CCM TUTASHINDA UCHAGUZI KWA ASILIMIA 69
![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxmPpLZiHXmgwLpoWhhl9wv8lUnJMfSqDVZj4DntcBberYZOWWSV-TVSWT1c2xmPMOrJsYmuG1PwA5oahdEUbpp8/MagufulinaKikwete620x309.jpg)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akimtambulisha Mgombea wa nafasi ya Urais, John Magufuli. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya tathmini ya kampeni za urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kueleza kuwa kina uhakika wa kupata ushindi wa asilimia 69 katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu. Â Chama hicho kimesema kuwa mgombea wake, Dk. John Magufuli, hadi jana alikuwa amekwishafanya kampeni katika mikoa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Sep
CCM: Tutashinda uchaguzi ujao kwa asilimia 69
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/11.jpg)
NAPE: CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Sep
Tangazo: Hakuna Ukawa wala Sinia, wakitaka tutashinda, wasitake tutashinda
Naam hili ni tangazo lililotolewa kwa niaba niaba ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar akiwatangazia wana CCM, wapenda amani na wananchi wote kujitokeza kwa wingi katika ufunguzi wa kampeni za CCM, siku ya Jumapili hapo […]
The post Tangazo: Hakuna Ukawa wala Sinia, wakitaka tutashinda, wasitake tutashinda appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Bajeti ya Uchaguzi yaongezeka kwa asilimia 16
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f55gkropSAA/VI8E8pITkAI/AAAAAAAG3ZI/mxKfhy1bv6Y/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAFANIKIWA KWA ASILIMIA 98
![](http://3.bp.blogspot.com/-f55gkropSAA/VI8E8pITkAI/AAAAAAAG3ZI/mxKfhy1bv6Y/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JbMfLcd8_10/VI8E8hvI2qI/AAAAAAAG3ZM/vnfyMgwmEDY/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Sep
CCM: Dk Shein anaongoza kwa zaidi ya asilimia 60
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
CCM ZANZIBAR: Yafanya tathmini na kujipima ushindi wa asilimia 60 kwa Dk. Shein!
Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai ambaye ametoa tathmini hiyo mapema jana kwa waandishi wa Habari visiwani humo.
Na Faki Mjaka
[MAELEZO-ZANZIBAR]. Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa tathmini yake ya mwelekeo wa Kampeni za Uchaguzi mkuu zinazoelendelea nchini na kudai kuwa Mgombea wake wa Urais Dkt Ali Mohamed Shein anakubalika kwa zaidi ya Asilimia 60 dhidi ya Wagombea wengine.
Akitoa tathmini hiyo mbele ya Wanahabari Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema hatua hiyo...