Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waaswa kuepuka vishawishi vya ngono

WANAFUNZI waliohitimu darasa la saba shule ya Msingi Tagamenda Kalenga Iringa Vijijini wameaswa kudumisha nidhamu, maadili na kuepuka vishawishi vya ngono za umri mdogo badala yake wazingatie masomo ya Sekondari...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Watumishi TBS Watakiwa Kuepuka Vishawishi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe amewataka watumishi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kuepuka vishawishi katika utendaji kazi ili nchi iwe salama na kuvutia wawekezaji zaidi.

Prof. Shemdoe aliyasema hayo hivi karibuni alipotembelea TBS kwa mara ya kwanza baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo.

Prof. Shemdoe alisema ili kuwezesha biasharaTBS inapaswa kufanya kazi kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Askofu mstaafu Singida ataka jamii kuepuka vishawishi

2

Kanisa la Pentekoste (FPCT) la mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

ASKOFU mstaafu wa kanisa la Pentekoste (FPCT) Singida, mchungaji Paulo Samweli,amewasihi waumini na wananchi kwa ujumla wajenge utamaduni wa kukataa kushawishiwa kirahisi,kwa njia hiyo wanaweza   kujiepusha na mambo ambayo yanaweza kumsababishia washindwe  kuishi kwa amani na utulivu.

Askofu Samwel ametoa wito huo wakati akihubiri kwenye ibada ya kawaida ya waumini wa kanisa la FPCT la mjini...

 

5 years ago

CCM Blog

TBS WATAKIWA KUEPUKA VISHAWISHI NA URASIMU NCHI IWE SALAMA NA KUVUTIA WAWEKEZAJI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara  Prof. Riziki Shemdoe ( wa pili kutoka kulia) akipatiwa maelezo na mtaalam wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS)  kuhusu upimaji wa bidhaa mbalimbali unavyofanyika katika maabara ya uhandisi mitambo, Wakati wa ziara aliyoifanya Katibu Mkuu huyo kwenye Ofisi za TBS jijini Dar es Salaam, hivi karibuni. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa TBS Dk. Athuman Ngenya.



Na Roida Andusamile-TBS
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara  Prof. Riziki Shemdoe...

 

10 years ago

Habarileo

Waislamu waaswa kuepuka vurugu za kisiasa

WAUMINI wa dini ya Kiislamu wametakiwa kuwa mstari wa mbele kukemea vurugu za aina zote zitakazohusishwa na vyama vya siasa wakati huu ambapo nchi inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani.

 

10 years ago

Habarileo

Waaswa kuepuka wanasiasa wenye uchu wa madaraka

WATANZANIA wametakiwa kuepuka wanasiasa wenye uchu wa madaraka ambao wamekuwa wakilazimisha mambo, ikiwa ni pamoja na kutoa kauli zinazoashiria kuvunjika kwa amani na utulivu uliodumu kwa miaka 53 sasa.

 

11 years ago

Michuzi

WAZEE WA KIMILA NA WAKIDINI WAASWA KUKAA NA VIJANA KUEPUKA MAOVU

a.KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda wa pili kulia akiwa anatoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya ziara yake katika mkoa wa Arusha b.
Waandishi wa habari wakiwa kazini
KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda amewataka wazee wa kimila (malwaigwanan), viongozi wa dini pamoja na wazazi kutumia muda wa ziada  kukaa na vijana wao na kukemea kuacha mara moja kutumiwa katika vitendo viovu vinavyoendelea mkoani hapa.

Alisema kuwa ,...

 

9 years ago

StarTV

Viongozi wa Dini waaswa kutohubiri uchochezi Kuepuka Uvunjifu Wa Amani

Baadhi ya  viongozi  wa  Dini  nchini  wametakiwa  kuepuka  kutumia  nyumba za ibaada kuhubiri uchochezi  na kutoa  utabiri  wa mambo  yenye  maslahi  kwa Taifa  kwani   yanaweza  kuleta  madhara   makubwa  kwa jamii.

Kauli  hiyo  imetolewa  na Askofu  Mkuu  wa Muungano   wa makanisa  ya kipentecoste   Tanzania  (MMPT) Erasto Makala   katika  Ibaada   takatifu   ya  kumsimika   mchungaji  kiongozi  wa mission  ya  Nzega    Yeftha  Sang`udi   kwa makanisa  ya pentecoste  yaliyopo  kwenye  ...

 

5 years ago

Michuzi

ASKARI WAASWA KUEPUKA VITENDO VINAVYOLITIA DOSARI JESHI LA POLISI


Na Stella Kalinga, Simiyu.Askari mkoani Simiyu wameaswa kulinda hadhi ya jeshi la polisi kwa kujiepusha na vitendo viovu vinavyolitia dosari jeshi hilo.
Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka wakati akizungumza na askari polisi wa mkoa huo Februari 17, 2020 ambapo amevitaja vitendo hivyo kuwa ni pamoja na kutoa siri za jeshi, kuomba rushwa, utapeli na kushiriki kuharibu ushahidi katika baadhi ya kesi.
“Ni jambo la aibu kwa askari kushiriki katika uhalifu, ...

 

9 years ago

StarTV

 Wakazi Njombe waaswa kusafisha mazingira ili kuepuka  Magonjwa Ya Mlipuko

Wakazi wa mkoa wa Njombe wamehimizwa kuhakikisha wanalinda mazingira kwa kufanya usafi katika makazi yao ili kujihadhari na maambukizi ya magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.

Ni rai ya mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi katika maadhimisho ya Wiki ya Mazingira ambayo yamefanyika kitaifa mkoani Njombe.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Nchimbi amesema mkoa umepata sifa kubwa ya kuwa mwenyeji wa wiki ya maadhimishio hayo na kwamba iwe fursa wakazi hao kujifunza kuwa kielelezo cha usafi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani