Utafiti muhimu kabla ya kufanya biashara
WATU wengi hufikiri kwamba mtaji ni kigezo pekee cha kuanzisha biashara na kutoona umuhimu wa kufanya utafiti. Kutokana na hali hiyo, hujikuta biashara zao zikishindwa kuhimili ushindani kwa kuanguka au...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo511 Nov
Wasomi wengi hawawezi kufanya biashara, ila wanasaidia biashara nyingi kukua
Unapotazama kwa umakini suala la uchumi na mambo ya biashara utagundua wamiliki wakubwa wa biashara nyingi sio wasomi sana ukilinganisha na walioajiriwa kuendesha hizo biashara. Nilipokuwa nikisoma maelezo ya mtu mmoja alizungumzia kitu fulani cha msingi ambacho kinatukabiri sisi ambao kwa namna moja ama nyingine tunasema ni wasomi lakini hatuwezi kuendesha biashara zetu wenyewe. Kitu […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
MAMBO MUHIMU KABLA YA KUNUNUA NYUMBA, KIWANJA KUKWEPA MIGOGORO
Na  Bashir  Yakub MAKALA zilizopita nilieleza  mambo au taarifa muhimu zinazopaswa kuwa kwenye mkataba wako unapokuwa unanunua nyumba/kiwanja. Nikasema mkataba lazima uoneshe iwapo ukitokea mgogoro utatatuliwa vipi, ueleze   utakapotokea mgogoro muuzaji lazima awajibike kuhakikisha anakupa ushirikiano mnunuzi ili kumaliza mgogoro huo na kuwa...
11 years ago
Mwananchi22 May
Urasimishaji wa biashara ni muhimu (2)
Binadamu anapozaliwa hupewa jina ambalo humtambulisha au humtofautisha na binadamu wenzingine. Hata hivyo kutokana na mabadiliko ya sayansi, teknolojia na kijamii baadhi ya watoto hupewa majina hata wangali tumboni mwa mama zao!Â
11 years ago
Mwananchi15 May
Urasimishaji wa biashara ndogo ni jambo muhimu
Urasimishaji biashara, yaani kuifanya biashara itambulike kisheria, ni hatua muhimu sana katika maendeleo ya biashara na taifa kwa ujumla, ingawa wajasiriamali wengi hawajarasimisha biashara zao kwa kuwa baadhi yao hawajua hatua mbalimbali zinazotakiwa kufuatwa.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Haya ndiyo mahitaji muhimu ya biashara
Biashara inayokua ina viashiria mbalimbali vinavyoibainisha na kuitofautisha na biashara nyingine kama vile kuongezeka kwa mtaji wa biashara, kuongezeka kwa faida, kuongezeka kwa wafanyakazi, kuongezeka kwa mauzo, utengenezaji wa bidhaa mpya au utoaji wa huduma wa bidhaa mpya na nafasi yake katika soko.
11 years ago
Bongo511 Aug
Utafiti: Sikiliza ‘In Da Club’ ya 50 Cent kabla ya kuingia kwenye usaili wa kazi , utafanya vizuri
Utafiti uliofanywa na ‘Society For Personality And Social Psychology’ umedai kuwa kusikiliza nyimbo zenye mdundo au base kubwa huwasaidia wanaosikiliza kujiamini zaidi wakati wa usaili wa kazi au mkutano. Watafiti hao walicheza nyimbo kwa makundi ya watu maalum na kupata mrejesho. Waligawa nyimbo katika makundi mawili “high-power” na “low-power” ambapo mfano wa nyimbo za “high-power” […]
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
OMARI KIPUTIPUTI: Elimu ya biashara muhimu kwa vijana
“ILI taifa liweze kuwa na maendeleo ni lazima liwe na watu wasomi wanaoweza kufanya kazi zao kwa kuzalisha mali badala ya kukaa na kusubiria misaada kutoka kwa wafadhili.” Hiyo ni...
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Hatua za kuchukua kabla ya kuanzisha biashara mpya
Watu wengi wana shauku ya kuanzisha biashara mpya. Inawezekana una wazo kubwa na hata ukimwambia mtu mwingine atakuonyesha dole, ishara kwamba ni wazo zuri na linauza.
11 years ago
BBCSwahili26 May
Anachotaka kufanya Jessica kabla ya kupofuka
Mtoto mwenye umri wa miaka 6, ameorodhesha vitu ambavyo angependa kuona kabla ya kupoteza uwezo wake wa kuona kutokana na ugonjwa usio na tiba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania