Waislamu waaswa kuepuka vurugu za kisiasa
WAUMINI wa dini ya Kiislamu wametakiwa kuwa mstari wa mbele kukemea vurugu za aina zote zitakazohusishwa na vyama vya siasa wakati huu ambapo nchi inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Waaswa kuepuka vishawishi vya ngono
WANAFUNZI waliohitimu darasa la saba shule ya Msingi Tagamenda Kalenga Iringa Vijijini wameaswa kudumisha nidhamu, maadili na kuepuka vishawishi vya ngono za umri mdogo badala yake wazingatie masomo ya Sekondari...
10 years ago
Habarileo15 Sep
Waaswa kuepuka wanasiasa wenye uchu wa madaraka
WATANZANIA wametakiwa kuepuka wanasiasa wenye uchu wa madaraka ambao wamekuwa wakilazimisha mambo, ikiwa ni pamoja na kutoa kauli zinazoashiria kuvunjika kwa amani na utulivu uliodumu kwa miaka 53 sasa.
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Wabuni mbinu kuepuka Vurugu viwanjani
11 years ago
Michuzi16 Jul
WAZEE WA KIMILA NA WAKIDINI WAASWA KUKAA NA VIJANA KUEPUKA MAOVU
![a.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/3qSbDCMGNZ5h5NYLgCih5zvRwUQxXGb9LfeT86CmSIZr5qvyChXgj-O18cr_mB4uboHPbtedfgR30nlXmJxneIX_XWgapD97TQrlMg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/a3.jpg)
![b.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/i03CuCQY9QHwROelaZIZGjMI6EakNS-mEd7kJloh7qxB9i68JXInmPcsdDenucPrq5DXf3CvSNuqQ4lGGhD6KI6tzyIfeSLcmSsvpA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/b2.jpg)
Waandishi wa habari wakiwa kazini
KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda amewataka wazee wa kimila (malwaigwanan), viongozi wa dini pamoja na wazazi kutumia muda wa ziada kukaa na vijana wao na kukemea kuacha mara moja kutumiwa katika vitendo viovu vinavyoendelea mkoani hapa.
Alisema kuwa ,...
5 years ago
MichuziASKARI WAASWA KUEPUKA VITENDO VINAVYOLITIA DOSARI JESHI LA POLISI
Na Stella Kalinga, Simiyu.Askari mkoani Simiyu wameaswa kulinda hadhi ya jeshi la polisi kwa kujiepusha na vitendo viovu vinavyolitia dosari jeshi hilo.
Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka wakati akizungumza na askari polisi wa mkoa huo Februari 17, 2020 ambapo amevitaja vitendo hivyo kuwa ni pamoja na kutoa siri za jeshi, kuomba rushwa, utapeli na kushiriki kuharibu ushahidi katika baadhi ya kesi.
“Ni jambo la aibu kwa askari kushiriki katika uhalifu, ...
9 years ago
StarTV31 Dec
Viongozi wa Dini waaswa kutohubiri uchochezi Kuepuka Uvunjifu Wa Amani
Baadhi ya viongozi wa Dini nchini wametakiwa kuepuka kutumia nyumba za ibaada kuhubiri uchochezi na kutoa utabiri wa mambo yenye maslahi kwa Taifa kwani yanaweza kuleta madhara makubwa kwa jamii.
Kauli hiyo imetolewa na Askofu Mkuu wa Muungano wa makanisa ya kipentecoste Tanzania (MMPT) Erasto Makala katika Ibaada takatifu ya kumsimika mchungaji kiongozi wa mission ya Nzega Yeftha Sang`udi kwa makanisa ya pentecoste yaliyopo kwenye ...
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Waislamu waaswa kutenda matendo mema hata baada ya Ramadhan
Waumini wa Dini ya Kiislamuwakifuatilia mawaidha.
Na MOblog Team
Waumini wa Kiislamu nchini wamehaswa kuzingatia maadili kwa kufanya matendo mema katika jamii, kwa kipindi chote watakachokuwa kwenye funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na baada ya kuisha kwa mwezi huo.
Akitoa mawaidha hayo jijini Dar es Salaam baada ya kumalizika kwa swala ya Ijumaa wiki ya kwanza ya mfungo mwaka huu, Imam wa Msikiti wa Mtambani Suleiman Abdallah alisema , Uislam ni dini ya amani hivyo ili mja aweze kuwa...
9 years ago
StarTV19 Nov
 Wakazi Njombe waaswa kusafisha mazingira ili kuepuka  Magonjwa Ya Mlipuko
Wakazi wa mkoa wa Njombe wamehimizwa kuhakikisha wanalinda mazingira kwa kufanya usafi katika makazi yao ili kujihadhari na maambukizi ya magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.
Ni rai ya mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi katika maadhimisho ya Wiki ya Mazingira ambayo yamefanyika kitaifa mkoani Njombe.
Mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Nchimbi amesema mkoa umepata sifa kubwa ya kuwa mwenyeji wa wiki ya maadhimishio hayo na kwamba iwe fursa wakazi hao kujifunza kuwa kielelezo cha usafi wa...
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Mbeya na aibu ya vurugu za kisiasa
FUJO zilizofanywa na kikundi cha vijana pale Uyole, jijini Mbeya mwishoni mwa juma, zimewachangan
Mwandishi Wetu