Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio)

Headlines za wanasoka wa kibongo kuulizwa kuhusu lini watastaafu kucheza soka zimekuwa zikiandikwa sana mitandaoni na hata kwenye vyombo vya habari, alianza kusikika nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya Dar Es Salaam Young African Nadir Haroub Canavaro kuwa kacheza kwa muda mrefu, hivyo lini atastaafu? Canavaro kupitia gazeti la habari […]

The post Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Canavaro kustaafu soka

NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa, Nadir Haroub au maarufu kama Canavaro amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu, licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.

 

9 years ago

Habarileo

Canavaro atangaza kustaafu soka

NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa Nadir Haroub ‘Canavaro’ amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.

 

9 years ago

MillardAyo

Kwa wanaofikiria Ivo Mapunda mzee, ukimuuliza kuhusu stori za kustaafu soka atakujibu hivi (+Audio)

Headlines za golikipa mkongwe ambaye amewahi kucheza katika vilabu vya Simba na Yanga pamoja na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Ivo Mapunda kuhusu suala la umri wake na lini atastaafu soka limeingia katika headlines kwa mara nyingine tena baada ya wengi kuona ameajili na Azam FC kwa mkataba wa muda mfupi, hivyo huenda […]

The post Kwa wanaofikiria Ivo Mapunda mzee, ukimuuliza kuhusu stori za kustaafu soka atakujibu hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

2016 mwaka wangu wa mwisho – Gerrard, hii ndiyo kazi anayowaza kufanya baada ya kustaafu

football-gerrard-steven_3304393

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard (pichani) amesema anapenda kustaafu kucheza soka mwaka huu na kufanya kazi nyingine.

Gerrard ambaye ambaye aliondoka Liverpool mwaka uliyopita na kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS ambayo kwa sasa imemalizika aliliambia gazeti la Telegraph kuwa hana uhakika kwa asilimia zote kama utakuwa mwaka wake wa mwisho lakini anapendelea iwe hivyo.

“Sina...

 

9 years ago

MillardAyo

Duu!! sio Bongo tu hata Ulaya usaliti upo, baada ya kipigo Mourinho kataja wasaliti wake …

December 14 ni siku ambayo Ligi Kuu ya Uingereza iliendelea tena ambapo moja kati ya mechi zilizochezwa ni ile ya Leicester City dhidi ya Chelsea. Mchezo huo uliyochezwa kwenye uwanja wa King Power ulimalizika kwa Chelsea kufungwa goli 2-1, matokeo yaliyoifanya Chelsea kufikisha jumla ya mechi 9 ilizofungwa katika mechi 16 walizocheza msimu huu. Matokeo […]

The post Duu!! sio Bongo tu hata Ulaya usaliti upo, baada ya kipigo Mourinho kataja wasaliti wake … appeared first on...

 

9 years ago

Dewji Blog

Steven Gerrard kustaafu soka 2016

Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard

Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard.

Na Rabi Hume

Kiungo wa zamani wa timu taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool, Steven Gerrard ameweka wazi mipango yake ya kustaafu kucheza soka mwaka 2016 baada ya kukamilika ligi kuu ya Marekani msimu wa mwaka 2016.

Gerrard, 35 amesema anadhani mwaka 2016 ni mwaka sahihi kwa yeye kupumzika kucheza soka na hatapenda mwaka wake wa mwisho kucheza...

 

10 years ago

Africanjam.Com

RIO FERDINAND ATANGAZA RASMI KUSTAAFU SOKA


Nahodha wa zamani wa England, Rio Ferdinand, ameamua kustaafu Soka.
Ferdinand, mwenye Miaka 36, alimpoteza Mkewe Rebecca aliezaa nae Watoto Watatu hapo Mei Mosi Mwaka huu baada kuugua kansa na kufariki.
Katika maisha yake ya Soka aliichezea Timu ya Taifa ya England mara 81 na pia kuwa Nahodha wake.
Kwenye Klabu, Ferdinand alizichezea West Ham, Leeds United, Man United na kumalizia Msimu huu akiwa QPR ambayo imeshushwa Daraja toka Ligi Kuu England.
Akiwa na Man United, Ferdinand alitwaa Ubingwa...

 

9 years ago

Bongo5

Djibril Cisse atangaza kustaafu soka huku machozi yakimtoka

Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa ambaye alikuwa haishi vituko na aliyewahi kuichezea klabu ya Liverpool ya Uingereza, Djibril Cisse, October 20 amefanya maamuzi ambayo wanasoka wengi huyafanya wanapoona muda umefika. Cisse ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 34. Uamuzi wake wa kustaafu soka haukuwa rahisi kwani staa huyo aliutangaza huku machozi […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Dan kustaafu baada ya kombe la dunia

Dan Carter Mchezaji wa timu ya taifa yaNew Zealand atastaafu baada ya kombe la dunia ya mwaka 2015 nchini Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani