Duu!! sio Bongo tu hata Ulaya usaliti upo, baada ya kipigo Mourinho kataja wasaliti wake …
December 14 ni siku ambayo Ligi Kuu ya Uingereza iliendelea tena ambapo moja kati ya mechi zilizochezwa ni ile ya Leicester City dhidi ya Chelsea. Mchezo huo uliyochezwa kwenye uwanja wa King Power ulimalizika kwa Chelsea kufungwa goli 2-1, matokeo yaliyoifanya Chelsea kufikisha jumla ya mechi 9 ilizofungwa katika mechi 16 walizocheza msimu huu. Matokeo […]
The post Duu!! sio Bongo tu hata Ulaya usaliti upo, baada ya kipigo Mourinho kataja wasaliti wake … appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Baada ya kipigo cha Leicester, Mourinho ahisi kusalitiwa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho (pichani) amesema anahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji wake baada ya kupata kipigo cha goli 2 kwa 1 kutoka kwa Leicester City.
Mourinho alisema ilikuwa ni sahihi kwa Leicester kuwafunga kutokana na kuwatawala kwa kipindi kikubwa cha mchezo huo huku timu yake ikionekana kucheza vizuri kwa dakika za 25 za mwanzoni na kuwafanya kuwa katika wakati mgumu kupata matokeo mazuri.
Aliongeza kuwa aamahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL-KvzaPL3z-sbPGthbDjMvWccQyHAmUgkfvPfpo6hArvSbWlpgi835OwzhRe-AzQQxD7YwsufYQGQEP64Cgb5Sq/Love.jpg)
JE, UPO USALITI WA KUVUMILIA KWA MPENZI?
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio)
Headlines za wanasoka wa kibongo kuulizwa kuhusu lini watastaafu kucheza soka zimekuwa zikiandikwa sana mitandaoni na hata kwenye vyombo vya habari, alianza kusikika nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya Dar Es Salaam Young African Nadir Haroub Canavaro kuwa kacheza kwa muda mrefu, hivyo lini atastaafu? Canavaro kupitia gazeti la habari […]
The post Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio) appeared first on...
9 years ago
Bongo501 Sep
Octopizzo hakudanganya tu kumshirikisha August Alsina, upo ushahidi hata wimbo ‘This Could Be Us’ ameuiba!
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mourinho awalaumu 'ball boys' kwa kipigo
5 years ago
MichuziSIO WANAWAKE TU HATA WANAUME WANAPIGWA WANANYANYASWA -RC MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DcM0Qx-e_7Y/XlfNrynPrfI/AAAAAAALfuE/Q_Su79ep_W0SBY7pc6YpcgCY75AFF1FTQCLcBGAsYHQ/s640/1%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Bongo Movies03 Jun
Picha: Sio Mdomo tu Hata Mkono Nipo Gado- Wastara
Staa wa Bongo Movies Wastara Juma ame-share nasi picha hizi akiwa gym anafanya mazoezi huku akiandika maneno kuelezea kuwa yupo kwenye maandalizi ya filamu mpya inayofanyika chini ya kampuni ya WAJEY Film Company ambapo atakuja kivingine.
Hii ni mistari aliyondika kwenye picha hizo;
WAJEY Film Company Back Soon, New Project New Style
WAJEY, sio mdomo tu hta mkono upo gado
WAJEY....ila ninawashwa kumchapa mtu kichapo cha mbwa mwizi
Mdau, unautabiri vipi ujio huu wa Wastara kwenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsHbES4RtwloZWM3QLO75p5Q0WDJy-GLyyAqLT-FCXt7wd0xrX5XbhCiw*GwdpDm9oT638n0-CB91ADchd6xw*ou/lv.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-10