Madiwani wa ACT watakiwa kuepuka ufisadi
Madiwani wa ACT–Wazalendo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia misingi ya utawala bora na kuepuka kushiriki vitendo vya ufisadi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-da_x8VyBNjw/Xni0wWYORVI/AAAAAAALkys/WkmMbZkYEUYjVB7XtDsZi-aJmpUkuM7VACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Watumishi TBS Watakiwa Kuepuka Vishawishi
Prof. Shemdoe aliyasema hayo hivi karibuni alipotembelea TBS kwa mara ya kwanza baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo.
Prof. Shemdoe alisema ili kuwezesha biasharaTBS inapaswa kufanya kazi kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UH3DXAnBH-E/Xs9V1jlw1bI/AAAAAAALrzg/qv6Gl7zLrEge_vCmfjZTbNy9vusLThO8wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200527_142847_895.jpg)
WALEMAVU WATAKIWA KUEPUKA MAENEO HATARISHI.
NA DENIS MLOWE,IRINGA
WALEMAVU wametakiwa kuwa makini kuepuka maeneo hatarishi ambayo yatasababisha kupata kwa urahisi virusi vya corona na kuzingatia elimu inayotolewa na wizara ya afya na wadau mbalimbali juu ya kupambana na kuenea kwa virus vya corona.
Wito huo umetolewa na Mratibu wa Mradi Juu ya kupambana na kuenea kwa Virusi vya Corona kwa Walemavu mkoani Iringa unaofadhiliwa na Taasisi ya Foundation For Civil Society (FCS), Philemon Kisinini wakati akizungumza na mwanahabari kuhusu...
10 years ago
Dewji Blog13 May
Waandishi wa Habari watakiwa kuepuka lugha za chuki
Meza kuu. (Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja blog).
Mshehereshaji wa Semina Bi. Rose Mwalongo akiwakaribisha washiriki wote waliofika kwenye semina ya siku mbili iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali nchini la International Association of women in radio and television (AWRTT) kwa kushirikiana na Ethical Journalism Network ambapo wamewakutanisha wanahabari mbalimbali kutoka nchini Tanzania pamoja na nchi za Afrika.
Na Mwandishi wetu
Ikiwa Tanzania inajiandaa kwa ajili ya...
9 years ago
StarTV18 Sep
Wananchi watakiwa kuepuka uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu
Jeshi la Polisi nchini limetoa tamko juu ya uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na baadhi ya watu kufanya vitendo vyenye mwelekeo wa uvunjifu wa amani.
Zaidi ya matukio 107 yameripotiwa katika vituo vya polisi na 38 tayari yamefunguliwa kesi na kufikishwa mahakamani yakiwa na jumla ya watuhumiwa 52.
Akitoa tamko hilo msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu Msaidizi wa Polisi SSP Advera Bulimba amesema katika kipindi hiki cha kampeni na kuelekea uchaguzi mkuu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-19.jpg)
WATENDAJI SEKTA YA ARDHI OFISI ZA MIKOA WATAKIWA KUEPUKA URASIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s640/1-19.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mary Makondo akizungumza wakati wa kufunga mafunzo kwa watendaji wa sekta ya Ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-13.jpg)
Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Nhonge akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya Watendaji wa sekta ya ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi...
9 years ago
StarTV02 Dec
Viongozi BAKWATA Arusha watakiwa kufuata Katiba ili kuepuka mifarakano
Baraza la Waislamu nchini Mkoa wa Arusha limewataka viongozi wa baraza hilo kuhakikisha wanafuata katiba katika kusimamia na kutimiza majukumu yaliyoainishwa ili kuepuka mifarakano ya mara kwa mara miongoni mwa waumini na viongozi.
Baraza hilo limesema liko tayari kushirikiana na taasisi nyingine zilizo rasmi pasipo kuharibu lengo la kuwepo kwa taasisi hizo.
Haya yamezungumzwa na viongozi wa BAKWATA mkoa wa Arusha baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wapya uchaguzi uliofanyika kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s72-c/tbs.jpg)
TBS WATAKIWA KUEPUKA VISHAWISHI NA URASIMU NCHI IWE SALAMA NA KUVUTIA WAWEKEZAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s320/tbs.jpg)
Na Roida Andusamile-TBS
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe...
9 years ago
StarTV04 Jan
 Wataalam wa ardhi watakiwa kuwa makini katika upimaji ili Kuepuka Migogoro
Wataalam wa ardhi katika Halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya wametakiwa kuwa makini wakati wa utekelezaji wa kazi ya upimaji wa viwanja vya makazi na mji wa halmashauri hiyo ili kuepuka migogoro ya ardhi isiyo ya lazima na wananchi.
Tahadhari hiyo imetolewa na Kamishna wa Ardhi kanda ya kaskazini Suma Tumpale kutokana nia taarifa ya wataalamu wa Ardhi wa Halmashauri hiyo kueleza kuwepo kwa mgomo wa baadhi ya wananchi wanaopinga uendeshwaji wa zoezi hilo katika maeneo yao.
Halmashauri ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3vgFu3FnjSg/VUm9zJFNKnI/AAAAAAAHVrw/BacOq5UY8oI/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
WANANCHI NA TAASISI WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI WANAPOTAKA KUPIMA MAENEO YAO YA ARDHI KUEPUKA KUTAPELIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3vgFu3FnjSg/VUm9zJFNKnI/AAAAAAAHVrw/BacOq5UY8oI/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zjBI5Vl6vjU/VUm9zFFyELI/AAAAAAAHVro/IZ3ePzhU3ag/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)