DC KARATU AWAPONGEZA WATENDAJI WA HALMASHAURI KWA KUANDAA BAJETI BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3VYQ9M6FXXw/XnjO2Yq9q2I/AAAAAAALk14/x5lajS_DonAgwl6wJ-iZG1iyyKBlADywwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_488_800x420_0_0_auto%25281%2529.jpg)
Na Woinde Shizza ,KARATU
Mkuu wa wilaya ya Karatu Theresia Muhongo amewapongeza watendaji wa Halmashauri kwa kuandaa bajeti bora iliyokidhi mahitaji ya kila sekta.
Aliyasema hayo juzi katika Kikao maalumu cha kamati ya ushauri wilaya kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri, na kuongozwa na mkuu wa wilaya hiyo ambaye pia ni mwenyekiti katika Kikao hicho ambacho jukumu lake ni kushauri na kilifanya mapitio ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kuridhia kupitisha bajeti hiyo.
Alisema kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC02101.jpg)
RC MOROGORO AWAPONGEZA WATENDAJI WILAYANI ULANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s640/DSC02101.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yhMdmJY4Oz0/XsTgYf02T3I/AAAAAAALq40/SmPKiukvaCcl0iwINBPca7pNL1zLNO41ACLcBGAsYHQ/s640/thumb_731_800x420_0_0_auto.jpg)
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA SEMINA KWA WATENDAJI WA HALMASHAURI ZA NYANDA ZA JUU KUSINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z_IMmzzHeLQ/XuD9a1GRg-I/AAAAAAALtZ4/-slWgggJ-EI7hx_-OIpkUhyqsM6vJOm1ACLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
DC SOPHIA MJEMA AWAPONGEZA USHIRIKIANO WA MADIWANI, WATENDAJI KATIKA KULETA MAENDELEO
MKUU wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam Dk.Sophia Mjema amewapongeza madiwani wote, wakuu wa idara, watendaji na Mkurugenzi wa wilaya hiyo kwa utendaji kazi mzuri na ushirikiano walionesha katika Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dk.John Magufuli.
Pamoja na hayo amesema kwa pamoja watendaji, watumishi na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ilala wamefanikisha kuongezeka kwa ukusanyaji wa mapato pamoja na utoaji wa mikopo kwa wananchi.
Dk.Mjema...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6Yv-sJgXl7U/default.jpg)
WATENDAJI WA SERIKALI WILAYANI KARATU WAMETAKIWA KUTEKELEZA AMRI YA RAIS
11 years ago
Habarileo31 Mar
Pinda awapongeza wanawake bora
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka wanawake waliofanikiwa kupata tuzo za wanawake bora kutobweteka, bali waendeleze juhudi ili wazidi kung’ara zaidi.
11 years ago
Habarileo18 Dec
Halmashauri marufuku kuandaa vikao bila wabunge
HALMASHAURI zote za wilaya nchini zimepigwa marufuku, kuandaa vikao vya halmashauri bila kuwapatia taarifa wabunge kwa kuwa pia wanahaki ya kuhudhuria vikao hivyo Kikatiba.
9 years ago
StarTV12 Nov
Halmashauri ya Tanga yaagizwa kuandaa mipango ya ujenzi wa hospitali ya wilaya.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza aagiza halmashauri ya wilaya ya Mkinga kumueleza namna watakavyojenga hospitali ya wilaya ifikapo mwezi Januari mwaka kesho.
Mahiza ambaye amehamishiwa hivi karibuni katika mkoa huo akitokea mkoani Pwani amesema ni jambo la aibu kwa halmashauri ya Mkinga ambayo imeanzishwa miaka mingi iliyopita kukosa hospitali ya wilaya.
Halimashauri ya wilaya ya Mkinga iliyoanzishwa kwa takribani miaka sita iliyopita kwa lengo la kusogeza huduma karibu na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jHpBtlS8KZQ/XsgMRlg3mdI/AAAAAAALrUw/cVoKZ6ottrEFi-YWRYAf8almWpGzJM5FwCLcBGAsYHQ/s72-c/adca7d44-fbf7-4760-a8dc-0c270d0d869f.jpg)
WAKURUGENZI WA HALMASHAURI WATAKIWA KUANDAA MIUNDOMBINU YA KUJIKINGA NA CORONA MASHULENI
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuhakikisha wanafunzi wa kidato cha sita wanaorejea mashuleni wanakua salama, Serikali imewataka Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuandaa miundombinu itakayowezesha wanafunzi hao wanachukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Kauli hiyo imetolewa jijini Dodoma na Naibu Katibu Ofisi ya Rais-Tamisemi anaeyeshughulikia elimu, Gerald Mweli alipofanya ziara ya kukagua shule zenye wanafunzi wa kidato cha Sita Mkoani Dodoma ili kuangalia maandalizi ya kuwapokea...
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Asilimia 20 ya bajeti hupotelea halmashauri