Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATIMAYE EDWARD LOWASSA AJIUNGA RASMI CHADEMA NA AKABIDHIWA KADI

Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), leo Jijini Dar.
Lowassa: Namshukuru mke wangu Regina, wanangu na wanafamilia katika kipindi hiki kigumu kilichojitokeza.Lowassa: Nawashukuru wanaCCM waliojitokeza kuniunga mkono wakati nikitafuta wadhamini.
Lowassa: Kilichotokea Dodoma, ni kupora madarakani ya kamati kuu, waswahili wanasema kubaka madaraka.Lowassa: Chuki na roho mbaya zilitawala licha ya mimi kuwa mgombea mwenye ushawishi na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

LOWASSA AJIUNGA RASMI NA UKAWA,AKABIDHIWA KADI RASMI YA UANACHAMA CHADEMA.

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli akiingia kwenye ukumbi wa mikutano ndani ya hotel ya Bahari Beach jijini Dar,kwenye mkutano wa Wanahabari jioni ya leo. Mh.Lowassa akiingia kwenye Hoteli Bahari Beach  kwa ajili ya kutangaza adhima yake ya kujiunga na UKAWA. Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa ametangaza kujiunga rasmi na Umoja wa Katiba (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) . Mh.Lowassa akiwa na viongozi wa UKAWA  katika Hoteli ya Bahari Beach Hoteli...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa ajiunga rasmi na Ukawa, akabidhiwa kadi ya uanachama Chadema

Lowassa ametangaza uamuzi huo leo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika Hoteli ya Bahari Beach jijini Dar

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa akabidhiwa rasmi kadi ya CHADEMA

MMGL0885

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema,Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho, Mh.Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa leo katika hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.

MMGL0688

 Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akizungumza na mamia wakati wa kutangaza adhima yake ya kujiunga na Chadema katika Hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.

MMGL0816

 Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akijibu maswali ya waandishi wa habari juu ya kujunga kwake katika Hoteli ya Bahari Beach leo jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA RASMI CHADEMA, AKABIDHIWA KADI, ASEMA HAUSIKI NA RICHMOND

Mhe. Freeman Mbowe (katikati) kulia kwake ni Regina Lowassa (mke wa Lowassa) na kushoto kwake ni Edward Lowassa baada ya kukabidhiwa kadi cha Chadema. PICHA ZAIDI BONYEZA HAPA ===>http://bit.ly/1KvrOpq

 

10 years ago

Dewji Blog

EXCLUSIVE: Zitto ajiunga rasmi na Chama cha ACT-Tanzania, akabidhiwa kadi namba 007194

_MG_7774

Mh. Zitto Kabwe akilipa kwa ajili ya usajili wa kadi ya uanachama wa ACT.

...Kumwaga ‘mboga’ mbele ya wandishi wa Habari Jumapili hii Machi 22

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Hayawi hayawi…Sasa yamekuwa licha ya kusemwa sana kwa muda mrefu juu ya kuhusishwa na chama kipya cha siasa cha ACT-Tanzania dhidi ya aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Ruyagwa Kabwe sasa yamekuwa kweli kwa Mbunge huyo baada ya leo Jumamosi ya Machi 21, kupokelewa rasmi na chama hicho na kukabidhiwa kadi yake...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Fredrick Sumaye Atangaza Rasmi kuwa Mwanachama wa Chadema.........Akabidhiwa Kadi na Mbowe

Waziri mkuu wa awamu ya tatu Mh.Fredirick Sumaye jana alitangaza rasmi kujiunga na chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) na akakabidhiwa kadi na Mwenyekiti wa chama hicho Mh.Freeman Mbowe. Sumaye ambaye wakati wa uchaguzi alitangaza kujiondoa CCM na kudai kuwa anaunga mkono mageuzi yanayofanywa na vyama vinavyounda katiba ya wananchi (UKAWA) bila kuweka wazi kuwa yuko

 

5 years ago

Michuzi

SUMAYE AKABIDHIWA RASMI KADI YA CCM NA DK BASHIRU, AGOMA KUFUNGUKA KILICHOMUONDOA AWALI


Charles James, Globu ya Jamii

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amekabidhiwa rasmi kadi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) leo hii jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Bashiru Ally.

Sumaye amekabidhiwa kadi hiyo leo baada ya kutangaza kurejea CCM Februari 10 mwaka huu akitokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile alichoeleza kutoridhishwa na mwenendo wa chama hicho kikuu cha upinzani.

Akizungumza wakati akimkabidhi kadi, Dk Bashiru amesema kurejea kwa Sumaye ni faida...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani