Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 32 wauawa kaskazini mwa Nigeria

Watu 32 wameuawa kwenye shambulio la bomu la kujitoa mhanga katika mji wa Yola, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Watu 40 wauawa Mashariki mwa DRC

Ripoti kutoka Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinasema kuwa raia 40 wameuawa kwenye mapigano mjini Kamango

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 70 wauawa Mashariki mwa Congo-UM

Umoja wa Mataifa umesema kuwa zaidi ya watu 70 waliuawa mwisho wa mwezi uliopita na mapema mwezi huu Mashariki mwa DRC.

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA

Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa SomaliaDuru za habari nchini Somalia zimeripoti kujiri mripuko wa bomu Jumapili usiku katika mji wa Baidoa, kusini mwa nchi hiyo.Kwa mujibu wa ripoti, bomu hilo liliripuka wakati wa sherehe za Idul-Fitr katika mji huo. Aidha duru za habari zimearifu kwamba katika hujuma hiyo kwa akali watu watano wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa. Hadi sasa hakuna kundi lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawa inadhaniwa kwamba kundi la kigaidi la ash-Shabab ndilo lililotekeleza jinai hiyo. Kundi la...

 

10 years ago

BBCSwahili

watu 30 wauawa Nigeria

Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini

Watu 29 wameuawa kati mji mkuu wa jimbo la Borno Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kujilipua ndani ya msikiti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 25 wauawa Zaria Nigeria

Maafisa wa serikali Kaskazini mwa Nigeria wamesema watu 25 wameuawa katika shambulio la bomu la kujitolea mhanga katika mji wa Zaria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Karibu watu 60 wauawa Nigeria

Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa karibu watu 60 huenda waliuawa katika kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa nchi

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wauawa msikitini Nigeria

Watu 30 wamefariki baada ya kutokea kwa milipuko miwili katika msikiti ulio karibu na mji wa Maiduguri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 18 wauawa na Boko Haram-Nigeria

Wapiganaji wa Kiislamu nchini NIgeria wamekishambulia kijiji Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo na kuwaua kiasi ya watu 18.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani