Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM: Dk Shein anaongoza kwa zaidi ya asilimia 60

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema utafiti kilioufanya tangu kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaonesha kuwa mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho, Dk Ali Mohamed Shein anaongoza kwa zaidi ya asilimia 60 dhidi ya wagombea wa vyama vingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MHE. MAGUFULI ANAONGOZA KWA ASILIMIA 87 YA KURA ZA MKUTANO MKUU

MATOKEO ya kura za wagombea wa Mkutano Mkuu uliokutana jana usiku ni: Mhe. John Pombe Magufuli 87%, Balozi Amina Salum Ali 10% na Dk. Asha-Rose Migiro 3%. Kwa sasa wajumbe wa Mkutano Mkuu wanaingia ukumbini ili kuendelea na kikao chao kilichoahirishwa jana na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM ZANZIBAR: Yafanya tathmini na kujipima ushindi wa asilimia 60 kwa Dk. Shein!

VUAINaibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai ambaye ametoa  tathmini hiyo mapema jana  kwa waandishi wa Habari visiwani humo.

Na Faki Mjaka

[MAELEZO-ZANZIBAR]. Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa tathmini yake ya mwelekeo wa Kampeni za Uchaguzi mkuu zinazoelendelea nchini na kudai kuwa Mgombea wake wa Urais Dkt Ali Mohamed Shein anakubalika kwa zaidi ya Asilimia 60 dhidi ya Wagombea wengine.

Akitoa tathmini hiyo mbele ya Wanahabari Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema hatua hiyo...

 

11 years ago

GPL

NAPE: CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE‏

Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi (CCM) akizungumza na waadishi wa habari kwenye hoteli ya Bonelle mjini Chalinze wakati akizungumzia maendeleo ya kampeni za chama hicho katika jimbo la Chalinze. Waandishi wa habari wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyotolewa ufafanuzi na Nape katika mkutano na waandishi wa habari leo mjini Chalinze. Nape amesema kampeni zinaenda vizuri lakini wamekumbana na… ...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yaimarisha usikivu wa TBC kwa asilimia zaidi ya 73.

Serikali yaimarisha usikivu wa TBC kwa asilimia zaidi ya 73. Shamimu Nyaki-WHUSM, Dodoma Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ni chombo cha Habari cha Umma chenye wajibu wa kuhabarisha kuelimisha pamoja na kueleza mikakati ya Serikali katika kuleta maendeleo kwa wananchi.

Katika kuhakikisha yote hayo yanafanyika Serikali inafanya juhudi kubwa za kuimarisha usikivu wa Shirika hilo katika mikoa yote ya Tanzania ili wananchi wapate taarifa sahihi zilizokusudiwa tena kwa wakati.

Moja ya...

 

9 years ago

GPL

CCM TUTASHINDA UCHAGUZI KWA ASILIMIA 69

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akimtambulisha Mgombea wa nafasi ya Urais, John Magufuli. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya tathmini ya kampeni za urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kueleza kuwa kina uhakika wa kupata ushindi wa asilimia 69 katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.   Chama hicho kimesema kuwa mgombea wake, Dk. John Magufuli, hadi jana alikuwa amekwishafanya kampeni katika mikoa...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM: Tutashinda uchaguzi ujao kwa asilimia 69

CHAMA cha Mapinduzi CCM kimesema kina uhakika wa kushida kwa asilimia 69 katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

DAWASA IMETEKELEZA ILANI YA CCM KWA ASILIMIA 100- MHANDISI NDIKILO

Na Zainab Nyamka, Michuzi Glob.
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam na Pwani DAWASA wametekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa asilimia 100.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya Dawasa iliyopo Mkoa wa Pwani.
Ndikilo ameanza ziara ya siku mbili kutembelea miradi hiyo, ambapo ameipongeza Dawasa kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kusambaza maji kwenye maeneo muhimu ikiwemo Kiwanda cha Nyama Tan...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani