DC SOPHIA MJEMA AWAPONGEZA USHIRIKIANO WA MADIWANI, WATENDAJI KATIKA KULETA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z_IMmzzHeLQ/XuD9a1GRg-I/AAAAAAALtZ4/-slWgggJ-EI7hx_-OIpkUhyqsM6vJOm1ACLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
MKUU wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam Dk.Sophia Mjema amewapongeza madiwani wote, wakuu wa idara, watendaji na Mkurugenzi wa wilaya hiyo kwa utendaji kazi mzuri na ushirikiano walionesha katika Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dk.John Magufuli.
Pamoja na hayo amesema kwa pamoja watendaji, watumishi na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ilala wamefanikisha kuongezeka kwa ukusanyaji wa mapato pamoja na utoaji wa mikopo kwa wananchi.
Dk.Mjema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Dec
CCM chakabidhi usafiri kwa watendaji Njombe ili kuleta ufanisi katika maendeleo
Katika kuhakikisha shughuli za Maendeleo zinafanyika kwa kufuata kauli mbiu ya Rais John Pombe Magufuli, Chama cha Mapinduzi CCM, kimekabidhi vifaa vya usafiri kwa watendaji wake wa jimbo la Njombe vikiwemo .
Watendaji hao wakiwemo makatibu kata na viongozi wa matawi wamepewa pikipiki na baiskeli zenye thamani ya shilingi milioni 45 msaada ambao umetolewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa na Mbunge wa Jimbo la Makambako Deo Sanga kutimiza ahadi aliyoitoa kabla ya uchaguzi.
Akikabidhi vifaa hivyo...
5 years ago
CCM BlogMKUU WA WILAYA ILALA BI. SOPHIA MJEMA AISHUKURU TAASISI YA ASSAS TRUST YA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziUDHAIFU WA USIMAMIZI WA MIRADI MBALIMBALI NI CHANGAMOTO KATIKA KULETA KASI YA MAENDELEO NDANI YA JAMII
Katika sekta ya elimu, ongezeko kubwa la shule kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu limeshuhudiwa. Hii ni moja ya hatua kubwa kuwahi kufikiwa...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC02101.jpg)
RC MOROGORO AWAPONGEZA WATENDAJI WILAYANI ULANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s640/DSC02101.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yhMdmJY4Oz0/XsTgYf02T3I/AAAAAAALq40/SmPKiukvaCcl0iwINBPca7pNL1zLNO41ACLcBGAsYHQ/s640/thumb_731_800x420_0_0_auto.jpg)
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3VYQ9M6FXXw/XnjO2Yq9q2I/AAAAAAALk14/x5lajS_DonAgwl6wJ-iZG1iyyKBlADywwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_488_800x420_0_0_auto%25281%2529.jpg)
DC KARATU AWAPONGEZA WATENDAJI WA HALMASHAURI KWA KUANDAA BAJETI BORA
Na Woinde Shizza ,KARATU
Mkuu wa wilaya ya Karatu Theresia Muhongo amewapongeza watendaji wa Halmashauri kwa kuandaa bajeti bora iliyokidhi mahitaji ya kila sekta.
Aliyasema hayo juzi katika Kikao maalumu cha kamati ya ushauri wilaya kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri, na kuongozwa na mkuu wa wilaya hiyo ambaye pia ni mwenyekiti katika Kikao hicho ambacho jukumu lake ni kushauri na kilifanya mapitio ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kuridhia kupitisha bajeti hiyo.
Alisema kuwa...
9 years ago
Habarileo11 Dec
Madiwani Arusha waaswa kushirikiana na watendaji
MADIWANI wa Jiji la Arusha wameaswa kushirikiana na watendaji wa Halmashauri ya Jiji hilo katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana. Hayo yalisemwa jana jijini hapa na Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Adolph Mapunda wakati alipokuwa akifungua kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Jiji hilo sambamba na uchaguzi wa Meya na Naibu Meya na wajumbe wa Kamati mbalimbali za Kudumu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NTL6YwuTxPY/Xq5hthSCdqI/AAAAAAALo34/Z7h4IXtg_A079_gKguJ7uwSfRkjw0hdqwCLcBGAsYHQ/s72-c/fa89287d-4c26-4bc2-8b04-3f05fda6f45f.jpg)
Baraza la madiwani Kalambo laazimia kuwafukuza kazi watendaji wezi
![](https://1.bp.blogspot.com/-NTL6YwuTxPY/Xq5hthSCdqI/AAAAAAALo34/Z7h4IXtg_A079_gKguJ7uwSfRkjw0hdqwCLcBGAsYHQ/s640/fa89287d-4c26-4bc2-8b04-3f05fda6f45f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4feb3652-d980-412c-a3d7-cd03d4a9c8ac.jpg)
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Mh. Daudi Sichon
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/48d2e151-c65c-4aba-bca7-3785520b5200.jpg)
Baadhi yaWataalamu waliohudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri kilichohusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/04694fcd-9165-4ae4-9e56-92a66a11ac96.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10