Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waislamu waaswa kutenda matendo mema hata baada ya Ramadhan

DSC01698

Waumini wa Dini ya Kiislamuwakifuatilia mawaidha.

Na MOblog Team

Waumini wa Kiislamu nchini  wamehaswa kuzingatia maadili kwa kufanya matendo mema katika jamii, kwa kipindi chote watakachokuwa kwenye funga ya  Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na baada ya kuisha kwa mwezi huo.

Akitoa mawaidha hayo jijini Dar es Salaam  baada ya kumalizika kwa swala ya Ijumaa wiki ya kwanza ya mfungo mwaka huu, Imam wa Msikiti wa Mtambani Suleiman Abdallah alisema , Uislam ni dini ya amani hivyo ili mja aweze kuwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waislamu waanza kufunga Ramadhan

Waumini wa kiislamu duniani wameanza kutekeleza ibada muhimu ya saumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhan

 

5 years ago

Michuzi

RC SINGIDA ATOA FUTARI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA WAISLAMU






Katibu wa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mbwana Mtingule (kulia) akimkabidhi viazi vitamu Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau vilivyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kwa ajili ya futari ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu wa mkoa huo leo.




Viazi vya futari vikishushwa kwenye gari.


Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi ya Bakwata Mkoa wa Singida.



Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ramadhan: Kanisa moja Ujerumani limefungua milango kwa Waislamu kusali

Hatua mpya za kutokaribiana kuna maanisha kuwa waumini hao hawakuwa na pakuenda hadi pale Wakiriso walipochukua hatua.

 

10 years ago

Habarileo

Waislamu waaswa kuepuka vurugu za kisiasa

WAUMINI wa dini ya Kiislamu wametakiwa kuwa mstari wa mbele kukemea vurugu za aina zote zitakazohusishwa na vyama vya siasa wakati huu ambapo nchi inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani.

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE KULEWA, KUTOKUWA NA AKILI TIMAMU NI KINGA BAADA YA KUTENDA JINAI

Na  Bashir  Yakub.
Wote  tunajua  kuwa  kila  atendaye  kosa  sharti  aadhibiwe.  Na  kuadhibiwa huko  lazima  kuwe  kwa  mujibu  wa  sheria.  Pamoja  na  kuwa  mtenda  kosa  hustahili  adhabu  bado  watenda  kosa  hutofautiana hadhi. Hadhi  hapa  sio  kuwa  fulani ni  mkuu  wa  mkoa  au  mkurugenzi  na  fulani  ni  mkulima  wa  kawaida kijijini  Katanakya.  
Hadhi  ndio  kama  hizo  zilizotajwa katika  kichwa  cha  makala.  Wapo  watenda  makosa   lakini  wakiwa na  umri  mdogo,  wapo...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKUU WA IDARA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPA ZAWADI KATIBU MKUU WAO BAADA YA KUTUNIKIWA NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kulia) akimkabidhi zawadi ya Ngao ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema, Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, kwa niaba ya Wakuu wa Idara na Vitengo wizarani humo. Zawadi hiyo ya kushtukiza iliandaliwa na viongozi hao wa Idara baada ya hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete kumvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), Katibu Mkuu wao katika tukio lililofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza:Hata Baada ya Kuzaa Naona Bado Nina Mvuto!!!

Mwigizaji wa filamu alietoa kali ya  mwaka jana kwa kuvaa  Diaper  wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’ kwenye kusherekea siku yake ya kuzaliwa, Faiza Ally leo ameibuka  na picha akiwa ufukweni amevalia vinguo vya kuogelea huku pembeni akiwa na mtoto wake nakudai kuwa bado ana mvuto hata baada ya kuzaa mtoto.

“Hata baada ya kuzaa naona niko sexy ile mbaya kudadadeki!!!!” Faiza aliandika

Haya hebu jionee na umwambie kitu mama huyu mwenye...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE

Na  Bashir  Yakub.Suala   la  matunzo  haliishi  tu kwa  mtoto/ watoto.  Wengi  wa  wanaume wamekuwa  wakipendelea  kuwajibika  kwa  kutoa  matunzo  ya  watoto  na  kumuacha  mwanamke.  Jambo  hili  si  sawa  na  halikubaliki  kisheria. Ni  vema  kufahamu    kuwa  suala  la matunzo  kwa  mwanamke  limegawanyika   mara  nne.  Kwanza   kuna  matunzo  kipindi  ambacho  ni  cha  ndoa  ambapo  hakuna  mgogoro  wowote  baina  ya  wanandoa. Pili  kuna  matunzo  kwa  mwanamke  kipindi  ambacho...

 

9 years ago

MillardAyo

Duu!! sio Bongo tu hata Ulaya usaliti upo, baada ya kipigo Mourinho kataja wasaliti wake …

December 14 ni siku ambayo Ligi Kuu ya Uingereza iliendelea tena ambapo moja kati ya mechi zilizochezwa ni ile ya Leicester City dhidi ya Chelsea. Mchezo huo uliyochezwa kwenye uwanja wa King Power ulimalizika kwa Chelsea kufungwa goli 2-1, matokeo yaliyoifanya Chelsea kufikisha jumla ya mechi 9 ilizofungwa katika mechi 16 walizocheza msimu huu. Matokeo […]

The post Duu!! sio Bongo tu hata Ulaya usaliti upo, baada ya kipigo Mourinho kataja wasaliti wake … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani