Waandishi marufuku vikao vya kamati
Kamati ya Kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba imefuta mpango wake wa awali na kuamua vikao vyote vya Kamati za Bunge hilo, vitafanyika kwa faragha kwa kutoruhusu waandishi wa habari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Marufuku vikao vya halmashauri bila wabunge
HALMASHAURI zote za wilaya nchini zimepigwa marufuku kuandaa vikao vya halmashauri bila kutoa taarifa kwa wabunge kwa sababu nao wana haki ya kuhudhuria vikao hivyo Kikatiba. Hayo yalielezwa Bungeni mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kmZN0XGE77s/Xk4QSf447TI/AAAAAAALeZ8/X2irazU43XApi9PlfK9Xa3uhSOdSoH3PACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
10 years ago
Michuzi16 Oct
Vikao vya Kamati za Bunge Oktoba na Novemba 2014
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wQajb8Js9TU/VEMO7YGtFPI/AAAAAAAGrzw/kE-33XOEqHM/s72-c/images.jpg)
Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge kuanza Jijini Dar es Salaam Jumatatu
![](http://3.bp.blogspot.com/-wQajb8Js9TU/VEMO7YGtFPI/AAAAAAAGrzw/kE-33XOEqHM/s1600/images.jpg)
Kwa tangazo hili waheshimiwa Wabunge wote mnaombwa kuwasili Dar es Salaam siku ya Jumapili tarehe 19 Oktoba 2014.
Kamati za Bunge katika vikao hivi vitakavyodumu hadi tarehe 2 Novemba 2014 zitapokea na kujadili pamoja na mambo mengine Muswada wa Marekebisho ya Sheria...
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Vikao vya kamati za kudumu za Bunge kuanza kesho jijini Dar es Salaam
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Thomasi Kashililah.
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Thomasi Kashililah anawatangazia Waheshimiwa Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri kuwa Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge vitaanza Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Oktoba 2014. Kwa tangazo hili waheshimiwa Wabunge wote mnaombwa kuwasili Dar es Salaam siku ya Jumapili tarehe 19 Oktoba 2014.
Kamati za Bunge katika vikao hivi vitakavyodumu hadi tarehe 2 Novemba 2014...
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-GVFctmZI7VQ/VnKd3E5h9xI/AAAAAAAAsVA/zQFrR-10Mlg/s72-c/6.jpg)
KAMATI YA URATIBU YA SHIRIKISHO LA VYUO ELIMU YA JUU YAANZA VIKAO VYA SIKU MBILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-GVFctmZI7VQ/VnKd3E5h9xI/AAAAAAAAsVA/zQFrR-10Mlg/s640/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vajLGAFzU5w/VnKd5PJVAdI/AAAAAAAAsVI/R7OlH_KEraI/s640/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oGTxUjvHq-M/VnKd821cMKI/AAAAAAAAsVY/i49INiRGgmU/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QI37sdZWn1I/VK6fy7eNRXI/AAAAAAAG8EI/rCxtoXB3YJg/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KUANZA TAREHE 13 — 23 JANUARI 2015
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QI37sdZWn1I/VK6fy7eNRXI/AAAAAAAG8EI/rCxtoXB3YJg/s1600/New%2BPicture.png)
BUNGE LA TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA KUPITIA VYOMBO HABARI KUHUSU VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KUANZA TAREHE 13 – 23 JANUARI 2015
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anawatangazia Waheshimiwa Wabunge wote, wadau na umma kwa ujumla kuwa Kamati za Kudumu za Bunge zitaanza vikao vyake tarehe 13 hadi 23 Januari 2015. Vikao hivyo vitakavyoutangulia mkutano wa Kumi na Nane wa Bunge la Kumi vitajadili na kuchambua pamoja na mambo mengine Miswada mbalimbali ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnmUnoMgE0qTJZDdoHMCCuXnin5EY2OCfVJ3USs8fmUPW4ZJk84Wax3qgA5nOjglJHRzFkHV2B9vBic-xzFPdfnr/ZittoKabweACTLeader3.jpg?width=650)
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA ACT WAZALENDO KATIKA VIKAO VYAKE VYA MEI 23-24
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Taarifa kwa umma kupitia vyombo habari kuhusu vikao vya kamati za Bunge kuanza tarehe 13 — 23 Januari 2015
Mwito kwa kamati 2015.docx by moblog