Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BENKI YA CRDB YAFANYA SEMINA KWA WATENDAJI WA HALMASHAURI ZA NYANDA ZA JUU KUSINI

Waziri wa Afrika Mashariki Dk. Harrison Mwakyembe ambaye alikuwa amgeni rasmi katika semina kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu Kusini  akifungua rasmi semina hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akitoa hotuba yake wakati wa semina kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu Kusini.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Beki ya CRDB, Tully Mwambapa akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei kutoa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA BENKI YA CRDB YA VIONGOZI NA WATUMISHI WA HALMASHAURI ZA KANDA YA ZIWA

Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti Huduma kwa Wateja Tully Mwambapa akizungumza kwenye semina iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kuhusu huduma za fedha zinazotolewa na benki hiyo kwa serikali. Semina hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza na kuhudhuriwa na viongozi na watumishi wa Halmashauri za Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza katika semina hiyo.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

TAMWA YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI JUU YA KUPAMBANA NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

 MWANAHABARI MKONGWE WENCE  MUSHI AKITOA ELIMU KWA WANAHABARI WALIOKUTANA MKOANI IRINGA WANAHABARI WAKIWA MAKINI KUMSIKILIZA MTOA ELIMUWANAHABARI WAKIFUATILIA NINI KINACHOENDELEA KWENYE MAFUNZO HAYO
 Na Fredy Mgunda, Iringa

Waandishi wa habari wametakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.Msisitizo huo...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA KATIKA MAADHIMISHO YA NANENANE NYANDA ZA JUU KUSINI JIJINI MBEYA LEO

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda akisalimiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga Ndugu Adam Misana alipotembelea banda la Halmashauri ya Wilaya hiyo leo tarehe 02/08/2014 katika maonyesho ya wakulima Nanenane nyanda za juu kusini Jijini Mbeya ambapo alipokelewa na viongozi waandamizi wa Serikali ya Mkoa wa Rukwa wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Eng. Stella Manyanya (Pichani Kulia).

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo...

 

10 years ago

Michuzi

Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL,afanya ziara mikoa ya kusini na Nyanda za juu kusini

Afisa Mtendaji Mkuu Dr Kamugisha Kazaura atembelea mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Mbeya ikiwa na lengo la kukagua miundombinu ya TTCL na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano pamoja na kuzungumza na wafanyakazi wa TTCL wa mikoa hiyo.
Dr Kazaura ailijionea juhudi mbalimbali zinazofanywa na wafanyakazi wa TTCL katika kuhakikisha miundombinu ya TTCL na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano inakuwa salama muda.
Hivi sasa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) imekuwa kampuni pekee ya mawasiliano ambayo imefanikiwa...

 

10 years ago

GPL

MFUKO WA GEPF WAPANUA WIGO KWA KUZINDUA OFISIMPYA NYANDA ZA JUU KUSINI MKOANI MBEYA

Meneja wa kanda ya Nyanda za juu kusini Bw. Ramadhan Sosora akitoa neno la ufunguzi na utambulisho kwa wanahabari. Meneja Masoko kutoka Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF Bw. Aloyce Ntukamazina akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi huo kulia kwake ni Afisa masoko katika ofisi ya mbeya Bw. Alex William.…

 

10 years ago

Vijimambo

MFUKO WA GEPF WAPANUA WIGO KWA KUZINDUA OFISI MPYA NYANDA ZA JUU KUSINI MKOANI MBEYA

 Meneja wa kanda ya Nyanda za juu kusini Bw Ramadhan Sosora akitoa neno la ufunguzi na utambulisho kwa wanahabari. Meneja Masoko kutoka Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF Bw Aloyce Ntukamazina akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi huo kulia kwake ni Afisa masoko katika ofisi ya mbeya Bw Alex William. Pichani baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakifuatilia kwa makini maelezo wakati wa uzinduzi huo. Bw Aloyce Ntukamazina akielezea mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha...

 

11 years ago

Michuzi

WASHINDI WA TMT KUTOKA KANDA YA ZIWA NA NYANDA ZA JUU KUSINI WAWASILI DAR ES SALAAM TAYARI KWA SAFARI YA KUSHINDANIA MILIONI 50

 Washindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kutoka Kanda ya Ziwa wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere, Jijini Dar Es Salaam jana kwaajili ya Kuingia kambini tayari kwa safari ya kushindania Milioni 50 katika fainali itakayofanyika Mwishoni mwa Mwezi wa Nane  Washindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kanda ya Nyanda za Kusini, Stephen Mapunda(mwenye kofia nyekundu) na Mtawa Kaparata (mwenye fimbo) wakiwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere jana tayari...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT. SLAA, AENDELEA NA ZIARA YA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, APIGA DEBE WANANCHI KUJIANDIKISHA TAYARI KWA UCHAGUZI MKUU

Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dr. Wilibrod Slaa, akiwasalimia wanachama, wapenzi, wafuasi na mashabiki wa chama hicho, wakati akiwasili katika ofisi za wilaya za chama mjini Mpanda, mkoani Katavi akiwa katika mwendelezo wa ziara yake maeneo mbalimbali ya mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi ambako mbali ya kukagua zoezi la uandikishaji wa wapiga kura amekuwa akihamasisha wananchi wenye sifa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu huku pia akikagua...

 

11 years ago

Habarileo

Nyanda za Juu Kusini wahimizwa kutahiri

WAKATI mikoa mitatu ya Nyanda za Juu Kusini ikiongoza kwa maambukizi ya Ukimwi, Serikali imewahimiza wanaume, bila kujali umri, kutahiriwa kama moja ya njia za kupunguza maambukizi ya ugonjwa huo usio na kinga wala tiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani