TFDA YAJIUNGA RASMI KAMA MWANACHAMA WA UMOJA YA WADHIBITI WA VIFAA TIBA NA VITENDANISHI WA NCHI ZA ASIA (ASIAN HARMONIZATION WORKING PARTY- AHWP)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dmK_9ASpd_s/VHb91LlYYNI/AAAAAAACvbc/9IdcwQd7Dg0/s72-c/New%2BPicture.png)
Mkurugenzi Mkuu wa TFDA , Bw. Hiiti B. Sillo akitoa hotuba ya TFDA kukubali kujiunga na Umoja wa Nchi za Asia katika Udhibiti wa Vifaa Tiba na Vitendanishi (Asian Harmonization Working Party on medical devices and diagnostics - AHWP) wakati wa mkutano wa mwaka wa AHWP uliofanyika Seoul, Korea Kusini kuanzia tarehe 17 - 21 Novemba 2014. Tanzania imekubaliwa rasmi kuwa mwanachama 24 wa AHWP ikiwa ni nchi ya pili Barani Afrika kujiunga na umoja huo baada ya Afrika Kusini.
Mkurugenzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
KIWANDA CHA VIFAA TIBA SIMIYU KUIPUNGUZIA MSD UAGIZAJI WA VIFAA TIBA NJE YA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BA.jpg)
9 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
11 years ago
TheCitizen20 Jan
Raila in dilemma over working with foe party
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-oSzwPQ1dtWo/Vm3FgG-TwPI/AAAAAAAAXbo/-liK2zLcsDU/s72-c/1.jpg)
Fredrick Sumaye Atangaza Rasmi kuwa Mwanachama wa Chadema.........Akabidhiwa Kadi na Mbowe
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TNWEnTPt7mg/VGz6eoxIOHI/AAAAAAADNvc/YCj54B7MK0s/s72-c/KHANGA%2BPARTY%2BA3.jpg)
9 years ago
StarTV16 Dec
  TFDA kuongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa Vifaa Vya Kupima Damu
Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa TFDA imesema itaongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa vifaa vinavyotumika kupima damu au kitu chochote katika mwili wa binadamu.
Vitendanishi hivyo ni pamoja na mate, mkojo na haja kubwa ili kutambua tatizo lililoko mwilini na kuondoa utata wa majibu unaotokana na baadhi ya vitendanishi kutokukidhi ubora, usalama na utendaji kazi unaotakiwa.
Meneja wa usajili wa vifaa tiba kutoka TFDA Bi Agnes Kijo ameyasema hayo wakati akizungumza katika mkutano...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi nchini peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J_tAh0X--fw/VIdabrDJPlI/AAAAAAAG2Q0/lol9Gagkkco/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Hospitali zakabidhiwa vifaa tiba
TAASISI ya Mapafu imekabidhi vifaa tiba kwa hospitali za mikoa mitatu vitakavyosaidia kupunguza vifo vya watoto pindi wanapozaliwa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Ilala yapatiwa vifaa tiba
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, imepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni moja kutoka kampuni ya Double tree. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, wakati...