Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyeua watu 77 atishia kususia chakula hadi afe

Mwanamume aliyeua watu 77 nchini Norway ametishia kususia chakula hadi afariki dunia, akilalamika kwamba anateswa gerezani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia:Familia zatishia kususia chakula

Jamaa za abiria wa China waliokuwa kwenye ndege ya Malaysia,wametisha kususia chakula ikiwa Malaysia haitasema ukweli kuhusu ndege iliyotoweka

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyeua watu 12 anusurika hukumu ya kifo

Mtu aliyewaua watu 12 katika onyesho la filamu,Marekani,amenusurika hukumu ya kifo na badala yake atatumikia kifungo cha maisha jela

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia

Serikali ya Ethiopia imeonya kuwa watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame mkubwa uliokumba maeneo mengi nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini

UN imeonya kuwa makumi ya maelfu ya watu huenda wakafa kwa njaa Sudan Kusini kutokana na mapigano makali yanayozuia usambazaji wa vyakula vya msaada

 

9 years ago

BBCSwahili

Chakula cha kiasili kinavyovuta watu DR Congo

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, migahawa inayouza chakula cha kiasili imeanza kuvutia watu sana, wengi wakisema chakula hicho ni bora kwa afya.

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yawahukumu watu Sita kunyongwa hadi kufa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewahukumu kunyongwa hadi kufa  washtakiwa sita  katika kesi ya mauaji ya askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wa mkoani Morogoro na mfanyakazi wa Benki ya NMB.

 

11 years ago

Michuzi

WATU 379 WAAMBUKIZWA VVU IRINGA OKTOBA HADI DISEMBA 2013

Mstahiki meya wa halmashauri ya manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi akifungua kikao kwa maombi katika baraza la madiwani lilofanyika mwishoni mwa wiki kushoto ni naibu meya Gervas Ndaki na kulia  Mkurugen Theresia  Mahongo kikao kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Manispaa. (picha na Denis Mlowe)
Juu na chini ni Madiwani wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa wakiwa katika kikao cha baraza kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri mwishoni mwa wiki.  Habari na picha na Denis...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT.MENGI AUNGANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWENYE CHAKULA CHA MCHANA ALICHOWAANDALIA

Watoto wenye Albinism, wakipata "msosi", wakati wa hafla ya chakula cha mchana kila mwaka inayoandaliwa na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dkt. Reginald Mengi, kwa watu wenye ulemavu. Hafla ya mwaka huu ilifanyika pale ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, siku ya Jumapili Januari 25, 2015. Kwa uchache watu 4,000 walihudhuria hafla hiyo.MWENYEKITI Mtendaji wa IPP, Dkt. Reginald Mengi, Jumapili Januari 26, 2015, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, aliwaalika watu...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mafufu: Hata Afe Ray Sitamzika

HATARI! Mkongwe wa Bongo Movies, Jimmy Mafufu ameonesha hisia kali baada ya kutoa kiapo kuwa hatahudhuria msiba wa msanii yeyote, hata afe Vincent Kigosi ‘Ray’ kufuatia wasanii kutompa ushirikiano wakati wa kifo na mazishi ya marehemu baba yake mzazi, Mchungaji Mafufu.

Akizungumza na gazeti hili kwa uchungu, Mafufu alisema hivi karibuni alifiwa na baba yake mzazi lakini aliumizwa sana baada ya kupigiwa simu ya pole na wasanii wawili tu, wakati yeye muda wote alijitoa kwenye misiba ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani