika wa huduma mbalimbali zilizoazishwa na benki hiyo. Ahadi hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi waenda Ikulu kudai uwakilishi

WANACHAMA wa taasisi mbalimbali za viziwi jana waliandamana hadi Ikulu ili kupata majibu ya barua waliyompelekea Rais Jakaya Kikwete ya kutaka amteue mjumbe kiziwi atakayeshiriki kwenye Bunge Maalumu la Katiba...

 

9 years ago

GPL

CHAVITA KUADHIMISHA WIKI YA VIZIWI DUNIANI

Ofisa wa jinsia na Maendeleo kutoka makao makuu ya Chama  cha Viziwi Tanzania (Chavita), Lupia Mwaisaka,(kushoto) akizungumza kwa kutumia ishara ya mikono.  Kulia kwake ni baadhi ya viongozi wenzake wa chama hicho wakiwa kwenye mkutano huo. Jane Malumbo  (kulia) ambaye ni mkalimani wa kutafsiri lugha ya alama aliyokuwa akizungumza, Lupia Mwaisaka,  akirekodiwa na wanahabari mbele ya viongozi hao.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UMIVITA mkombozi wa uchumi kwa viziwi

LICHA ya ulemavu wao, hawakuona sababu ya kukaa bila shughuli zitakazowaingizia fedha za kujikimu kimaisha, hivyo walitumia mikono na ubunifu wao kutengeneza pochi za rangi na ukubwa tofauti kwa kutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani