Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC SOPHIA MJEMA AWAPONGEZA USHIRIKIANO WA MADIWANI, WATENDAJI KATIKA KULETA MAENDELEO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
MKUU wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam Dk.Sophia Mjema amewapongeza madiwani wote, wakuu wa idara, watendaji na Mkurugenzi wa wilaya hiyo kwa utendaji kazi mzuri na ushirikiano walionesha katika Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dk.John Magufuli.
Pamoja na hayo amesema kwa pamoja watendaji, watumishi na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ilala wamefanikisha kuongezeka kwa ukusanyaji wa mapato pamoja na utoaji wa mikopo kwa wananchi.
Dk.Mjema...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

CCM chakabidhi usafiri kwa watendaji Njombe ili kuleta ufanisi katika maendeleo

Katika kuhakikisha shughuli za Maendeleo zinafanyika kwa kufuata kauli mbiu ya Rais John Pombe Magufuli, Chama cha Mapinduzi CCM, kimekabidhi vifaa vya usafiri kwa watendaji wake wa jimbo la Njombe vikiwemo  .

Watendaji hao wakiwemo makatibu kata na viongozi wa matawi wamepewa pikipiki na baiskeli zenye thamani ya shilingi milioni 45 msaada ambao umetolewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa na Mbunge wa Jimbo la Makambako Deo Sanga kutimiza ahadi aliyoitoa kabla ya uchaguzi.

Akikabidhi vifaa hivyo...

 

5 years ago

CCM Blog

MKUU WA WILAYA ILALA BI. SOPHIA MJEMA AISHUKURU TAASISI YA ASSAS TRUST YA JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bi. Sophia Mjema (kushoto) akiishukuru Taasisi ya Assas Trust kwa michango yao wanayoendelea kutoa kupitia Ofisi yake kama ambavyo leo Mei 19, 2020 wameto nyakula mbalimbali kwa Kaya 150 kwa wenye uhitaji, kulia ni mfanyakazi wa kujitolea wa Taasisi hiyo  Abdulhakim Bayakubu
 Baadhi ya wawakilishi wa Taasisi ya Assas Trust wakishusha mifuko ya vyakula eneo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala kwa niaba ya kumkabidhi Mkuu wa Wilaya kwa malengo kuwafikia wananchi wenye...

 

9 years ago

Michuzi

UDHAIFU WA USIMAMIZI WA MIRADI MBALIMBALI NI CHANGAMOTO KATIKA KULETA KASI YA MAENDELEO NDANI YA JAMII

Tanzania ya leo, imepitia mabadiliko mengi yanayogusa kila sekta tangu ilipojikomboa na kuwa nchi huru baada miaka 53 ya utawala wa kikoloni. Kwa mfano, katika kipindi hicho hadi sasa, nchi imeshuhudia kuimarika kwa huduma mbalimbali za kijamii. Kwa uchache, huduma hizi ni pamoja na afya, elimu, demokrasia, utalii, viwanda na miundombinu mbalimbali. 
 Katika sekta ya elimu, ongezeko kubwa la shule kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu limeshuhudiwa. Hii ni moja ya hatua kubwa kuwahi kufikiwa...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Ndugu Sophia Mjema akilakiwa na Dkt. Martha Kisanga, Meneja wa Kanda ya Pwani wa Shirika la Engender Health mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Shule ya Sekondari Kibasila kwa ajili ya kufunga rasmi mafunzo ya siku 5 yaliyohusu mradi wa kuzuia mimba za utotoni katika Shule za Sekondari katika Wilaya ya Temeke tarehe 17.4.2015. Waliosimama katikati ni Ndugu Donald Siliva, Afisa-Elimu Sekondari, Wilaya ya Temeke na Dkt. Sarah Maongezi, Mkurugenzi wa Afya kutoka...

 

5 years ago

Michuzi

RC MOROGORO AWAPONGEZA WATENDAJI WILAYANI ULANGA

 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Sanare akitoa maelekezo kwa Watendaji wa Wilaya ya Ulanga Wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya Mh. Ngollo Malenya mara baada ya kukagua soko la MahengeMkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Jonas Malosa kwa kusimamia vizuri Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya hiyo ikiwemo Hospitali ya Wilaya.

Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18...

 

5 years ago

Michuzi

DC KARATU AWAPONGEZA WATENDAJI WA HALMASHAURI KWA KUANDAA BAJETI BORA


Na Woinde Shizza ,KARATU

Mkuu wa wilaya ya Karatu Theresia Muhongo amewapongeza watendaji wa Halmashauri kwa kuandaa bajeti bora iliyokidhi mahitaji ya kila sekta.

Aliyasema hayo juzi katika Kikao maalumu cha kamati ya ushauri wilaya kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri, na kuongozwa na mkuu wa wilaya hiyo ambaye pia ni mwenyekiti katika Kikao hicho ambacho jukumu lake ni kushauri na kilifanya mapitio ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha na kuridhia kupitisha bajeti hiyo.

Alisema kuwa...

 

9 years ago

Habarileo

Madiwani Arusha waaswa kushirikiana na watendaji

MADIWANI wa Jiji la Arusha wameaswa kushirikiana na watendaji wa Halmashauri ya Jiji hilo katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana. Hayo yalisemwa jana jijini hapa na Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Adolph Mapunda wakati alipokuwa akifungua kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Jiji hilo sambamba na uchaguzi wa Meya na Naibu Meya na wajumbe wa Kamati mbalimbali za Kudumu.

 

5 years ago

Michuzi

Baraza la madiwani Kalambo laazimia kuwafukuza kazi watendaji wezi

Baadhi ya Madiwani waliohudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri kilichohusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nchini.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Mh. Daudi Sichon

Baadhi yaWataalamu waliohudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri kilichohusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nchini.
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani