Fredrick Sumaye Atangaza Rasmi kuwa Mwanachama wa Chadema.........Akabidhiwa Kadi na Mbowe
![](http://1.bp.blogspot.com/-oSzwPQ1dtWo/Vm3FgG-TwPI/AAAAAAAAXbo/-liK2zLcsDU/s72-c/1.jpg)
Waziri mkuu wa awamu ya tatu Mh.Fredirick Sumaye jana alitangaza rasmi kujiunga na chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) na akakabidhiwa kadi na Mwenyekiti wa chama hicho Mh.Freeman Mbowe. Sumaye ambaye wakati wa uchaguzi alitangaza kujiondoa CCM na kudai kuwa anaunga mkono mageuzi yanayofanywa na vyama vinavyounda katiba ya wananchi (UKAWA) bila kuweka wazi kuwa yuko
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dtnYYobYBgc/XoDktU-lrLI/AAAAAAALles/JF_oRfAdca0Y6N-uonfJJ1Zu2tbyt2EKQCLcBGAsYHQ/s72-c/662da048-8aba-4dca-9e97-1319d5b28318.jpg)
SUMAYE AKABIDHIWA RASMI KADI YA CCM NA DK BASHIRU, AGOMA KUFUNGUKA KILICHOMUONDOA AWALI
Charles James, Globu ya Jamii
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amekabidhiwa rasmi kadi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) leo hii jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Bashiru Ally.
Sumaye amekabidhiwa kadi hiyo leo baada ya kutangaza kurejea CCM Februari 10 mwaka huu akitokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile alichoeleza kutoridhishwa na mwenendo wa chama hicho kikuu cha upinzani.
Akizungumza wakati akimkabidhi kadi, Dk Bashiru amesema kurejea kwa Sumaye ni faida...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s72-c/MMGL0364.jpg)
LOWASSA AJIUNGA RASMI NA UKAWA,AKABIDHIWA KADI RASMI YA UANACHAMA CHADEMA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s640/MMGL0364.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGeeL3rFur8/VbeGAAXFM8I/AAAAAAAHsPo/64cudQzmg4Q/s640/MMGL0367.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bt3gbl_fezs/VbeGCDcfo-I/AAAAAAAHsQA/fXpkbv2ToMo/s640/MMGL0450.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Lowassa akabidhiwa rasmi kadi ya CHADEMA
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema,Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho, Mh.Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa leo katika hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akizungumza na mamia wakati wa kutangaza adhima yake ya kujiunga na Chadema katika Hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akijibu maswali ya waandishi wa habari juu ya kujunga kwake katika Hoteli ya Bahari Beach leo jijini Dar es...
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Lowassa ajiunga rasmi na Ukawa, akabidhiwa kadi ya uanachama Chadema
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RYQDG0rAs64/VbeNWUcc2rI/AAAAAAABS28/TIU8qjpJkrw/s72-c/10562711_10204074093922128_6179217914902152704_o.jpg)
HATIMAYE EDWARD LOWASSA AJIUNGA RASMI CHADEMA NA AKABIDHIWA KADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-RYQDG0rAs64/VbeNWUcc2rI/AAAAAAABS28/TIU8qjpJkrw/s640/10562711_10204074093922128_6179217914902152704_o.jpg)
Lowassa: Namshukuru mke wangu Regina, wanangu na wanafamilia katika kipindi hiki kigumu kilichojitokeza.Lowassa: Nawashukuru wanaCCM waliojitokeza kuniunga mkono wakati nikitafuta wadhamini.
Lowassa: Kilichotokea Dodoma, ni kupora madarakani ya kamati kuu, waswahili wanasema kubaka madaraka.Lowassa: Chuki na roho mbaya zilitawala licha ya mimi kuwa mgombea mwenye ushawishi na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LOWASSA RASMI CHADEMA, AKABIDHIWA KADI, ASEMA HAUSIKI NA RICHMOND
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KDtvbMBOSIE/XoDVt0GUWPI/AAAAAAAAnM8/QZke51_wZ4ITyDuLWEWLIsA8SC9WDf3XACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SUMAYE AKABIDHIWA KADI YA UANACHAMA NA KATIBU MKUU WA CCM DKT BASHIRU ALLY
![](https://1.bp.blogspot.com/-KDtvbMBOSIE/XoDVt0GUWPI/AAAAAAAAnM8/QZke51_wZ4ITyDuLWEWLIsA8SC9WDf3XACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aZ_Y7GLszEE/XoDVuOaGaBI/AAAAAAAAnNA/vS-ZAXW_RAcXQGQArxckv6fnJlF3C1npQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Zz7beyf8FJw/XoDVt6NPYII/AAAAAAAAnM4/Z97Z5LL9otsQujHtQQPhIT6Fh0mdXWi-gCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi25 Dec
MGENI RASMI WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRICK SUMAYE AWASILI JIJINI MBEYA, TAYARI KWA KUONGOZA TAMASHA LA KRISMAS
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/122.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/212.jpg)
MGENI RASMI WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRICK SUMAYE AWASILI JIJINI MBEYA, TAYARI KWA KUONGOZA TAMASHA LA KRISMAS