Hatimaye washindi wa Maisha Plus na Mama Shujaa wa Chakula 2014 wapatikana na kuondoka na Milioni 50
Bahati Muriga mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Tzshs. Milioni 25 aliyoshinda kwa ajili ya vifaa vya kilimo. Kutoka kulia ni Babu wa kijiji, Epheta Msiga wa DMB na Mkamiti Mgawe kutoka Oxfam.
Mshiriki Boniphace Meng’anyi Nyakena akipokea mfano wa hundi ya Tzshs. Milioni 25 alizoshinda katika msimu huu. Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Jane Foster, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kuyandabila, Babu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http://2.bp.blogspot.com/-sfbFuoB50Xc/U3msP5vTDwI/AAAAAAAAVio/X4AboTS2Di4/s1600/10268513_757703050918683_8268843824020390942_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime)
HATIMAYE WASHINDI WA MAISHA PLUS NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 WAPATIKANA NA KUONDOKA NA MILIONI 50.
Bahati Muriga mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Tzshs. Milioni 25 aliyoshinda kwa ajili ya vifaa vya kilimo. Kutoka kulia ni Babu wa kijiji, Epheta Msiga wa DMB na Mkamiti Mgawe kutoka Oxfam. Mshiriki Boniphace Meng'anyi Nyakena akipokea mfano wa hundi ya Tzshs.…
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sfbFuoB50Xc/U3msP5vTDwI/AAAAAAAAVio/X4AboTS2Di4/s72-c/10268513_757703050918683_8268843824020390942_n.jpg)
WASHINDI WA MAISHA PLUS NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 WAPATIKANA NA KUONDOKA NA MILIONI 50
![](http://2.bp.blogspot.com/-sfbFuoB50Xc/U3msP5vTDwI/AAAAAAAAVio/X4AboTS2Di4/s1600/10268513_757703050918683_8268843824020390942_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qsYfQsfvtOI/U3msQdY-LII/AAAAAAAAVis/53Dg4yTmTGo/s1600/10363668_513706802084613_3389523174439884372_n.jpg)
11 years ago
GPLHATIMAYE MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA MAISHA PLUS/MAMA SHUJAA WA CHAKULA YATANGAZWA RASMI
Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji wa Kampuni ya DMB ambao ni wamiliki wa Maisha Plus Masoud Ally (Kipanya) , Sharon Mariwa Meneja wa Mahusiano OXFAM, Francis Bonda(Kaka Bonda) Mkurugenzi wa Usanifu katika Kampuni ya DMB pamoja na Mkamiti Mgawe Afisa utetezi wa haki za kiuchumi OXFAM, wakati wa kutangaza rasmi majina ya waliochaguliwa katika Maisha Plus/ Mama Shujaa wa Chakula leo.
Afisa Mtendaji wa Kampuni ya DMB ambao ni...
11 years ago
MichuziHATIMAYE ZOEZI LA KUWACHAGUA WASHIRIKI WA MAISHA PLUS/ MAMA SHUJAA WA CHAKULA LAANZA RASMI. FOMU ZAIDI YA 4,000 ZAKUSANYWA
11 years ago
MichuziHATIMAYE MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 AKABIDHIWA ZAWADI YAKE WILAYANI UKEREWE MWANZA
11 years ago
GPLHATIMAYE MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 AKABIDHIWA ZAWADI ZAKE WILAYANI UKEREWE MWANZA
Mama Shujaa wa Chakula 2014 Bahati Muriga akitoa neno la Shukurani Baada ya Kukabidhiwa zawadi rasmi Wilayani Ukerewe jijini Mwanza. Eluka Kibona kutoka Oxfam akimkabidhi ufunguo wa Pikipiki Mshindi wa…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hR8BGW183EU/U3DdrfIn4cI/AAAAAAAAVYQ/WXvwGjTDTaY/s72-c/top20843ad.png)
NANI KUIBUKA NA MILIONI 20 KATIKA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014?
![](http://4.bp.blogspot.com/-hR8BGW183EU/U3DdrfIn4cI/AAAAAAAAVYQ/WXvwGjTDTaY/s1600/top20843ad.png)
Wafuatao ni washiriki wa mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania ambao sasa wapo kijijini Maisha Plus wakiwania zawadi ya vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tzshs. Milioni 20.
MS 01: Elinuru M. Pallangyo - Arusha MS 02: Dorothy D. Pallangyo - Arusha MS 03: Leah D. Mnyambugwe - Dodoma MS 06: Martina G. Chitete - Iringa MS 08: Grace G. Mahumbuka - Kagera MS 10: Zinaida J. Kijeri - Kigoma MS 11: Upendo M. Msuya - Kilimanjaro MS 12: Neema U. Kivugo -...
9 years ago
VijimamboMAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 BAHATI MURIGA KUHUDHURIA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI WASHINGTON DC
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania