RC ahimiza wazazi kutoficha viziwi
MKUU wa mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amewataka wazazi wenye watoto walio na ulemavu wa kusikia (Viziwi) kutowaficha ndani badala yake watoe taarifa kwa viongozi wa serikali za vijiji na mitaa ili wasaidiwe kupatiwa huduma muhimu ya elimu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ITv1PMd3B2o/Ux3zQ6jLXqI/AAAAAAAFSxc/pnrdlysCP_g/s72-c/unnamed+(47).jpg)
WAZAZI MKOANI RUVUMA WATAKIWA KUTOWAFICHA WATOTO VIZIWI.
9 years ago
Habarileo24 Nov
DC ahimiza walimu kushirikiana na wazazi
MKUU wa Wilaya Tarime, Glorious Luoga amewahimiza walimu kushirikiana na wazazi ili kuinua kiwango cha elimu wilayani hapa, hatua aliyosema itasaidia kufikia malengo yaliyokusudiwa na serikali.
10 years ago
Habarileo20 Dec
Kawambwa ahimiza wazazi kuzuru maonesho ya elimu
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amewataka wazazi na walezi nchini kutembelea maonesho ya Elimu ya kimataifa katika viwanja vya maonesho vya Sabasaba jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa muhimu za elimu.
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
DC Songea ahimiza wazazi kuchangia chakula kukuza elimu
Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti.
Na demasho.com
Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma imefanya tathimini ya elimu ya na matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2014 katika ukumbi wa EMAU Peremiho.
Katika tathimini hiyo mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti amewataka Madiwani ,Maafisa tarafa, Watendaji wa kata na Watendaji wa Vijiji kuwapa elimu wazazi juu ya umuhimu wa kuchangia chakula cha kutosheleza muhula wa masomo ili kusaidia wanafunzi kufanya...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Viziwi-Wasioona wanahitaji msaada
BAADHI ya makundi ya watu wenye ulemavu yamekuwa yakikosa haki zao kutokana na maumbile waliyonayo. Makundi hayo ni ya watu wenye ulemavu ambayo hujikuta yakipambana na changamoto mbalimbali katika mazingira...
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
TPB kuanzisha huduma kwa viziwi
BENKI ya Posta Tanzania (TPB) inatarajia kuanzisha huduma maalumu kwa wateja wake wenye ulemavu, wakiwamo viziwi, ili wawe sehemu ya wanufaika wa huduma mbalimbali zilizoazishwa na benki hiyo. Ahadi hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Viziwi waenda Ikulu kudai uwakilishi
WANACHAMA wa taasisi mbalimbali za viziwi jana waliandamana hadi Ikulu ili kupata majibu ya barua waliyompelekea Rais Jakaya Kikwete ya kutaka amteue mjumbe kiziwi atakayeshiriki kwenye Bunge Maalumu la Katiba...
9 years ago
GPLCHAVITA KUADHIMISHA WIKI YA VIZIWI DUNIANI
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
UMIVITA mkombozi wa uchumi kwa viziwi
LICHA ya ulemavu wao, hawakuona sababu ya kukaa bila shughuli zitakazowaingizia fedha za kujikimu kimaisha, hivyo walitumia mikono na ubunifu wao kutengeneza pochi za rangi na ukubwa tofauti kwa kutumia...