Halmashauri marufuku kuandaa vikao bila wabunge
HALMASHAURI zote za wilaya nchini zimepigwa marufuku, kuandaa vikao vya halmashauri bila kuwapatia taarifa wabunge kwa kuwa pia wanahaki ya kuhudhuria vikao hivyo Kikatiba.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Marufuku vikao vya halmashauri bila wabunge
HALMASHAURI zote za wilaya nchini zimepigwa marufuku kuandaa vikao vya halmashauri bila kutoa taarifa kwa wabunge kwa sababu nao wana haki ya kuhudhuria vikao hivyo Kikatiba. Hayo yalielezwa Bungeni mjini...
10 years ago
Mtanzania05 Jun
‘Wabunge hudhurieni vikao kwenye halmashauri’
SERIKALI imesema ni wajibu wa wabunge wote wenye majimbo na wale wa viti maalumu kuhudhuria vikao vya mabaraza ya madiwani kwenye halmashauri zao.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Kassim Majaliwa, wakati akijibu swali la Mbunge wa Meatu, Meshack Opulukwa (Chadema).
Katika swali lake, Opulukwa alitaka kujua kauli ya Serikali kuhusu baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri kuwazuia wabunge kuhudhuria baadhi ya...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Waandishi marufuku vikao vya kamati
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Tunaweza kuandaa Afcon 2015 bila Ebola
9 years ago
StarTV18 Dec
Mkuu wa Mkoa Dodoma apiga marufuku Posho Za Vikao Kwa Watendaji
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni mstaafu Chiku Galawa amepiga marufuku ulipaji wa posho za vikao vya kazi kwa wakuu wa idara na watendaji kutokana na utendaji usioridhisha.Aidha amewataka viongozi hao kukaa mara mbili kwa wiki ofisini, siku zilizobaki zikitumika kugagua kazi zilizofanywa na walio chini yao pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Agizo hilo linatolewa katika kikao cha ufunguzi wa baraza la madiwani wa halmashauri ya kongwa Galawa anafikia uamuzi huo kutokana na wilaaya hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3VYQ9M6FXXw/XnjO2Yq9q2I/AAAAAAALk14/x5lajS_DonAgwl6wJ-iZG1iyyKBlADywwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_488_800x420_0_0_auto%25281%2529.jpg)
DC KARATU AWAPONGEZA WATENDAJI WA HALMASHAURI KWA KUANDAA BAJETI BORA
Na Woinde Shizza ,KARATU
Mkuu wa wilaya ya Karatu Theresia Muhongo amewapongeza watendaji wa Halmashauri kwa kuandaa bajeti bora iliyokidhi mahitaji ya kila sekta.
Aliyasema hayo juzi katika Kikao maalumu cha kamati ya ushauri wilaya kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri, na kuongozwa na mkuu wa wilaya hiyo ambaye pia ni mwenyekiti katika Kikao hicho ambacho jukumu lake ni kushauri na kilifanya mapitio ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kuridhia kupitisha bajeti hiyo.
Alisema kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jHpBtlS8KZQ/XsgMRlg3mdI/AAAAAAALrUw/cVoKZ6ottrEFi-YWRYAf8almWpGzJM5FwCLcBGAsYHQ/s72-c/adca7d44-fbf7-4760-a8dc-0c270d0d869f.jpg)
WAKURUGENZI WA HALMASHAURI WATAKIWA KUANDAA MIUNDOMBINU YA KUJIKINGA NA CORONA MASHULENI
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuhakikisha wanafunzi wa kidato cha sita wanaorejea mashuleni wanakua salama, Serikali imewataka Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuandaa miundombinu itakayowezesha wanafunzi hao wanachukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Kauli hiyo imetolewa jijini Dodoma na Naibu Katibu Ofisi ya Rais-Tamisemi anaeyeshughulikia elimu, Gerald Mweli alipofanya ziara ya kukagua shule zenye wanafunzi wa kidato cha Sita Mkoani Dodoma ili kuangalia maandalizi ya kuwapokea...
9 years ago
StarTV12 Nov
Halmashauri ya Tanga yaagizwa kuandaa mipango ya ujenzi wa hospitali ya wilaya.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza aagiza halmashauri ya wilaya ya Mkinga kumueleza namna watakavyojenga hospitali ya wilaya ifikapo mwezi Januari mwaka kesho.
Mahiza ambaye amehamishiwa hivi karibuni katika mkoa huo akitokea mkoani Pwani amesema ni jambo la aibu kwa halmashauri ya Mkinga ambayo imeanzishwa miaka mingi iliyopita kukosa hospitali ya wilaya.
Halimashauri ya wilaya ya Mkinga iliyoanzishwa kwa takribani miaka sita iliyopita kwa lengo la kusogeza huduma karibu na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SsariXTv0O4/VZbyOBM1yfI/AAAAAAABRHY/9QGQ5M6nF58/s72-c/bungeni%2Bdodoma.jpg)
WABUNGE 5 WAMEPEWA ADHABU YA KUTOKUHUDHURIA VIKAO VYA MKUTANO WA 20 WA BUNGE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SsariXTv0O4/VZbyOBM1yfI/AAAAAAABRHY/9QGQ5M6nF58/s640/bungeni%2Bdodoma.jpg)