Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WFP kupunguza msaada wa chakula Uganda

Shirika la chakula duniani WFP limetangaza kuwa litapunguza kwa nusu kiwango chake cha msaada wa chakula nchini Uganda

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

WFP kupunguza chakula cha wakimbizi

Shirika la Umoja wa Mataifa linalosimamia chakula WFP limesema kuwa litapunguza kiwango cha chakula kwa takriban wakimbizi nusu milioni kazkazini mwa Kenya kutokana na ukosefu wa ufadhili.

 

9 years ago

Habarileo

Shein aahidi kupunguza uagizaji chakula nje

MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Ali Mohamed Shein amesema atahakikisha Zanzibar inajitosheleza kwa chakula na kupunguza uagizaji wa chakula nje ya nchi, kwa kuimarisha kilimo cha umwagiliaji mpunga mashambani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Msaada wa chakula wahitajika Ethiopia

Zaidi ya watu milioni 8 nchini Ethiopia wanahitaji msaada wa dharura wa chakula kutokana na hali kali ya kiangazi ambayo imekumba baadhi ya maeneo ya taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngono badala ya chakula nchini Uganda

Baadhi ya wananchi wa Uganda wametoa maoni tofauti kufuatia kauli ya Waziri anayehusika na maadili nchini humo Dokta Simon Lokodo.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Raia hawana msaada wa chakula S Kusini

UN inasema kuwa mamia ya maelfu ya raia hawana msaada wa kuokoa maisha yao kufuatia kuondolewa kwa msaada wa kibinaadamu

 

9 years ago

BBCSwahili

Somalia:7 wauawa wakisubiri chakula cha msaada

Polisi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu wameripotiwa kuua watu saba wakati wa shuguli ya mgao wa chakula cha msaada katika kambi moja ya wakimbizi.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge aomba chakula cha msaada Kwimba

WILAYA ya Kwimba inakabiliwa na njaa, hali ambayo mbunge wa Sumve , Richard Ndassa ameomba Serikali kuwaletea wananchi chakula cha msaada.

 

10 years ago

Michuzi

TTCL yakabidhi msaada wa chakula kwa wahanga wa mafuriko Kahama

Kampuni ya Simu Tanzania(TTCL) yakabidhi msaada wa chakula kwa wahanga wa mafuriko Kahama. Msaada uliotolewa ni pamoja na mchele kilo 740, unga kilo 600, maharage kilo 300 na mafuta ya kupikia lita 260.
Msaada huo umekabidhiwa na Meneja wa TTCL mkoa wa Shinyanga Peter Kuguru kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Dkt. Kamugisha Kazaura.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa TTCL Bw. Peter Kuguru alisema TTCL inawapa pole sana wahanga wa tukio hilo na...

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAKIMBIZI NCHINI

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kupokea msaada wa chakula kwa ajili ya Wakimbizi wa Kambi ya Nyarugusu, mkoani Kigoma chenye thamani ya Dola ya Marekani 1.4 sawa na zaidi ya Shilingi 2.3 Bilioni, ambazo zimetolewa na Serikali ya Japan. Kushoto ni Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada na Mkurugenzi Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP), Richard Regan. Waziri Chikawe alipokea msaada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani