Ishi vizuri kabla, baada ya kustaafu
KUSTAAFU ni tunu ambayo wachache hubahatika kuipata kwa sababu moja kubwa; umri wa kustaafu ni wa uzeeni na wengi hawaufikii.
Kwa kawaida kustaafu huwa ni kati ya umri wa miaka 55 na 60 ambapo Watanzania wengi hawaishi na kufikia miaka hiyo kwa sababu mbalimbali; nyingine zimo ndani ya uwezo wao nyingine nyingi ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu.
Wengi hufariki dunia wakiwa bado ni watumishi iwe serikalini au katika sekta binafsi, wakilijenga taifa.
Naam, kustaafu ni tunu ingawa ni...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Acha kulalamika, ishi na watu vizuri — 2
Wiki iliyopita nilisema kwamba mtu anaweza akafanya jambo analoona zuri kwake na wakati huo huo likawa chukizo kwa wengine. Sasa endelea… NI vizuri kuepuka kumsifu mtu isivyostahili kwani ni kumvika...
10 years ago
Habarileo11 Oct
JK kumaliza barabara za mikoa kabla ya kustaafu
RAIS Jakaya Kikwete anakusudia kumaliza ujenzi wa barabara zote zinazounganisha mikoa na nchi jirani, kabla hajamaliza muda wake wa uongozi, ili kukamilisha ahadi yake ya kuiunganisha nchi kwa mtandao bora ya barabara.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Dan kustaafu baada ya kombe la dunia
10 years ago
Mwananchi07 May
RAIS Kikwete: Nitajitosa kuhifadhi wanyamapori baada ya kustaafu
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Tujiweke sawa kiuchumi tuepuke aibu baada ya kustaafu
11 years ago
Bongo511 Aug
Utafiti: Sikiliza ‘In Da Club’ ya 50 Cent kabla ya kuingia kwenye usaili wa kazi , utafanya vizuri
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
2016 mwaka wangu wa mwisho – Gerrard, hii ndiyo kazi anayowaza kufanya baada ya kustaafu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard (pichani) amesema anapenda kustaafu kucheza soka mwaka huu na kufanya kazi nyingine.
Gerrard ambaye ambaye aliondoka Liverpool mwaka uliyopita na kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS ambayo kwa sasa imemalizika aliliambia gazeti la Telegraph kuwa hana uhakika kwa asilimia zote kama utakuwa mwaka wake wa mwisho lakini anapendelea iwe hivyo.
“Sina...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio)
Headlines za wanasoka wa kibongo kuulizwa kuhusu lini watastaafu kucheza soka zimekuwa zikiandikwa sana mitandaoni na hata kwenye vyombo vya habari, alianza kusikika nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya Dar Es Salaam Young African Nadir Haroub Canavaro kuwa kacheza kwa muda mrefu, hivyo lini atastaafu? Canavaro kupitia gazeti la habari […]
The post Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies12 May
Kajala Anaendelea Vizuri Baada ya Kupigwa Chupa Usoni
Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja anaendelea vizuri baada yakupigwa chupa na kijana mmoja usiku ya kuamkia jana wakiwa kwenye show ya mwanamziki Mabeste aliyoiandaa ili kuchangisha pesa kwa ajili ajili ya matibabu ya Mkeo.
Leo kupitia ukurasa wake mtandaoni, kajala ameweka picha hiyo hapo juu na kuandika “Maisha yanaendelea au sio......” kuonyesha kuwa yupo poa na anaendelea na masiha yake yakawida.
Akilezea tukio hilo la kupigwa na chupa hapo jana alipofanya mahojiano na mtangazaji...