Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Kigoma watakiwa kushirikiana na wananchi

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Saveli Mwangasame, akizungumza na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. (Picha na Emmanuel Senny) (4)-1

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Saveli Mwangasame, akizungumza na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. (Picha na Emmanuel Senny).

Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Enock Jonas, akizungumza na madiwani baada ya kuchaguliwa katika kikao chao cha kwanza. (Picha na Emmanuel Senny) (1)

Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Enock Jonas, akizungumza na madiwani baada ya kuchaguliwa katika kikao chao cha kwanza. (Picha na Emmanuel Senny).

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuapishwa. (Picha na Emmanuel Senny)

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuapishwa. (Picha na Emmanuel Senny)

Na Emmanuel Senny, Kigoma

Madiwani wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Madiwani Arusha waaswa kushirikiana na watendaji

MADIWANI wa Jiji la Arusha wameaswa kushirikiana na watendaji wa Halmashauri ya Jiji hilo katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana. Hayo yalisemwa jana jijini hapa na Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Adolph Mapunda wakati alipokuwa akifungua kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Jiji hilo sambamba na uchaguzi wa Meya na Naibu Meya na wajumbe wa Kamati mbalimbali za Kudumu.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa Afrika watakiwa kushirikiana

VIONGOZI wa nchi za Afrika wametakiwa kudumisha ushirikiano baina ya nchi zao ili wafikie maendeleo na kutoiga tabia ya viongozi wa zamani ya kutothamini ushirikiano, kwa kuwa inadumaza maendeleo, licha ya nchi zao kuwa na uhuru.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaosafirisha mahujaji watakiwa kushirikiana

TAASISI za kusafirisha Mahujaji nchini zimetakiwa kushirikiana ili kuwatendea haki waislam wanaokwenda kuhiji Makha ncini Saud Arabia, mwaka huu. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam jana na Mwanyekiti wa Taasisi...

 

11 years ago

GPL

MKURUGENZI MKUU PSPF AKUTANA NA MADIWANI WA KIGOMA

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akizungumza na madiwani wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwenye makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam jana. Kulia kwa Mkurugenzi Mkuu, ni Meya wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji, Bakari Beji na Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa PSPF, Gabriel Silayo. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akizungumza na madiwani wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

WAKUNGA WA JADI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WATALAM WA AFYA ZANZIBAR

Mmoja wa wakunga wa jadi Bi. Namboto Sheha Kombo akielezea jinsi wanavyofanya kazi zao za ukunga katika mkutano uliofanyika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa kaskazini "A" Unguja.Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahamoud Thabit Kombo akizungumza na wakunga wa jadi, na kuwataka washirikiane na watalaam wa Afya katika kazi zao ili kupunguza vifo vya Akinamama na watoto.Msaidizi daktari dhamana Hospitali ya Muembe ladu Ruzuna A.M. Shamte akifahamisha kitu katika mkutano wa wakunga wa jadi na watalam wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Mbeya watakiwa kuwa wabunifu

MADIWANI nchini wameaswa kuepuka tofauti zao za kisiasa, badala yake kuwa wabunifu wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha wanaleta maendeleo katika halmashauri zao. Mjumbe wa Kamati Tendajii ya Jumuiya ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madiwani watakiwa kupima afya zao

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Joseph Muhumba, ametoa wito kwa madiwani kuchunguza afya zao kwa lengo la kubaini magonjwa yanayowakabili na kupata tiba mapema sambamba na...

 

9 years ago

Mwananchi

Madiwani wa ACT watakiwa kuepuka ufisadi

Madiwani wa ACT–Wazalendo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia misingi ya utawala bora na kuepuka kushiriki vitendo vya ufisadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani