‘Halmashauri zishirikishe wananchi maandalizi ya bajeti’
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dk. Hamis Kigwangala, amezitaka sekretarieti za mikoa na halmashauri nchini kuhakikisha zinawashirikisha wananchi katika maandalizi ya bajeti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Asilimia 20 ya bajeti hupotelea halmashauri
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Halmashauri yaomba bajeti ya bil. 35/-
BARAZA la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora limeomba kuidhinishiwa kiasi cha sh 35,455,837,199 kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015. Akisoma taarifa ya bajeti hiyo, Kaimu Ofisa...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Halmashauri Ushetu yapitisha bajeti bil. 32/-
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga limepitisha mapendekezo ya mpango wa bajeti ya sh bilioni 32.5 kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Akisoma mapendekezo...
9 years ago
Habarileo06 Jan
Halmashauri zatakiwa kutenga bajeti damu salama
SERIKALI imezitaka kila halmashauri nchini kuhakikisha kuwa inatenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya damu ili kuwezesha wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo kuipata na kuepusha kupoteza maisha ya watu hususan wajawazito na watu walioathirika na ajali.
11 years ago
MichuziHALMASHAURI NA WADAU WA JIJI LA MWANZA WAANZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA KUADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA JUNI 16
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3VYQ9M6FXXw/XnjO2Yq9q2I/AAAAAAALk14/x5lajS_DonAgwl6wJ-iZG1iyyKBlADywwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_488_800x420_0_0_auto%25281%2529.jpg)
DC KARATU AWAPONGEZA WATENDAJI WA HALMASHAURI KWA KUANDAA BAJETI BORA
Na Woinde Shizza ,KARATU
Mkuu wa wilaya ya Karatu Theresia Muhongo amewapongeza watendaji wa Halmashauri kwa kuandaa bajeti bora iliyokidhi mahitaji ya kila sekta.
Aliyasema hayo juzi katika Kikao maalumu cha kamati ya ushauri wilaya kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri, na kuongozwa na mkuu wa wilaya hiyo ambaye pia ni mwenyekiti katika Kikao hicho ambacho jukumu lake ni kushauri na kilifanya mapitio ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kuridhia kupitisha bajeti hiyo.
Alisema kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-s2wYMjUqdrs/U3OWQLixKmI/AAAAAAAFhtk/sPE94eoyErs/s72-c/unnamed+(28).jpg)
WATENDAJI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI YA KUWASILISHA BAJETI BUNGENI DODOMA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-s2wYMjUqdrs/U3OWQLixKmI/AAAAAAAFhtk/sPE94eoyErs/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oi_gjZjnfZQ/U3OWQDEJ8fI/AAAAAAAFhto/GZw-MzLz134/s1600/unnamed+(29).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w34sNCwelvQ/Xn7wH0z8C-I/AAAAAAALlXQ/j63sAy3hxiIDFZd173HZFUyMEu0E-UcDwCLcBGAsYHQ/s72-c/BK-1.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ACHOSHWA NA BAJETI ZA UPIMAJI ARDHI HALMASHAURI ZA MKOA WA KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-w34sNCwelvQ/Xn7wH0z8C-I/AAAAAAALlXQ/j63sAy3hxiIDFZd173HZFUyMEu0E-UcDwCLcBGAsYHQ/s640/BK-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti ofisini kwake jana alipowasili mkoani Kagera akiwa katika ziara yake ya kikazi ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mkoani humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/BK-2.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti (kushoto) jana baada ya kuzungumza naye ofsini kwake akiwa katika ziara ya...