Kawambwa ahimiza wazazi kuzuru maonesho ya elimu
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amewataka wazazi na walezi nchini kutembelea maonesho ya Elimu ya kimataifa katika viwanja vya maonesho vya Sabasaba jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa muhimu za elimu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
DC Songea ahimiza wazazi kuchangia chakula kukuza elimu
Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti.
Na demasho.com
Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma imefanya tathimini ya elimu ya na matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2014 katika ukumbi wa EMAU Peremiho.
Katika tathimini hiyo mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkirikiti amewataka Madiwani ,Maafisa tarafa, Watendaji wa kata na Watendaji wa Vijiji kuwapa elimu wazazi juu ya umuhimu wa kuchangia chakula cha kutosheleza muhula wa masomo ili kusaidia wanafunzi kufanya...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Wapinga Kawambwa kubakizwa elimu
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Dk. Kawambwa: Uwekezaji wa elimu si rahisi
WIZARA ya Maji imeunda Kamati Maalumu kufanya tathmini ya kina, ili kujua chanzo cha matukio ya kukatika kwa huduma ya maji mara kwa mara katika mtambo wa maji wa Ruvu...
11 years ago
Habarileo12 Mar
RC ahimiza wazazi kutoficha viziwi
MKUU wa mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amewataka wazazi wenye watoto walio na ulemavu wa kusikia (Viziwi) kutowaficha ndani badala yake watoe taarifa kwa viongozi wa serikali za vijiji na mitaa ili wasaidiwe kupatiwa huduma muhimu ya elimu.
9 years ago
Habarileo24 Nov
DC ahimiza walimu kushirikiana na wazazi
MKUU wa Wilaya Tarime, Glorious Luoga amewahimiza walimu kushirikiana na wazazi ili kuinua kiwango cha elimu wilayani hapa, hatua aliyosema itasaidia kufikia malengo yaliyokusudiwa na serikali.
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Kawambwa aeleza vigezo uongozi elimu
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Dk Slaa: Uswahiba wa JK, Kawambwa unaua elimu