Madiwani Arusha waaswa kushirikiana na watendaji
MADIWANI wa Jiji la Arusha wameaswa kushirikiana na watendaji wa Halmashauri ya Jiji hilo katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana. Hayo yalisemwa jana jijini hapa na Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Adolph Mapunda wakati alipokuwa akifungua kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Jiji hilo sambamba na uchaguzi wa Meya na Naibu Meya na wajumbe wa Kamati mbalimbali za Kudumu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Mar
WATENDAJI DAR WAASWA KUSHIRIKIANA ILI KUWEKA JIJI KATIKA HALI YA USAFI
![DSC_1151](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_1151.jpg)
Meneja Huduma Maji taka kutoka Dawasco, Mathias Mulagwande (mwenye suti ya damu ya mzee) akinyoosha kidole kumuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick (wa pili kulia) sehemu korofi za kutiririsha maji machafu barabara ya Morogoro kati kati ya jiji.
Na Damas Makangale
WATENDAJI wa Mamlaka za Maji Safi na Taka, Manispaa, Halmashauri, Wakala wa Barabara na Mabasi yaendayo kasi wameshauri kuwa na utaratibu wa kuwasiliana na kushirikiana kwa pamoja ili kuleta tija katika...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_1151.jpg?width=640)
WATENDAJI DAR WAASWA KUSHIRIKIANA ILI KUWEKA JIJI KATIKA HALI YA USAFI
11 years ago
Habarileo26 Apr
Waaswa kushirikiana kumaliza migogoro ya mipaka
WATUMISHI wa idara ya ardhi katika halmashauri ya wilaya ya Singida wametakiwa kushirikiana na madiwani wao ili kutatua migogoro ya mipaka iliyopo maeneo mbalimbali ya halmashauri hiyo.
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Madiwani Kigoma watakiwa kushirikiana na wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Saveli Mwangasame, akizungumza na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. (Picha na Emmanuel Senny).
Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Enock Jonas, akizungumza na madiwani baada ya kuchaguliwa katika kikao chao cha kwanza. (Picha na Emmanuel Senny).
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuapishwa. (Picha na Emmanuel Senny)
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Madiwani wa...
10 years ago
StarTV14 Jan
Maafisa ardhi waaswa kuelimisha watendaji Manyara.
Na Ramadhan Mvungi
Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joel Bendera amewaagiza maafisa wa ardhi kuwaelimisha watendaji ngazi za vijiji na kata kuhusu sheria za ugawaji wa Ardhi.
Hatua hii itaepusha utaratibu wa uuzwaji wa ardhi kiholela unaochangia migogoro na mauaji katika baadhi ya maeneo mkoani Manyara.
o que fazer viagra para homensAkizungumza na viongozi wa kiserikali pamoja na watumishi wa umma wilayani Kiteto katika ziara yake akiwa kama Mkuu mpya wa Mkoa wa Manyara, Bendera...
9 years ago
MichuziWATENDAJI WA SEKTA YA AFYA WAASWA KUKABILIANA NA KIPINDUPINDU
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Waandishi wa habari waaswa kushirikiana na TMF ili kupunguza utegemezi wa matangazo
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. kushoto kwake ni Msaidizi wa Mwakilishi wa Mfuko wa Umoja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NTL6YwuTxPY/Xq5hthSCdqI/AAAAAAALo34/Z7h4IXtg_A079_gKguJ7uwSfRkjw0hdqwCLcBGAsYHQ/s72-c/fa89287d-4c26-4bc2-8b04-3f05fda6f45f.jpg)
Baraza la madiwani Kalambo laazimia kuwafukuza kazi watendaji wezi
![](https://1.bp.blogspot.com/-NTL6YwuTxPY/Xq5hthSCdqI/AAAAAAALo34/Z7h4IXtg_A079_gKguJ7uwSfRkjw0hdqwCLcBGAsYHQ/s640/fa89287d-4c26-4bc2-8b04-3f05fda6f45f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4feb3652-d980-412c-a3d7-cd03d4a9c8ac.jpg)
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Mh. Daudi Sichon
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/48d2e151-c65c-4aba-bca7-3785520b5200.jpg)
Baadhi yaWataalamu waliohudhuria kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri kilichohusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/04694fcd-9165-4ae4-9e56-92a66a11ac96.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10