KIWANDA CHA VIFAA TIBA SIMIYU KUIPUNGUZIA MSD UAGIZAJI WA VIFAA TIBA NJE YA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Mhe. ngella Kairuki akiteta jambo katika Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali, Wawekezaji na Wafanyabiashara mkoani Simiyu iliofanyika Februari 25, 2020 Mjini Bariadi.
Baadhi ya Wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu wakifuatilia hoja na maelezo kutoka kwa Viongozi wa Serikali wakati wa Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali, Wawekezaji na Wafanyabiashara mkoani Simiyu uliofanyika Februari 25, 2020 Mjini Bariadi.
Mwenyekiti wa Chama cha...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oajSCfq5SuA/VJl4KswUo3I/AAAAAAABAW0/HtQO0itP3Zw/s72-c/DSC_0819.jpg)
MSD YAKUBALI AGIZO LA SERIKALI KUWEKA ALAMA KATIKA DAWA NA VIFAA TIBA
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD),Cosmas Mwaifwani amesema bohari ya dawa imepokea agizo la serikali kuweka alama katika dawa za umma pamoja na vifaa tiba ili kuweza kudhibiti upotevu wa dawa pamoja na vifaa tiba.
Mwaifwani aliyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mikakati bohari hiyo katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi.
Alisema katika mkakati mwingine ni kuanzisha maduka ya jumla...
9 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
5 years ago
MichuziWABUNGE WAUNGA MKONO ZUIO LA SERIKALI UAGIZAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema inaendelea kuunga mkono zuio la serikali kwa wakandarasi wa miradi mbalimbali ya umeme nchini kuagiza vifaa husika nje ya nchi.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Machi 14 mwaka huu, baada ya Kamati hiyo kufanya ziara katika viwanda vya Europe Inc. Industries Ltd (Tropical) na Kilimanjaro Cables (T) Ltd (Africab), vinavyozalisha nyaya za umeme na mashine umba (transfoma), Mwenyekiti wa Kamati husika, Dunstan...
5 years ago
Michuzi15 Feb
DK KAWAMBWA AOMBA VIFAA TIBA KATIKA KITUO CHA AFYA MATIMBWA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200214-WA0056-1024x768.jpg)
…………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
MBUNGE wa Jimbo la Bagamoyo Mkoa wa Pwani Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa ameeleza kukamilika kwa kituo cha afya Matimbwa ni mkombozi kwa wakazi wa Yombo,Matimbwa na maeneo jirani ambao walikuwa wakitaabika kukosa huduma za afya karibu hasa huduma za uzazi na upasuaji.
Dkt Kawambwa alisema hayo katika mkutano maalumu uliotumika kwa ajili ya kukamilishwa kwa ahadi iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Pwani Zaynab Vulu,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PyKGQZ9NK-0/Vk22V64SH2I/AAAAAAAAFgY/9GmiVnR1qp0/s72-c/Blog3.jpg)
Kampuni ya TTCL Yakisaidia Vifaa Tiba Kituo cha Afya Buguruni Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-PyKGQZ9NK-0/Vk22V64SH2I/AAAAAAAAFgY/9GmiVnR1qp0/s640/Blog3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zEZbgg2mt8c/Vk22TQ9-QJI/AAAAAAAAFf0/DEuaM_vEcLI/s640/Blog1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hBZN131hlkk/Xtywq7TTQQI/AAAAAAALs5g/bbPKhgW35Ngn548h-mFXZ1rUQwtnQu42wCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200607-102026_1591515051646.png)
MBUNGE WA CHALINZE AKABIDHI VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA MIONO MKOANI PWANI
Akikabidhi vifaa hivyo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya chalinze,alisema vifaa hivi vitakuwa neema na mkombozi kwa mahitaji wa afya kutokana na baada ya ukamilikaji wa chumba cha Upasuaji ambacho kitahudumia wananchi wa maeneo hayo hususan wakina mama wakati wa kujifungua na huduma za upasuaji.
"Nimekuwa nikikosa...
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dmK_9ASpd_s/VHb91LlYYNI/AAAAAAACvbc/9IdcwQd7Dg0/s72-c/New%2BPicture.png)
TFDA YAJIUNGA RASMI KAMA MWANACHAMA WA UMOJA YA WADHIBITI WA VIFAA TIBA NA VITENDANISHI WA NCHI ZA ASIA (ASIAN HARMONIZATION WORKING PARTY- AHWP)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dmK_9ASpd_s/VHb91LlYYNI/AAAAAAACvbc/9IdcwQd7Dg0/s1600/New%2BPicture.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B578xkxR07c/VHb-EVpXMWI/AAAAAAACvbk/7LklpElNhws/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
5 years ago
MichuziUBORESHWAJI KITUO CHA AFYA BUNDA MJINI IKIWEMO MAJENGO MAPYA NA VIFAA TIBA VYA KISASA