Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKURUGENZI WA HALMASHAURI WATAKIWA KUANDAA MIUNDOMBINU YA KUJIKINGA NA CORONA MASHULENI


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuhakikisha wanafunzi wa kidato cha sita wanaorejea mashuleni wanakua salama, Serikali imewataka Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuandaa miundombinu itakayowezesha wanafunzi hao wanachukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.

Kauli hiyo imetolewa jijini Dodoma na Naibu Katibu Ofisi ya Rais-Tamisemi anaeyeshughulikia elimu, Gerald Mweli alipofanya ziara ya kukagua shule zenye wanafunzi wa kidato cha Sita Mkoani Dodoma ili kuangalia maandalizi ya kuwapokea...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WANAHABARI WATAKIWA KUWA MAKINI KWA KUJIKINGA NA CORONA



Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Rukwa Izrael Mwaisaka (Kushoto)akipokea bahasha zilizowekwa barakoa kwaajili ya Waandishi waliohudhuria semina ya Waandishi wa Habari katika Ofisi ya mkuu wa mkoa kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bernard Malaki (kulia) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa huo kutoa vifaa vya kujikinga kwa      Waandishi.Mkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo (waliokaa katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya Waandishi wa habari Mkoa wa Rukwa...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MWANGA APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA TAASISI YA DK MSUYA

 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Kilimanjaro, Zefrin Lubuva akizungumza na watumishi wa Halmashauri na Wandishi wa habari wakati akipokea mashine za kisasa za kunawia kutoka kwa Taasisi ya Dk Msuya. Mkurugenzi wa Taasisi ya Dk. Msuya na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha UDOM, Dk Ombeni Msuya akizungumza wakati wa kukabidhi mashine za kisasa za kunawia kwa ajili ya kujikinga na Corona wilayani Mwanga leo. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mwanga, Zefrin Lubuva akinawa kwa kutumia mashine...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WILAYANI MWANGA WATAKIWA KUVITUNZA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA

Charles James, Michuzi TV

WANANCHI wametakiwa kuvitunza na kuvithamini vifaa vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona vinavyotolewa na wadau mbalimbali nchini katika kusaidia kujikinga na ugonjwa huo.

Kauli hiyo imetolewa wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro na Mkurugenzi wa Taasisi ya Dk Msuya, Dk Ombeni Msuya wakati akikabidhi mashine za kisasa za kunawia mikono kwenye Misikiti na Zahanati wilayani humo.

Taasisi hiyo ya Dk Msuya imekua ikiiunga mkono serikali katika sekta mbalimbali...

 

5 years ago

Michuzi

MAAFISA USTAWI NA MAENDELEO YA JAMII WATAKIWA KUTOA ELIMU KWA YA KUJIKINGA NA CORONA


Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Hargeney Chituturo akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha, katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha jana tarehe 28/03/2020.
Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona katika ukumbi wa Mikutano...

 

5 years ago

Michuzi

Wanahabari Rukwa watakiwa kuwa makini kujikinga na Corona ili kuendelea kuihabarisha jamii


Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Rukwa Izrael Mwaisaka (Kushoto)akipokea bahasha zilizowekwa barakoa kwaajili ya Waandishi waliohudhuria semina ya Waandishi wa Habari katika Ofisi ya mkuu wa mkoa kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bernard Malaki (kulia) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa huo kutoa vifaa vya kujikinga kwa Waandishi.

Mkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo (waliokaa katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya Waandishi wa habari Mkoa wa Rukwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri za wilaya, manispaa zakumbushwa kujenga vyoo mashuleni

DSC08808

Mwakilishi wa shirika la WaterAid Tanzania, Dk.Ibrahimu Kabole, akitoa taarifa yake  kwenye ufungaji wa semina ya siku mbili iliyohusu usafi wa afya na mazingira iliyofanyika kwenye ukmbi wa mikutano wa Aqua vitae hotel mjini Singida.Wa kwanza kushoto ni mwenyekiti wa bodi ya SEMA, Joramu Allute na katikati ni mdau wa maendeleo na mfanyabiashara maarufu mkoa wa Singida, Salum Nagji.

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI za Wilaya na manispaa ya Singida, zimehimizwa kuhakikisha shule zao...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiravu: Wakurugenzi Halmashauri wasimamie uchaguzi

>Wakati joto la uchaguzi likiendelea kupanda nchini, aliyekuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Rajabu Kiravu amependekeza Wakurugenzi wa Halmashauri wasisimamie uchaguzi ili kuondoa malalamiko.

 

10 years ago

Habarileo

Wakurugenzi halmashauri, miji walimwa barua

Katibu Mkuu wa Tamisemi, Jumanne SaginiOFISI ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (Tamisemi), imewaandikia baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji barua za kuwabadilishia majukumu, baada ya kubainika wameshindwa kwenda na kasi ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ghasia: Wakurugenzi halmashauri shirikisheni wanasiasa

WAKURUGENZI wa halmashauri nchini wametakiwa kuwashirikisha wanasiasa katika shughuli zote za maendeleo wanazozipanga ili zifanikiwe. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na Waziri wa Nchi, Ofisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani