Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chakula cha kiasili kinavyovuta watu DR Congo

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, migahawa inayouza chakula cha kiasili imeanza kuvutia watu sana, wengi wakisema chakula hicho ni bora kwa afya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DKT.MENGI AUNGANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWENYE CHAKULA CHA MCHANA ALICHOWAANDALIA

Watoto wenye Albinism, wakipata "msosi", wakati wa hafla ya chakula cha mchana kila mwaka inayoandaliwa na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dkt. Reginald Mengi, kwa watu wenye ulemavu. Hafla ya mwaka huu ilifanyika pale ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, siku ya Jumapili Januari 25, 2015. Kwa uchache watu 4,000 walihudhuria hafla hiyo.MWENYEKITI Mtendaji wa IPP, Dkt. Reginald Mengi, Jumapili Januari 26, 2015, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, aliwaalika watu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 70 wauawa Mashariki mwa Congo-UM

Umoja wa Mataifa umesema kuwa zaidi ya watu 70 waliuawa mwisho wa mwezi uliopita na mapema mwezi huu Mashariki mwa DRC.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu Congo Brazaville wakimbilia DRC

Wakimbizi kutoka Congo Brazaville wanakimbilia Congo Kinshasa. Kunani?

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia

Serikali ya Ethiopia imeonya kuwa watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame mkubwa uliokumba maeneo mengi nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Congo DRC yathibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona

Kisa cha kwanza cha virusi vya Corona kimethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Msemaji wa wizara ya Afya amesema Jumanne.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vyakula vya kiasili: Matoke

Vyakula vya nyumbani vinapendwa na watu wengi wanaoishi mataifa ya nje, na ni moja ya biashara inayoleta faida kwa wanaoifanya.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini

UN imeonya kuwa makumi ya maelfu ya watu huenda wakafa kwa njaa Sudan Kusini kutokana na mapigano makali yanayozuia usambazaji wa vyakula vya msaada

 

10 years ago

Vijimambo

Chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani la Kanisa hilo, Askofu Alex Malasusa pamoja na wachungaji wengine wa KKKT wakati wa chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, tawi la Dar Es Salaam, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee usiku wa Ijumaa, Machi 12, 2015. Katika uchangiaji huo, Rais Kikwete...

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyeua watu 77 atishia kususia chakula hadi afe

Mwanamume aliyeua watu 77 nchini Norway ametishia kususia chakula hadi afariki dunia, akilalamika kwamba anateswa gerezani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani