Asilimia 20 ya bajeti hupotelea halmashauri
Wizi wa fedha za umma kwenye halmashauri mbalimbali nchini unasababishwa na elimu ndogo ya baadhi ya madiwani ambao ndiyo wasimamizi wakuu wa fedha hizo, imeelezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Bajeti ya Uchaguzi yaongezeka kwa asilimia 16
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Halmashauri yaomba bajeti ya bil. 35/-
BARAZA la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora limeomba kuidhinishiwa kiasi cha sh 35,455,837,199 kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015. Akisoma taarifa ya bajeti hiyo, Kaimu Ofisa...
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Halmashauri ya wilaya ya Morogoro yapunguza maambukizi ya Malaria kwa asilimia nane
Nyumba ya watumishi wa Kituo cha Afya cha Mkuyuni ambayo imefunguliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Ndugu Juma Khatib Chum ili watumishi hao waweze kuishi karibu na Kituo hicho.
Na Andrew Tangazo Chimesela – Morogoro
Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, imefanikiwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa malaria kwa asilimia 8 ukilinganisha na maambukizi ya ugonjwa huo mwaka 2014.
Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Dkt. Mwanahamisi Yahya ambaye ni Kaimu mganga wa kituo cha Afya cha...
10 years ago
Michuzi02 Mar
Halmashauri ya mji wa Kahama yapokea ushuru wa asilimia 0.3 kutoka mgodi wa Buzwagi
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/NB6sqCwNTKOx8u2XS0f7yHFQj2heNcmFueewxrubbkg0wTeWtHoMVt4Z0qUt6AhLwB38VyRNzZ6ha9WFFDFZFklPvlzrIUigyTwWL0PHYoO_ciRN7Fji5JDR1sZBpn2PZYLTSXMUApCXJpZMFEvClBXYZHuZnI79t2XfbPJOIPHU3rohFHnCPGkt5TNTtBE51XDBjb8risgHlDjW9K2zea3skLN7F95yieT65hVhTb6AOAUQjLXmUy-xLHRQcaSLycv63BRL6VGRI47G1yxIpolLl5TsFQv0VCOKgOowizKjL4d4iBVOBn-p_CqRQ9Eor0tav3fub7EOukGSAeepeyGb=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-EGsBeFTGqWk%2FVPHFvusju7I%2FAAAAAAAHGiU%2FLg7RXdKsMuI%2Fs1600%2FUntitledK2.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Tanzania Daima08 May
‘Halmashauri zishirikishe wananchi maandalizi ya bajeti’
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dk. Hamis Kigwangala, amezitaka sekretarieti za mikoa na halmashauri nchini kuhakikisha zinawashirikisha wananchi katika maandalizi ya bajeti...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Halmashauri Ushetu yapitisha bajeti bil. 32/-
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga limepitisha mapendekezo ya mpango wa bajeti ya sh bilioni 32.5 kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Akisoma mapendekezo...
9 years ago
Habarileo06 Jan
Halmashauri zatakiwa kutenga bajeti damu salama
SERIKALI imezitaka kila halmashauri nchini kuhakikisha kuwa inatenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya damu ili kuwezesha wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo kuipata na kuepusha kupoteza maisha ya watu hususan wajawazito na watu walioathirika na ajali.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fv30-s9R-HI/U-HahGhJWyI/AAAAAAAF9e0/p2UF2a_EJvg/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Halmashauri zote nchini zatakiwa kutenga asilimia 5 ya mapato kwa ajili ya shughuli za vijana
Hayo yamesemwa jana ( leo) Mkoani Dodoma Wilaya ya Nchemba na Afisa Vijana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi. Amina Sanga katika mafunzo ya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kuhusu mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
Bi. Amina alisema kuwa vijana ndiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3VYQ9M6FXXw/XnjO2Yq9q2I/AAAAAAALk14/x5lajS_DonAgwl6wJ-iZG1iyyKBlADywwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_488_800x420_0_0_auto%25281%2529.jpg)
DC KARATU AWAPONGEZA WATENDAJI WA HALMASHAURI KWA KUANDAA BAJETI BORA
Na Woinde Shizza ,KARATU
Mkuu wa wilaya ya Karatu Theresia Muhongo amewapongeza watendaji wa Halmashauri kwa kuandaa bajeti bora iliyokidhi mahitaji ya kila sekta.
Aliyasema hayo juzi katika Kikao maalumu cha kamati ya ushauri wilaya kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri, na kuongozwa na mkuu wa wilaya hiyo ambaye pia ni mwenyekiti katika Kikao hicho ambacho jukumu lake ni kushauri na kilifanya mapitio ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kuridhia kupitisha bajeti hiyo.
Alisema kuwa...