Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waislamu waaswa kuepuka vurugu za kisiasa

WAUMINI wa dini ya Kiislamu wametakiwa kuwa mstari wa mbele kukemea vurugu za aina zote zitakazohusishwa na vyama vya siasa wakati huu ambapo nchi inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Waaswa kuepuka vishawishi vya ngono

WANAFUNZI waliohitimu darasa la saba shule ya Msingi Tagamenda Kalenga Iringa Vijijini wameaswa kudumisha nidhamu, maadili na kuepuka vishawishi vya ngono za umri mdogo badala yake wazingatie masomo ya Sekondari...

 

10 years ago

Habarileo

Waaswa kuepuka wanasiasa wenye uchu wa madaraka

WATANZANIA wametakiwa kuepuka wanasiasa wenye uchu wa madaraka ambao wamekuwa wakilazimisha mambo, ikiwa ni pamoja na kutoa kauli zinazoashiria kuvunjika kwa amani na utulivu uliodumu kwa miaka 53 sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wabuni mbinu kuepuka Vurugu viwanjani

Klabu ya Rucife Brazil yabuni mbinu ya kukabiliana na Vijana wanaoleta vurugu michezoni

 

11 years ago

Michuzi

WAZEE WA KIMILA NA WAKIDINI WAASWA KUKAA NA VIJANA KUEPUKA MAOVU

a.KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda wa pili kulia akiwa anatoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya ziara yake katika mkoa wa Arusha b.
Waandishi wa habari wakiwa kazini
KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda amewataka wazee wa kimila (malwaigwanan), viongozi wa dini pamoja na wazazi kutumia muda wa ziada  kukaa na vijana wao na kukemea kuacha mara moja kutumiwa katika vitendo viovu vinavyoendelea mkoani hapa.

Alisema kuwa ,...

 

5 years ago

Michuzi

ASKARI WAASWA KUEPUKA VITENDO VINAVYOLITIA DOSARI JESHI LA POLISI


Na Stella Kalinga, Simiyu.Askari mkoani Simiyu wameaswa kulinda hadhi ya jeshi la polisi kwa kujiepusha na vitendo viovu vinavyolitia dosari jeshi hilo.
Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka wakati akizungumza na askari polisi wa mkoa huo Februari 17, 2020 ambapo amevitaja vitendo hivyo kuwa ni pamoja na kutoa siri za jeshi, kuomba rushwa, utapeli na kushiriki kuharibu ushahidi katika baadhi ya kesi.
“Ni jambo la aibu kwa askari kushiriki katika uhalifu, ...

 

9 years ago

StarTV

Viongozi wa Dini waaswa kutohubiri uchochezi Kuepuka Uvunjifu Wa Amani

Baadhi ya  viongozi  wa  Dini  nchini  wametakiwa  kuepuka  kutumia  nyumba za ibaada kuhubiri uchochezi  na kutoa  utabiri  wa mambo  yenye  maslahi  kwa Taifa  kwani   yanaweza  kuleta  madhara   makubwa  kwa jamii.

Kauli  hiyo  imetolewa  na Askofu  Mkuu  wa Muungano   wa makanisa  ya kipentecoste   Tanzania  (MMPT) Erasto Makala   katika  Ibaada   takatifu   ya  kumsimika   mchungaji  kiongozi  wa mission  ya  Nzega    Yeftha  Sang`udi   kwa makanisa  ya pentecoste  yaliyopo  kwenye  ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waislamu waaswa kutenda matendo mema hata baada ya Ramadhan

DSC01698

Waumini wa Dini ya Kiislamuwakifuatilia mawaidha.

Na MOblog Team

Waumini wa Kiislamu nchini  wamehaswa kuzingatia maadili kwa kufanya matendo mema katika jamii, kwa kipindi chote watakachokuwa kwenye funga ya  Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na baada ya kuisha kwa mwezi huo.

Akitoa mawaidha hayo jijini Dar es Salaam  baada ya kumalizika kwa swala ya Ijumaa wiki ya kwanza ya mfungo mwaka huu, Imam wa Msikiti wa Mtambani Suleiman Abdallah alisema , Uislam ni dini ya amani hivyo ili mja aweze kuwa...

 

9 years ago

StarTV

 Wakazi Njombe waaswa kusafisha mazingira ili kuepuka  Magonjwa Ya Mlipuko

Wakazi wa mkoa wa Njombe wamehimizwa kuhakikisha wanalinda mazingira kwa kufanya usafi katika makazi yao ili kujihadhari na maambukizi ya magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.

Ni rai ya mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi katika maadhimisho ya Wiki ya Mazingira ambayo yamefanyika kitaifa mkoani Njombe.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Nchimbi amesema mkoa umepata sifa kubwa ya kuwa mwenyeji wa wiki ya maadhimishio hayo na kwamba iwe fursa wakazi hao kujifunza kuwa kielelezo cha usafi wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mbeya na aibu ya vurugu za kisiasa

FUJO zilizofanywa na kikundi cha vijana pale Uyole, jijini Mbeya mwishoni mwa juma, zimewachangan

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani