Msaada wa chakula wahitajika Ethiopia
Zaidi ya watu milioni 8 nchini Ethiopia wanahitaji msaada wa dharura wa chakula kutokana na hali kali ya kiangazi ambayo imekumba baadhi ya maeneo ya taifa hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SYu-fglh-Y4/VlCyJ1dNIwI/AAAAAAAIHrk/8Kk5ZmPkIT4/s72-c/0a71d082-9c10-4605-923a-0e0777004614.jpg)
MSAADA WAHITAJIKA KWA MAPACHA WALIOUNGANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-SYu-fglh-Y4/VlCyJ1dNIwI/AAAAAAAIHrk/8Kk5ZmPkIT4/s640/0a71d082-9c10-4605-923a-0e0777004614.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Msaada wahitajika kwa Watoto Mapacha walioungana!
Pichani ni watoto Zahra na Zarina wamezaliwa pacha walioungana tarehe 16/11/15 mama yao Bi Tausi Hageze akiwa njiani kwenye boda boda akitokea kijiji cha Nyarurema Tarafa ya Rulenge Wilaya ya Ngara akielekea hopitali ya misheni Rulenge.
Alipopata uchungu wa kuzidi alimuomba bodaboda asimame akaweza kujifungua kwa shida mbele ya mumewe anaeitwa Hamdani hapo njiani.
Baada ya hapo wakapelekwa hospitali ya misheni Rulenge. Mama na watoto wako salama, kama unavyo ona katika picha...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
WFP kupunguza msaada wa chakula Uganda
10 years ago
BBCSwahili11 May
UN:Raia hawana msaada wa chakula S Kusini
10 years ago
Habarileo27 Jun
Mbunge aomba chakula cha msaada Kwimba
WILAYA ya Kwimba inakabiliwa na njaa, hali ambayo mbunge wa Sumve , Richard Ndassa ameomba Serikali kuwaletea wananchi chakula cha msaada.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Somalia:7 wauawa wakisubiri chakula cha msaada
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCpsuxl3BYk/VQhhYsiKeAI/AAAAAAAHLH0/jGrl9YzpJ38/s72-c/SAM_3111%5B1%5D.jpg)
TTCL yakabidhi msaada wa chakula kwa wahanga wa mafuriko Kahama
Msaada huo umekabidhiwa na Meneja wa TTCL mkoa wa Shinyanga Peter Kuguru kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Dkt. Kamugisha Kazaura.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa TTCL Bw. Peter Kuguru alisema TTCL inawapa pole sana wahanga wa tukio hilo na...
11 years ago
MichuziSERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAKIMBIZI NCHINI