Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Kalambo waridhia uanzishwaji CHF

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, limeridhia kupitisha sheria itakayoruhusu kuanzishwa kwa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Wakipitisha sheria hiyo ndogo, wajumbe wa baraza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Kalambo wamgomea mkurugenzi

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Philibert Ngaponda, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya madiwani kugoma kuendelea na kikao cha Baraza la Madiwani kutokana na kile...

 

5 years ago

Michuzi

Baraza la madiwani Kalambo laazimia kuwafukuza kazi watendaji wezi

Baadhi ya Madiwani waliohudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri kilichohusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nchini.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Mh. Daudi Sichon

Baadhi yaWataalamu waliohudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri kilichohusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nchini.
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo 

 

11 years ago

Michuzi

JUHUDI ZA UONGOZI WA MKOA WA RUKWA KUENDELEZA UTALII WA MAPOROMOKO YA KALAMBO (KALAMBO FALLS) ZAENDELEA

Kaimu Afisa Ardhi na Maliasili Wilaya ya Kalambo Ndugu Makwasa Biswalo (katikati) akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya eneo lililopimwa katika kijiji cha Kapozwa kwa ajili ya kuendeleza Utalii katika Kijiji hicho ambacho kina maporomoko ya mto Kalambo (Kalambo Falls), maporomoko ambayo ni ya pili kwa urefu barani Afrika yakiwa na urefu wa mita 235. 
Zipo jitihada kadhaa zilizokwishafanywa na uongozi wa Mkoa wa Rukwa ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Eng. Stella Manyanya katika...

 

10 years ago

Habarileo

Wamasai waridhia kuacha ukeketaji

Mokombo Olaiboni SimeliVIONGOZI wakuu wa jamii ya Kimasai wa Afrika Mashariki wameridhia kuachana na mila potofu zilizopitwa na wakati ikiwemo vitendo vya ukeketaji kwa wasichana wa jamii ya Kimasai ambavyo vimekuwa vikiwaathiri wasichana hao kwa kiasi kikubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

ARDHI: Waridhia shamba la Hanga kurejeshwa

>Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea wameridhia kwa pamoja kuwa shamba la mifugo la Hanga Ngadinda wapewe wananchi ili waweze kuliendeleza kwa shughuli za kilimo na mifugo, badala ya kuendelea kutotumika au kupewa mwekezaji mmoja.

 

11 years ago

Habarileo

Mawaziri waridhia kuanzishwa Mfuko wa Ukimwi

William LukuviBARAZA la Mawaziri limepitisha suala la uanzishwaji wa Mfuko wa Ukimwi na kuridhia mapitio ya Sheria ya Ukimwi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani