Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Sikiliza ‘In Da Club’ ya 50 Cent kabla ya kuingia kwenye usaili wa kazi , utafanya vizuri

Utafiti uliofanywa na ‘Society For Personality And Social Psychology’ umedai kuwa kusikiliza nyimbo zenye mdundo au base kubwa huwasaidia wanaosikiliza kujiamini zaidi wakati wa usaili wa kazi au mkutano. Watafiti hao walicheza nyimbo kwa makundi ya watu maalum na kupata mrejesho. Waligawa nyimbo katika makundi mawili “high-power” na “low-power” ambapo mfano wa nyimbo za “high-power” […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WASAILIWA 1,281 KUINGIA DURU YA MWISHO YA USAILI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (ASSISTANT INSPECTOR OF IMMIGRATION)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI


Wasailiwa 1,281 kati ya 6,115 waliofanya usaili wa kwanza tarehe 13 Juni, 2014 jijini Dar es Salam kuomba nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatarajiwa kuingia duru ya pili na ya mwisho ya usaili huo baada ya kufanikiwa kufaulu usaili wa kwanza.


Usaili huu ambao utafanyika kwa awamu utaanza tarehe 23 Juni hadi 03 Julai, 2014 na utafanyikia katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Raia Tanzania

Ishi vizuri kabla, baada ya kustaafu

KUSTAAFU ni tunu ambayo wachache hubahatika kuipata kwa sababu moja kubwa; umri wa kustaafu ni wa uzeeni na wengi hawaufikii.

Kwa kawaida kustaafu huwa ni kati ya umri wa miaka 55 na 60 ambapo Watanzania wengi hawaishi na kufikia miaka hiyo kwa sababu mbalimbali; nyingine zimo ndani ya uwezo wao nyingine nyingi ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu.

Wengi hufariki dunia wakiwa bado ni watumishi iwe serikalini au katika sekta binafsi, wakilijenga taifa.

Naam, kustaafu ni tunu ingawa ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Siri ya kufaulu usaili wa kazi- 2

Wiki iliyopita tulijifunza baadhi ya mbinu zinazoweza kumsaidia mtu anayetafuta ajira pindi anapojiandaa na usaili wa kazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utafiti muhimu kabla ya kufanya biashara

WATU wengi hufikiri kwamba mtaji ni kigezo pekee cha kuanzisha biashara na kutoona umuhimu wa kufanya utafiti. Kutokana na hali hiyo, hujikuta biashara zao zikishindwa kuhimili ushindani kwa kuanguka au...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Michuzi

Taarifa ya walioitwa kwenye usaili TBS


Shirika la Viwango Tanzania linapenda kuwatangazia waombaji wa nafasi za kazi zilizotangazwa 25.5.2015 katika kada zifuatazo, kuwa usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 28 na 29 Septemba 2015 katika ofisi za TBS, Ubungo Dar es Salaam:-Standards Officer II (Pharmacy),Standards Officer II (Microbiology and Chemistry)Standards Officer II (Animal Science) Quality Assurance Officer II (Microbiology with Chemistry)Quality Assurance Officer II (Laboratory Science and Technology)Inspector II (Food &...

 

11 years ago

Michuzi

MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA PILI IDARA YA UHAMIAJI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Wasailiwa 1,281 kati ya 6,115 waliofanya usaili wa kwanza tarehe 13 Juni, 2014 jijini Dar es Salam kuomba nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatarajiwa kuingia duru ya pili na ya mwisho ya usaili huo baada ya kufanikiwa kufaulu usaili wa kwanza. Usaili huu ambao utafanyika kwa awamu utaanza tarehe 23 Juni hadi 03 Julai, 2014 na utafanyikia katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani