CCM ZANZIBAR: Yafanya tathmini na kujipima ushindi wa asilimia 60 kwa Dk. Shein!
Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai ambaye ametoa tathmini hiyo mapema jana kwa waandishi wa Habari visiwani humo.
Na Faki Mjaka
[MAELEZO-ZANZIBAR]. Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa tathmini yake ya mwelekeo wa Kampeni za Uchaguzi mkuu zinazoelendelea nchini na kudai kuwa Mgombea wake wa Urais Dkt Ali Mohamed Shein anakubalika kwa zaidi ya Asilimia 60 dhidi ya Wagombea wengine.
Akitoa tathmini hiyo mbele ya Wanahabari Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema hatua hiyo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi9 years ago
Mwananchi29 Sep
CCM: Dk Shein anaongoza kwa zaidi ya asilimia 60
9 years ago
Mtanzania17 Sep
CCM yajitabiria ushindi asilimia 69.3
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema takwimu zinaonyesha mikutano yote iliyofanywa na mgombea urais wake, Dk. John Magufuli hadi sasa, kinaweza kuibuka na ushindi wa asilimia 69.3.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya chama hicho, January Makamba, alisema takwimu hizo zimetokana na utafiti wa ndani uliofanywa siku kumi zilizopita katika majimbo 246 kati ya 269.
“Utafiti huu ulishirikisha taasisi nyingine...
10 years ago
StarTV17 Dec
Serikali za Mitaa, CCM yajivunia ushindi wa asilimia 84
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Chama cha Mapinduzi CCM kimesema matokeo ya uchaguzi wa Serikali za mitaa yaliyopatikana kwenye maeneo yaliyofanikiwa kufanya uchaguzi huo yanaonyesha chama hicho kushinda kwa asilimia 84.
Matokeo hayo, hayaunganishwi na yale yaliyofutiwa uchaguzi huo.
Wakati chama hicho kikieleza kuridhishwa na matokeo hayo ya ushindi, kwa upande mwingine kinasema kimesikitishwa na mapungufu yaliyojitokeza na kutaka hatua za haraka kuchukuliwa.
Hata hivyo Katibu wa...
10 years ago
Habarileo13 Jul
Shein aahidi ushindi wa kishindo Zanzibar
MGOMBEA Urais wa CCM kwa Tanzania Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Dk Ali Mohammed Shein amesema anao uwezo wa kukipatia chama chake ushindi wa kishindo.
11 years ago
MichuziNews alert: CCM yachukua tena Jimbo la Kiembesamaki Yaibuka na Ushindi wa Asilimia 75.1
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Kamati maalum ya CCM Zanzibar yapitisha jina la Dkt. Shein kugombea urais kwa tiketi ya CCM Uchaguzi mkuu wa oktoba 2015
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. (Picha na OMR).
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.
10 years ago
MichuziPONGEZI KWA DKT. ALI MOHAMED SHEIN KWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM KWA NAFASI YA RAISI WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR