Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia
Serikali ya Ethiopia imeonya kuwa watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame mkubwa uliokumba maeneo mengi nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
ICRC:Raia wanahitaji chakula S Kusini
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Watoto wanahitaji watu wa kuwaiga maishani
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Msaada wa chakula wahitajika Ethiopia
11 years ago
Michuzi
WASHINDI WA MAISHA PLUS NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 WAPATIKANA NA KUONDOKA NA MILIONI 50


11 years ago
Michuzi
NANI KUIBUKA NA MILIONI 20 KATIKA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014?

Wafuatao ni washiriki wa mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania ambao sasa wapo kijijini Maisha Plus wakiwania zawadi ya vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tzshs. Milioni 20.
MS 01: Elinuru M. Pallangyo - Arusha MS 02: Dorothy D. Pallangyo - Arusha MS 03: Leah D. Mnyambugwe - Dodoma MS 06: Martina G. Chitete - Iringa MS 08: Grace G. Mahumbuka - Kagera MS 10: Zinaida J. Kijeri - Kigoma MS 11: Upendo M. Msuya - Kilimanjaro MS 12: Neema U. Kivugo -...
11 years ago
Dewji Blog19 May
Hatimaye washindi wa Maisha Plus na Mama Shujaa wa Chakula 2014 wapatikana na kuondoka na Milioni 50
Bahati Muriga mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Tzshs. Milioni 25 aliyoshinda kwa ajili ya vifaa vya kilimo. Kutoka kulia ni Babu wa kijiji, Epheta Msiga wa DMB na Mkamiti Mgawe kutoka Oxfam.
Mshiriki Boniphace Meng’anyi Nyakena akipokea mfano wa hundi ya Tzshs. Milioni 25 alizoshinda katika msimu huu. Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Jane Foster, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kuyandabila, Babu...
11 years ago
GPL
HATIMAYE WASHINDI WA MAISHA PLUS NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 WAPATIKANA NA KUONDOKA NA MILIONI 50.
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Chakula cha kiasili kinavyovuta watu DR Congo