Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia

Serikali ya Ethiopia imeonya kuwa watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame mkubwa uliokumba maeneo mengi nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini

UN imeonya kuwa makumi ya maelfu ya watu huenda wakafa kwa njaa Sudan Kusini kutokana na mapigano makali yanayozuia usambazaji wa vyakula vya msaada

 

10 years ago

BBCSwahili

ICRC:Raia wanahitaji chakula S Kusini

Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu ICRC inasema kuwa maelfu ya watu nchini Sudan Kusini wanahitaji pakubwa chakula, maji na huduma za matibabu.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto wanahitaji watu wa kuwaiga maishani

Nimesoma kitabu cha mmoja wa madaktari bingwa wa magonjwa ya mifumo ya neva nchini Marekani, anayeitwa Ben Carson.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msaada wa chakula wahitajika Ethiopia

Zaidi ya watu milioni 8 nchini Ethiopia wanahitaji msaada wa dharura wa chakula kutokana na hali kali ya kiangazi ambayo imekumba baadhi ya maeneo ya taifa hilo.

 

11 years ago

Michuzi

WASHINDI WA MAISHA PLUS NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 WAPATIKANA NA KUONDOKA NA MILIONI 50

Bahati Muriga mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Tzshs. Milioni 25 aliyoshinda kwa ajili ya vifaa vya kilimo. Kutoka kulia ni Babu wa kijiji, Epheta Msiga wa DMB na Mkamiti Mgawe kutoka Oxfam. Mshiriki Boniphace Meng'anyi Nyakena akipokea mfano wa hundi ya Tzshs. Milioni 25 alizoshinda katika msimu huu. Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Jane Foster, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kuyandabila, Babu...

 

11 years ago

Michuzi

NANI KUIBUKA NA MILIONI 20 KATIKA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014?



Wafuatao ni washiriki wa mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania ambao sasa wapo kijijini Maisha Plus wakiwania zawadi ya vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tzshs. Milioni 20.
MS 01: Elinuru M. Pallangyo - Arusha MS 02: Dorothy D. Pallangyo - Arusha MS 03: Leah D. Mnyambugwe - Dodoma MS 06: Martina G. Chitete - Iringa MS 08: Grace G. Mahumbuka - Kagera MS 10: Zinaida J. Kijeri - Kigoma MS 11: Upendo M. Msuya - Kilimanjaro MS 12: Neema U. Kivugo -...

 

11 years ago

Dewji Blog

Hatimaye washindi wa Maisha Plus na Mama Shujaa wa Chakula 2014 wapatikana na kuondoka na Milioni 50

10268513_757703050918683_8268843824020390942_n

Bahati Muriga mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Tzshs. Milioni 25 aliyoshinda kwa ajili ya vifaa vya kilimo. Kutoka kulia ni Babu wa kijiji, Epheta Msiga wa DMB na Mkamiti Mgawe kutoka Oxfam.

10363668_513706802084613_3389523174439884372_n

Mshiriki Boniphace Meng’anyi Nyakena akipokea mfano wa hundi ya Tzshs. Milioni 25 alizoshinda katika msimu huu. Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Jane Foster, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kuyandabila, Babu...

 

11 years ago

GPL

HATIMAYE WASHINDI WA MAISHA PLUS NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 WAPATIKANA NA KUONDOKA NA MILIONI 50.‏

Bahati Muriga mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Tzshs. Milioni 25 aliyoshinda kwa ajili ya vifaa vya kilimo. Kutoka kulia ni Babu wa kijiji, Epheta Msiga wa DMB na Mkamiti Mgawe kutoka Oxfam. Mshiriki Boniphace Meng'anyi Nyakena akipokea mfano wa hundi ya Tzshs.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Chakula cha kiasili kinavyovuta watu DR Congo

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, migahawa inayouza chakula cha kiasili imeanza kuvutia watu sana, wengi wakisema chakula hicho ni bora kwa afya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani