Shein aahidi ushindi wa kishindo Zanzibar
MGOMBEA Urais wa CCM kwa Tanzania Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Dk Ali Mohammed Shein amesema anao uwezo wa kukipatia chama chake ushindi wa kishindo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3qTifbjMC2o/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
KINANA aahidi CCM kushinda kwa kishindo uchaguzi mkuu Zanzibar 2015
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kufyeka majani mbele ya Chuo cha Sayansi ya Bahari (IMS), alipotembelea chuo hicho kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam eneo la Buyu, Unguja Zanzibar jana wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi ili zipatiwe ufumbuzi. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kinana akikagua jengo jipya la Chuo cha...
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Dk. Shein aahidi kuipaisha zaidi Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohammed Shein, amesema amedhamiria kuipaisha Zanzibar kwa kuwa uwezo huo anao.
Amesema kwamba, pamoja na majukumu mengi aliyonayo, kazi hiyo ataifanya katika miaka mitano ijayo kama atafanikiwa kuendelea kukiongoza kisiwa hicho.
Kutokana na hali hiyo, amewatahadharisha Wazanzibari wasiwachague wagombea waongo ambao mara zote wamekuwa wakisema uongo majukwani kwa lengo la kupata madaraka.
Dk....
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2tXjOI66Wew/VaPCNxBP6iI/AAAAAAAB1QE/JThYS1WXNY0/s72-c/DSC_9050.jpg)
DKT SHEIN APOKEWA ZANZIBAR KWA KISHINDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2tXjOI66Wew/VaPCNxBP6iI/AAAAAAAB1QE/JThYS1WXNY0/s640/DSC_9050.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1faqzz6gXjY/VaPCO-u_-dI/AAAAAAAB1QI/ARAnalDozrw/s640/DSC_9058.jpg)
9 years ago
Mwananchi13 Sep
CCM Zanzibar wazindua rasmi kampeni, Shein aahidi kudumisha mapinduzi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zKLOf3I9T50/VaOJbwJRXLI/AAAAAAAHpSo/YvBBUmFd-cg/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MGOMBEA URAIS CCM DKT SHEIN APOKELEWA KWA KISHINDO ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-zKLOf3I9T50/VaOJbwJRXLI/AAAAAAAHpSo/YvBBUmFd-cg/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FjDfFLKLK-g/VaOJcy-0GoI/AAAAAAAHpSw/XHpwdk-mlEk/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0D9y3SRGbnE/VaOJc5A7-PI/AAAAAAAHpSs/Q3dedCgu-84/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
CCM ZANZIBAR: Yafanya tathmini na kujipima ushindi wa asilimia 60 kwa Dk. Shein!
Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai ambaye ametoa tathmini hiyo mapema jana kwa waandishi wa Habari visiwani humo.
Na Faki Mjaka
[MAELEZO-ZANZIBAR]. Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa tathmini yake ya mwelekeo wa Kampeni za Uchaguzi mkuu zinazoelendelea nchini na kudai kuwa Mgombea wake wa Urais Dkt Ali Mohamed Shein anakubalika kwa zaidi ya Asilimia 60 dhidi ya Wagombea wengine.
Akitoa tathmini hiyo mbele ya Wanahabari Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema hatua hiyo...
9 years ago
Habarileo06 Jan
Wana CCM wahimizana ushindi wa kishindo
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai amewataka wanachama wa chama hicho kujiandaa na hatimaye kujitokeza kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa marudio, ili kukiletea ushindi wa kishindo chama hicho.
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Makamba: Enzi za ushindi wa kishindo CCM zimepita