Dan kustaafu baada ya kombe la dunia
Dan Carter Mchezaji wa timu ya taifa yaNew Zealand atastaafu baada ya kombe la dunia ya mwaka 2015 nchini Uingereza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Ishi vizuri kabla, baada ya kustaafu
KUSTAAFU ni tunu ambayo wachache hubahatika kuipata kwa sababu moja kubwa; umri wa kustaafu ni wa uzeeni na wengi hawaufikii.
Kwa kawaida kustaafu huwa ni kati ya umri wa miaka 55 na 60 ambapo Watanzania wengi hawaishi na kufikia miaka hiyo kwa sababu mbalimbali; nyingine zimo ndani ya uwezo wao nyingine nyingi ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu.
Wengi hufariki dunia wakiwa bado ni watumishi iwe serikalini au katika sekta binafsi, wakilijenga taifa.
Naam, kustaafu ni tunu ingawa ni...
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Mwananchi07 May
RAIS Kikwete: Nitajitosa kuhifadhi wanyamapori baada ya kustaafu
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Tujiweke sawa kiuchumi tuepuke aibu baada ya kustaafu
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
2016 mwaka wangu wa mwisho – Gerrard, hii ndiyo kazi anayowaza kufanya baada ya kustaafu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard (pichani) amesema anapenda kustaafu kucheza soka mwaka huu na kufanya kazi nyingine.
Gerrard ambaye ambaye aliondoka Liverpool mwaka uliyopita na kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS ambayo kwa sasa imemalizika aliliambia gazeti la Telegraph kuwa hana uhakika kwa asilimia zote kama utakuwa mwaka wake wa mwisho lakini anapendelea iwe hivyo.
“Sina...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio)
Headlines za wanasoka wa kibongo kuulizwa kuhusu lini watastaafu kucheza soka zimekuwa zikiandikwa sana mitandaoni na hata kwenye vyombo vya habari, alianza kusikika nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya Dar Es Salaam Young African Nadir Haroub Canavaro kuwa kacheza kwa muda mrefu, hivyo lini atastaafu? Canavaro kupitia gazeti la habari […]
The post Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio) appeared first on...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CwgjiUDC0-o/U5qox1o29II/AAAAAAAFqQQ/LJb59Yj0u_g/s72-c/800731fcc4607f2aeab40118b301c848.jpg)
kombe la dunia brazil?
![](http://3.bp.blogspot.com/-CwgjiUDC0-o/U5qox1o29II/AAAAAAAFqQQ/LJb59Yj0u_g/s1600/800731fcc4607f2aeab40118b301c848.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z162oVsMbik/U5qozd4We1I/AAAAAAAFqQY/ZEkvhGsuSns/s1600/f10db12d9ddf2ffdb8da742209b62024.jpg)
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Historia ya kombe la dunia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3xY8dpaHm57Y0N6pSMKZCaKrSh1jckLhYXMSCr-vEcvHMs0EZ*sUGvHdHdIKUzzHF*AMA-GhxQK3oi8nTtJTUk/4.gif?width=750)