Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti ya Uchaguzi yaongezeka kwa asilimia 16

>Waziri wa Fedha, Saada Mkuya leo atawasilisha bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/16 ambayo wachambuzi wameielezea kuwa itakuwa na unafuu kwa wananchi kutokana na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BILIONI 9.5 YAONGEZEKA BAJETI YA WIZARA YA HABARI 2020/2021

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akiwasilisha bajeti ya Wizara hiyo Bungeni jijini Dodoma ambapo ameomba kutengewa kiasi cha sh. bilioni 40.1 kwa mwaka wa fedha 2020/2021.

Mbunge wa Chemba Juma Nkamia akichagangia hoja wakati wa kujadili bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2020/2021.


Wabunge wakiendelea na mjadala wa bajeti ya bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2020/2021.

 

9 years ago

GPL

CCM TUTASHINDA UCHAGUZI KWA ASILIMIA 69

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akimtambulisha Mgombea wa nafasi ya Urais, John Magufuli. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya tathmini ya kampeni za urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kueleza kuwa kina uhakika wa kupata ushindi wa asilimia 69 katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.   Chama hicho kimesema kuwa mgombea wake, Dk. John Magufuli, hadi jana alikuwa amekwishafanya kampeni katika mikoa...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM: Tutashinda uchaguzi ujao kwa asilimia 69

CHAMA cha Mapinduzi CCM kimesema kina uhakika wa kushida kwa asilimia 69 katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAFANIKIWA KWA ASILIMIA 98

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mh. Hawa Ghasia akiwaeleza waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mafanikio ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana kote nchini ambapo umefanikiwa kwa asilimia 98%,kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini. Baadhi ya waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano wa Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)...

 

11 years ago

GPL

NAPE: CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE‏

Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi (CCM) akizungumza na waadishi wa habari kwenye hoteli ya Bonelle mjini Chalinze wakati akizungumzia maendeleo ya kampeni za chama hicho katika jimbo la Chalinze. Waandishi wa habari wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyotolewa ufafanuzi na Nape katika mkutano na waandishi wa habari leo mjini Chalinze. Nape amesema kampeni zinaenda vizuri lakini wamekumbana na… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Asilimia 20 ya bajeti hupotelea halmashauri

Wizi wa fedha za umma kwenye halmashauri mbalimbali nchini unasababishwa na elimu ndogo ya baadhi ya madiwani ambao ndiyo wasimamizi wakuu wa fedha hizo, imeelezwa.

 

5 years ago

Michuzi

IDADI YA WAPIGAKURA YAONGEZEKA UCHAGUZI MKUU 2020-WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema idadi ya wananchi waliojiandikisha kupiga kura imeongezeka ambapo wapiga kura halali kwa mwaka huu ni 29,804,992 ikilinganishwa na wapiga kura 23,161,440 wa mwaka 2015.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema Tume inaendelea na uchambuzi wa taarifa za wapiga kura waliojiandikisha na baada ya zoezi hilo kukamilika, Daftari la mwisho litakalotumika katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 litaandaliwa na kuwekwa wazi.

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatatu, Juni 15,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani