Baraza la madiwani Kalambo laazimia kuwafukuza kazi watendaji wezi
![](https://1.bp.blogspot.com/-NTL6YwuTxPY/Xq5hthSCdqI/AAAAAAALo34/Z7h4IXtg_A079_gKguJ7uwSfRkjw0hdqwCLcBGAsYHQ/s72-c/fa89287d-4c26-4bc2-8b04-3f05fda6f45f.jpg)
Michuzi
Baadhi ya Madiwani waliohudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri kilichohusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nchini.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Mh. Daudi Sichon
Baadhi yaWataalamu waliohudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri kilichohusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nchini.
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Madiwani Kalambo wamgomea mkurugenzi
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Philibert Ngaponda, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya madiwani kugoma kuendelea na kikao cha Baraza la Madiwani kutokana na kile...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Madiwani Kalambo waridhia uanzishwaji CHF
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, limeridhia kupitisha sheria itakayoruhusu kuanzishwa kwa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Wakipitisha sheria hiyo ndogo, wajumbe wa baraza...
10 years ago
Habarileo27 Sep
Madiwani washindwa kuwabana wezi
TANI 35 za mahindi yaliyotolewa na serikali kukabili njaa wilayani Korogwe Vijijini, zinadaiwa kuibwa na baadhi ya watendaji wa halmashauri na kuuzwa jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo11 Dec
Madiwani Arusha waaswa kushirikiana na watendaji
MADIWANI wa Jiji la Arusha wameaswa kushirikiana na watendaji wa Halmashauri ya Jiji hilo katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana. Hayo yalisemwa jana jijini hapa na Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Adolph Mapunda wakati alipokuwa akifungua kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Jiji hilo sambamba na uchaguzi wa Meya na Naibu Meya na wajumbe wa Kamati mbalimbali za Kudumu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z_IMmzzHeLQ/XuD9a1GRg-I/AAAAAAALtZ4/-slWgggJ-EI7hx_-OIpkUhyqsM6vJOm1ACLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
DC SOPHIA MJEMA AWAPONGEZA USHIRIKIANO WA MADIWANI, WATENDAJI KATIKA KULETA MAENDELEO
MKUU wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam Dk.Sophia Mjema amewapongeza madiwani wote, wakuu wa idara, watendaji na Mkurugenzi wa wilaya hiyo kwa utendaji kazi mzuri na ushirikiano walionesha katika Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dk.John Magufuli.
Pamoja na hayo amesema kwa pamoja watendaji, watumishi na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ilala wamefanikisha kuongezeka kwa ukusanyaji wa mapato pamoja na utoaji wa mikopo kwa wananchi.
Dk.Mjema...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rQEdWxaaOA8/U-DMARLPYOI/AAAAAAAAFzI/c6EMAO41Yno/s72-c/IMG_2763.jpg)
JUHUDI ZA UONGOZI WA MKOA WA RUKWA KUENDELEZA UTALII WA MAPOROMOKO YA KALAMBO (KALAMBO FALLS) ZAENDELEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rQEdWxaaOA8/U-DMARLPYOI/AAAAAAAAFzI/c6EMAO41Yno/s1600/IMG_2763.jpg)
Zipo jitihada kadhaa zilizokwishafanywa na uongozi wa Mkoa wa Rukwa ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Eng. Stella Manyanya katika...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Mtafaruku wazuka Baraza la Madiwani
UTARATIBU wa kuchagua kamati mbalimbali za baraza la madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, limekumbwa na mtafaruku.
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Baraza la Madiwani lamgomea waziri
BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, limemgomea Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri kuendelea...