Shein aahidi kupunguza uagizaji chakula nje
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Ali Mohamed Shein amesema atahakikisha Zanzibar inajitosheleza kwa chakula na kupunguza uagizaji wa chakula nje ya nchi, kwa kuimarisha kilimo cha umwagiliaji mpunga mashambani.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWABUNGE WAUNGA MKONO ZUIO LA SERIKALI UAGIZAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema inaendelea kuunga mkono zuio la serikali kwa wakandarasi wa miradi mbalimbali ya umeme nchini kuagiza vifaa husika nje ya nchi.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Machi 14 mwaka huu, baada ya Kamati hiyo kufanya ziara katika viwanda vya Europe Inc. Industries Ltd (Tropical) na Kilimanjaro Cables (T) Ltd (Africab), vinavyozalisha nyaya za umeme na mashine umba (transfoma), Mwenyekiti wa Kamati husika, Dunstan...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Mghwira aahidi kusimamia mapato ya kodi kupunguza umasikini
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
WFP kupunguza chakula cha wakimbizi
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
WFP kupunguza msaada wa chakula Uganda
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Mghwira aahidi Kigoma kuwa ghala la chakula
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
KIWANDA CHA VIFAA TIBA SIMIYU KUIPUNGUZIA MSD UAGIZAJI WA VIFAA TIBA NJE YA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VONAHJgFaYA/XrxQ_B9yqGI/AAAAAAALqJU/6CDuxYVsGVsi2g7020fjXibbMwiaZNw0QCLcBGAsYHQ/s72-c/shishi.jpg)
SHILOLE AAHIDI KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI 2020 KUPITIA JUKWAA LA TUNAWEZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VONAHJgFaYA/XrxQ_B9yqGI/AAAAAAALqJU/6CDuxYVsGVsi2g7020fjXibbMwiaZNw0QCLcBGAsYHQ/s1600/shishi.jpg)
Na Khadija Seif, Michuzi tv
MSANII wa Bongofleva Zuwena Mohammed a.k.a Shilole (pichani) amejipanga kutengeneza baba Bora 2020 na kupunguza vifo vya wakina mama kupitia jukwaa la "Tunaweza.
Akizungumza na waandishi wahabari jijini Dar es salaam wakati akitangazwa rasmi kuwa balozi wa jukwaa la "Tunaweza" kupitia taasisi ya Smart Generation inayolenga kutoa elimu pamoja na kubadili mitazamo mibaya kwa vijana pamoja na jamii kwa ujumla Shilole amesema akiwa kama mama yupo tayari kupunguza idadi...
10 years ago
Habarileo13 Jul
Shein aahidi ushindi wa kishindo Zanzibar
MGOMBEA Urais wa CCM kwa Tanzania Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Dk Ali Mohammed Shein amesema anao uwezo wa kukipatia chama chake ushindi wa kishindo.
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Dk. Shein aahidi kuboresha elimu Pemba
Na Esther Mbussi, Zanzibar
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohamed Shein, ameahidi kutoa kompyuta na kuongeza idadi ya walimu wa masomo ya sayansi katika shule za sekondari Kusini Unguja.
Akizungumza katika mkutano wa kampeni eneo la Paje, Kusini Unguja Dk. Shein alisema kuongeza idadi ya walimu wa masomo ya sayansi kutasaidia kuongeza ufaulu wa masomo hayo.
“Serikali itaboresha sekta ya elimu kwa kujenga shule na tayari tunamalizia shule 22 tulizoanza...