Watumishi TBS Watakiwa Kuepuka Vishawishi
![](https://1.bp.blogspot.com/-da_x8VyBNjw/Xni0wWYORVI/AAAAAAALkys/WkmMbZkYEUYjVB7XtDsZi-aJmpUkuM7VACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe amewataka watumishi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kuepuka vishawishi katika utendaji kazi ili nchi iwe salama na kuvutia wawekezaji zaidi.
Prof. Shemdoe aliyasema hayo hivi karibuni alipotembelea TBS kwa mara ya kwanza baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo.
Prof. Shemdoe alisema ili kuwezesha biasharaTBS inapaswa kufanya kazi kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s72-c/tbs.jpg)
TBS WATAKIWA KUEPUKA VISHAWISHI NA URASIMU NCHI IWE SALAMA NA KUVUTIA WAWEKEZAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s320/tbs.jpg)
Na Roida Andusamile-TBS
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Waaswa kuepuka vishawishi vya ngono
WANAFUNZI waliohitimu darasa la saba shule ya Msingi Tagamenda Kalenga Iringa Vijijini wameaswa kudumisha nidhamu, maadili na kuepuka vishawishi vya ngono za umri mdogo badala yake wazingatie masomo ya Sekondari...
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Askofu mstaafu Singida ataka jamii kuepuka vishawishi
Kanisa la Pentekoste (FPCT) la mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
ASKOFU mstaafu wa kanisa la Pentekoste (FPCT) Singida, mchungaji Paulo Samweli,amewasihi waumini na wananchi kwa ujumla wajenge utamaduni wa kukataa kushawishiwa kirahisi,kwa njia hiyo wanaweza kujiepusha na mambo ambayo yanaweza kumsababishia washindwe kuishi kwa amani na utulivu.
Askofu Samwel ametoa wito huo wakati akihubiri kwenye ibada ya kawaida ya waumini wa kanisa la FPCT la mjini...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Maafisa Wahasibu na wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini watakiwa kujiepusha na vishawishi vya rushwa!
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
TBS kuajiri watumishi 200
Afisa Uhusiano wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi. Roida Andusamile akitoa wito kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuendelea kuelemisha umma kuhusu madhara ya matumizi ya nguo za mdani za mtumba. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Udhibiti Ubora wa Shirika hilo Bi. Mary Meela.
Frank Mvungi-Maelezo
Shirika la viwango Tanzania (TBS) linatarajia kuajiri watumishi 200 katika harakati za kuimarisha utendaji wa shirika hilo.
Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa udhibiti ubora wa shirika hilo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UH3DXAnBH-E/Xs9V1jlw1bI/AAAAAAALrzg/qv6Gl7zLrEge_vCmfjZTbNy9vusLThO8wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200527_142847_895.jpg)
WALEMAVU WATAKIWA KUEPUKA MAENEO HATARISHI.
NA DENIS MLOWE,IRINGA
WALEMAVU wametakiwa kuwa makini kuepuka maeneo hatarishi ambayo yatasababisha kupata kwa urahisi virusi vya corona na kuzingatia elimu inayotolewa na wizara ya afya na wadau mbalimbali juu ya kupambana na kuenea kwa virus vya corona.
Wito huo umetolewa na Mratibu wa Mradi Juu ya kupambana na kuenea kwa Virusi vya Corona kwa Walemavu mkoani Iringa unaofadhiliwa na Taasisi ya Foundation For Civil Society (FCS), Philemon Kisinini wakati akizungumza na mwanahabari kuhusu...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Madiwani wa ACT watakiwa kuepuka ufisadi
10 years ago
Dewji Blog13 May
Waandishi wa Habari watakiwa kuepuka lugha za chuki
Meza kuu. (Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja blog).
Mshehereshaji wa Semina Bi. Rose Mwalongo akiwakaribisha washiriki wote waliofika kwenye semina ya siku mbili iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali nchini la International Association of women in radio and television (AWRTT) kwa kushirikiana na Ethical Journalism Network ambapo wamewakutanisha wanahabari mbalimbali kutoka nchini Tanzania pamoja na nchi za Afrika.
Na Mwandishi wetu
Ikiwa Tanzania inajiandaa kwa ajili ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-19.jpg)
WATENDAJI SEKTA YA ARDHI OFISI ZA MIKOA WATAKIWA KUEPUKA URASIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s640/1-19.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mary Makondo akizungumza wakati wa kufunga mafunzo kwa watendaji wa sekta ya Ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-13.jpg)
Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Nhonge akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya Watendaji wa sekta ya ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi...