CCM: Dk Shein anaongoza kwa zaidi ya asilimia 60
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema utafiti kilioufanya tangu kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaonesha kuwa mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho, Dk Ali Mohamed Shein anaongoza kwa zaidi ya asilimia 60 dhidi ya wagombea wa vyama vingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHmXNI-tCTrYZ7iYPrY0moFD7rir8SoOqTqW7JI3RjibR91CfjDyv9Lgzf*TaEsFbE3RGEvVPaKoraMvtixFtedarrHID6rT/magufuli.png)
MHE. MAGUFULI ANAONGOZA KWA ASILIMIA 87 YA KURA ZA MKUTANO MKUU
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
CCM ZANZIBAR: Yafanya tathmini na kujipima ushindi wa asilimia 60 kwa Dk. Shein!
Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai ambaye ametoa tathmini hiyo mapema jana kwa waandishi wa Habari visiwani humo.
Na Faki Mjaka
[MAELEZO-ZANZIBAR]. Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa tathmini yake ya mwelekeo wa Kampeni za Uchaguzi mkuu zinazoelendelea nchini na kudai kuwa Mgombea wake wa Urais Dkt Ali Mohamed Shein anakubalika kwa zaidi ya Asilimia 60 dhidi ya Wagombea wengine.
Akitoa tathmini hiyo mbele ya Wanahabari Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema hatua hiyo...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/11.jpg)
NAPE: CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-D8YzRIqcEsk/XlOwIXQpKKI/AAAAAAALfBg/oUrDZheLXz8sFot29303yYaYFukPuR5mwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Serikali yaimarisha usikivu wa TBC kwa asilimia zaidi ya 73.
![](https://1.bp.blogspot.com/-D8YzRIqcEsk/XlOwIXQpKKI/AAAAAAALfBg/oUrDZheLXz8sFot29303yYaYFukPuR5mwCLcBGAsYHQ/s320/1.jpg)
Katika kuhakikisha yote hayo yanafanyika Serikali inafanya juhudi kubwa za kuimarisha usikivu wa Shirika hilo katika mikoa yote ya Tanzania ili wananchi wapate taarifa sahihi zilizokusudiwa tena kwa wakati.
Moja ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxmPpLZiHXmgwLpoWhhl9wv8lUnJMfSqDVZj4DntcBberYZOWWSV-TVSWT1c2xmPMOrJsYmuG1PwA5oahdEUbpp8/MagufulinaKikwete620x309.jpg)
CCM TUTASHINDA UCHAGUZI KWA ASILIMIA 69
9 years ago
Mwananchi16 Sep
CCM: Tutashinda uchaguzi ujao kwa asilimia 69
5 years ago
MichuziDAWASA IMETEKELEZA ILANI YA CCM KWA ASILIMIA 100- MHANDISI NDIKILO
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam na Pwani DAWASA wametekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa asilimia 100.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya Dawasa iliyopo Mkoa wa Pwani.
Ndikilo ameanza ziara ya siku mbili kutembelea miradi hiyo, ambapo ameipongeza Dawasa kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kusambaza maji kwenye maeneo muhimu ikiwemo Kiwanda cha Nyama Tan...