Ghasia: Wakurugenzi halmashauri shirikisheni wanasiasa
WAKURUGENZI wa halmashauri nchini wametakiwa kuwashirikisha wanasiasa katika shughuli zote za maendeleo wanazozipanga ili zifanikiwe. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na Waziri wa Nchi, Ofisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LvpD0jjnmexlnihg68jpuHDN*8mj5VUkakiCT-*tHk*VoiVImS3MJSQpg7qyi162oHIWZDktQgvUyj-tBbtEKKc/hawaghasia2.jpg)
WAZIRI HAWA GHASIA AWATIMUA WAKURUGENZI
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Waziri Ghasia atimua wakurugenzi walioboronga Uchaguzi Serikali za Mitaa
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Kiravu: Wakurugenzi Halmashauri wasimamie uchaguzi
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
‘Wakurugenzi Halmashauri hawaelewi michakato ya maendeleo’
UTAFITI uliofanywa na Mwamvuli wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Tanzania (Tango), umebaini kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri hawaelewi kuhusu michakato ya maendeleo nchini hasa katika suala la uingiwaji wa mikataba kati...
10 years ago
Habarileo10 Nov
Wakurugenzi halmashauri, miji walimwa barua
OFISI ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (Tamisemi), imewaandikia baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji barua za kuwabadilishia majukumu, baada ya kubainika wameshindwa kwenda na kasi ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jHpBtlS8KZQ/XsgMRlg3mdI/AAAAAAALrUw/cVoKZ6ottrEFi-YWRYAf8almWpGzJM5FwCLcBGAsYHQ/s72-c/adca7d44-fbf7-4760-a8dc-0c270d0d869f.jpg)
WAKURUGENZI WA HALMASHAURI WATAKIWA KUANDAA MIUNDOMBINU YA KUJIKINGA NA CORONA MASHULENI
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuhakikisha wanafunzi wa kidato cha sita wanaorejea mashuleni wanakua salama, Serikali imewataka Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuandaa miundombinu itakayowezesha wanafunzi hao wanachukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Kauli hiyo imetolewa jijini Dodoma na Naibu Katibu Ofisi ya Rais-Tamisemi anaeyeshughulikia elimu, Gerald Mweli alipofanya ziara ya kukagua shule zenye wanafunzi wa kidato cha Sita Mkoani Dodoma ili kuangalia maandalizi ya kuwapokea...
9 years ago
MichuziNAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo atoa siku 27 kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuanza kutumia mfumo wa kielekroniki
10 years ago
StarTV28 Jan
Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Waziri awaagiza wakurugenzi