Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyakula vya kiasili: Matoke

Vyakula vya nyumbani vinapendwa na watu wengi wanaoishi mataifa ya nje, na ni moja ya biashara inayoleta faida kwa wanaoifanya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Vyakula vya kigeni vinavyopendwa Afrika

Katika mfululizo wa makala kuhusu chakula cha kiasili cha Kiafrika, leo tunaangazia vyakula ambavyo si asili ya Afrika lakini vinatumiwa sana katika bara la Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la vyakula vya Kihindi Jumapili

TAMASHA la vyakula vya Kihindi lenye lengo la kuongeza urafiki miongoni mwa Watanzania wanaovutiwa na vyakula hivyo linatarajiwa kufanyika viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaam keshokutwa. Akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtemvu agawa vyakula vya mil.6/-

MBUNGE wa Temeke, Abbas Mtemvu amegawa vyakula vyenye thamani ya sh milioni sita kwa vituo 15 vya kulea watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu wilayani Temeke jijini Dar es...

 

9 years ago

Mwananchi

Vyakula vya kuepuka unapopunguza unene

Hivi karibuni Shirika la Afya Duniani (WHO), limeonya kuhusu ongezeko la watu wenye unene wa kupitiliza, huku wakitaja hiyo kuwa ni sababu kuu ya kuwapo kwa watu wengi wenye maradhi ya moyo, kisukari na ini.

 

10 years ago

Mtanzania

Ulaji vyakula vya asili huzuia saratani’

BalancedDietNa Michael Sarungi, Dar es Salaam
WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kula vyakula vya asili katika kujikinga na ugonjwa wa saratani, ambao hivi sasa umekuwa tishio duniani.
Mbali na hilo, pia wametakiwa kuepuka uvutaji wa sigara, ulevi wa kupindukia na kubadili aina ya maisha kama njia ya kukabiliana na ugonjwa huo.
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, daktari bingwa wa magonjwa ya saratani wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk. Harrison Chuwa, alisema katika kipindi cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Vyakula vya watoto vyadaiwa kuwekwa dawa za kulevya

Tahadhari imetolewa kwa wazazi kuwa makini na vyakula wanavyokula watoto wao kufuatia kuibuka kwa mbinu mpya ya wauzaji dawa za kulevya kuweka dawa zao hizo kwenye vyakula vinavyopendwa na watoto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyakula vya asili kunogesha Tamasha la Handeni Kwetu

BAADHI ya vyakula vya asili ya Handeni, vinatarajiwa kuwapo katika Tamasha la Utamaduni la Handeni Kwetu 2013 linalotarajiwa kufanyika Jumamosi kwenye viwanja vya Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Akizungumza mjini...

 

10 years ago

Habarileo

Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu

IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.

 

10 years ago

GPL

MJASIRIAMALI WA VYAKULA VYA MIFUGO AJISHINDIA PIKIPIKI YA STARTIMES

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimuelekeza mshindi wa droo ya tatu ya mwezi wa Aprili, Bi Mary Luis Tumsifu, mfanyabiashara wa vyakula vya mifugo na mfugaji pia, mkazi wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam namna ya kuchomeka ufunguo wa pikipiki katika hafla fupi iliyofanyika katika duka la kampuni hiyo zilizopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kujiunga na bahati nasibu hiyo wateja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani