Watu 70 wauawa Mashariki mwa Congo-UM
Umoja wa Mataifa umesema kuwa zaidi ya watu 70 waliuawa mwisho wa mwezi uliopita na mapema mwezi huu Mashariki mwa DRC.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Watu 40 wauawa Mashariki mwa DRC
Ripoti kutoka Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinasema kuwa raia 40 wameuawa kwenye mapigano mjini Kamango
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
FDLR tishio mashariki mwa Congo Dr
Wajumbe wa mashirika ya kiraia kusini mwa tarafa la Lubero jimboni kivu kaskazini, wanasema FDLR ni tihsio katika maeneo yao.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Mila ya ukeketaji mashariki mwa DR Congo
Umoja wa mataifa unasema wanawake na wasichana milioni mia moja thelathini mashariki ya kati na barani Afrika wamekeketwa
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Waasi waua 38 Mashariki mwa Congo
Watu 38 waliuawa hapo jana katika makabiliano kati ya majeshi ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo na wanamgambo wa kiislamu kutoka Uganda.
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
30 wauawa Mashariki mwa DRC
Takriban watu 30 wakiwemo watoto na wanawake wameuawa katika mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Watu 32 wauawa kaskazini mwa Nigeria
Watu 32 wameuawa kwenye shambulio la bomu la kujitoa mhanga katika mji wa Yola, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
5 years ago
CCM Blog25 May
WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA
![Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa Somalia](https://media.parstoday.com/image/4bsf62bea2a6c61djed_800C450.jpg)
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Polisi 5 wauawa mpakani mwa Kenya na Somalia
Idara ya polisi nchini Kenya imesema kuwa polisi 5 na raia 2 wameuawa katika shambulizi mpakani mwa Kenya na Somalia.
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Amani yadumishwa mashariki mwa Ukraine
Usitishwaji mapigano unaonekana kudumishwa kati ya wanajeshi wa serikali na waasi wanaongwa mkono na Urusi mashariki mwa Ukrain.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania