MFUKO WA GEPF WAPANUA WIGO KWA KUZINDUA OFISIMPYA NYANDA ZA JUU KUSINI MKOANI MBEYA
Meneja wa kanda ya Nyanda za juu kusini Bw. Ramadhan Sosora akitoa neno la ufunguzi na utambulisho kwa wanahabari. Meneja Masoko kutoka Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF Bw. Aloyce Ntukamazina akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi huo kulia kwake ni Afisa masoko katika ofisi ya mbeya Bw. Alex William.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMFUKO WA GEPF WAPANUA WIGO KWA KUZINDUA OFISI MPYA NYANDA ZA JUU KUSINI MKOANI MBEYA
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Wahitimu wa CBE nyanda za juu kusini waadhimisha miaka 50 ya chuo hicho jijini Mbeya
Mkuu wa Mkoa Mstaafu wa Mbeya Mh. Johm Mwakangale ambaye ndiye Mgeni Rasmi katika Mkutano wa wahitimu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wanaoishi nyanda za Juu kusini waliowahi kusoma katika chuo hicho kuanzia mwaka 1965-2014 na yeye akiwa ni mmoja wa wanafunzi ambaye alisoma katika chuo hicho mwaka 1967 na ambaye pia alikuwa ni Mkufunzi katika chuo hiki na Mlezi wa Umoja wa wana CBE waishio nyanda za juu kusini akitoa hotuba yake ambapo, alikishukuru chuo cha CBE kwa kufanya mkutano huu...
10 years ago
Michuzi24 Feb
TAMWA YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI JUU YA KUPAMBANA NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
Na Fredy Mgunda, Iringa
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.Msisitizo huo...
10 years ago
MichuziShindano ya Tanzania Movie Talents Kanda ya nyanda za juu kusini Mbeya lakamilika, washindi watatu wapatikana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eegszFxHmBY/VeauaIT8rYI/AAAAAAAABlM/tyezAN8UoTM/s72-c/PIX%2B02.jpg)
WATUMISHI WA UMMA WA MKOA WA MBEYA NA NYANDA ZA JUU KUSINI WATAKIWA KUJIENDELEZA KUPITIA TAWI LA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA TAWI LA MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-eegszFxHmBY/VeauaIT8rYI/AAAAAAAABlM/tyezAN8UoTM/s640/PIX%2B02.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,HAB Mkwizu, akizungumza wakati wa mahafali ya 22 ya Chuo cha Utumishi Tanzania (TPSC) na ya kwanza kwa tawi la Mbeya hivi karibuni Jijini Mbeya.
Sehemu ya wahitimu wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Tawi la Mbeya wakiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_28TL01bzOs/U9z69vvoL8I/AAAAAAAAFxo/NFJ630ipwwI/s72-c/IMG_2748.jpg)
WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA KATIKA MAADHIMISHO YA NANENANE NYANDA ZA JUU KUSINI JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-_28TL01bzOs/U9z69vvoL8I/AAAAAAAAFxo/NFJ630ipwwI/s1600/IMG_2748.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mRiQz5h_BEg/U9z7Ok1KlDI/AAAAAAAAFxw/IjrM4Txz8IA/s1600/IMG_2740.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA SEMINA KWA WATENDAJI WA HALMASHAURI ZA NYANDA ZA JUU KUSINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VQMqV2ZZ0IQ/VOHYjgumF2I/AAAAAAAHD88/xq8B_W50FyM/s72-c/1%2B(1).jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL,afanya ziara mikoa ya kusini na Nyanda za juu kusini
Dr Kazaura ailijionea juhudi mbalimbali zinazofanywa na wafanyakazi wa TTCL katika kuhakikisha miundombinu ya TTCL na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano inakuwa salama muda.
Hivi sasa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) imekuwa kampuni pekee ya mawasiliano ambayo imefanikiwa...
10 years ago
MichuziMFUKO WA GEPF WATOA SEMINA MAALUM KWA WAMILIKI WA HOTELI NA NYUMBA ZA WAGENI (GUEST HOUSES) MKOANI DODOMA