MAMBO MUHIMU KABLA YA KUNUNUA NYUMBA, KIWANJA KUKWEPA MIGOGORO

Na  Bashir  Yakub MAKALA zilizopita nilieleza  mambo au taarifa muhimu zinazopaswa kuwa kwenye mkataba wako unapokuwa unanunua nyumba/kiwanja. Nikasema mkataba lazima uoneshe iwapo ukitokea mgogoro utatatuliwa vipi, ueleze   utakapotokea mgogoro muuzaji lazima awajibike kuhakikisha anakupa ushirikiano mnunuzi ili kumaliza mgogoro huo na kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Utafiti muhimu kabla ya kufanya biashara
WATU wengi hufikiri kwamba mtaji ni kigezo pekee cha kuanzisha biashara na kutoona umuhimu wa kufanya utafiti. Kutokana na hali hiyo, hujikuta biashara zao zikishindwa kuhimili ushindani kwa kuanguka au...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Utauzaje nyumba na kununua gari?
KATIKA maisha yetu ya kawaida binadamu ni dhahiri wote bila ya kujali tofauti ya uwezo wetu kifedha au kiuchumi kwa ujumla, tunahitaji kula, kuvaa na makazi (malazi). Mahitaji hayo niliyoyataja...
10 years ago
Michuzi
JE WAWEZA KUUZA NYUMBA/KIWANJA ULICHOKOPEA BILA KUMPA TAARIFA ALIYEKUKOPA?.

Nilwahi kueleza namna ya kununua ardhi iliyowekwa mkopo japo sicho ninachozungumza leo. Leo naeleza hadhi ya kisheria ( legal status) ...
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: UNANUNUAJE NYUMBA/KIWANJA BILA KUJIRIDHISHA NA HATUA HII?

Nimewahi kueleza namna au vitu vya msingi ambavyo hutakiwa kuwa katika mkataba wa ununuzi wa nyumba au kiwanja. Nikaeleza umuhimu wa kila kimoja na nikasisitiza kuwa...
10 years ago
Michuzi
ZIJUE ADA UNAZOTAKIWA KULIPA UNAPOTAFUTA/ KUBADILI HATI YA NYUMBA/KIWANJA.

Na Bashir Yakub.
Watu wengi wanaonunua ardhi wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa katika kubadili majina yaani kutoka mmiliki wa mwanzo kwenda kwa mmilki mpya aliyenunua. Upo usumbufu ambao husababishwa kwa makusudi na maafisa wanaohusika lakini pia upo usumbufu ambao husababishwa na watu wenyewe wanaotaka kubadili majina.
K,Wengi huanza muamala huu bila kuwa na taarifa kamili za nini kinahitajika kwa maana ya nyaraka ikiwemo ada au ...
10 years ago
Michuzi05 Jan
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA NYUMBA/KIWANJA, HAKIKISHA HAYA KISHERIA USITAPELIWE
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na migogoro ya mashamba, viwanja na nyumba hasa maeneo ya mijini. Kwa utafiti wa kawaida utagundua kwa haraka baadhi ya sababu ambazo husababisha hali hii.Uaminifu, tamaa, kutelekeza maeneo kwa muda mrefu, utendaji mbovu wa baadhi ya watumishi katika mamlaka za ardhi, uzembe na kutojali ni baadhi ya sababu ambazo huchangia kuwapo na kukua kwa tatizo hili.
Baada ya kuwapo tatizo hili wajibu mkubwa umebaki kwa watu wenyewe kuwa makini na...
10 years ago
Michuzi
makala ya sheria: USINUNUE KIWANJA/NYUMBA YA MIRATHI BILA KUPATA FOMU HII.

Na Bashir YakubNimeandika makala nyingi kuhusu namna ya kisheria ya kuepuka kununua nyumba/viwanja vyenye migogoro kwakuwa migogoro ya vitu hivi inaumiza sana. Waliokutana na migogoro hii wanajua vyema ninaongea nini. Katika mwendelezo wa kumuepusha mnunuzi na janga hili, leo tena tuangalie taratibu za ununuzi wa nyumba/kiwanja cha mirathi. Nataka ieleweke vyema kuwa taratibu za manunuzi ya nyumba/kiwanja zinatofautiana. Tofauti kubwa ni za kisheria hasa namna ya uandishi wa...
10 years ago
Michuzi.jpg)
ILI KUBADILI HATI YA NYUMBA/KIWANJA KWA HARAKA ANDAA NYARAKA HIZI
.jpg)
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: MNUNUZI WA NYUMBA/KIWANJA JIHADHARI SERIKALI ZA MITAA HAWARUHUSIWI KUSIMAMIA MIKATABA KISHERIA.

Na Bashir YakubWiki iliyopita niliandika kuhusu Asilimia kumi ambayo serikali za mitaa huwa wanaidai hasa maeneo ya mijini baada ya wahusika kuwa wameuziana nyumba au kiwanja. Nikasema wazi kabisa bila kungata meno kuwa hiyo pesa iitwayo asilimia kumi au pesa nyingine yoyote mtu atakayolipa serikali za mitaa eti kwakuwa amenunua au ameuza eneo lake ni rushwa. Na leo nakumbusha na kusisitiza tena kuwa Watanzana wajue ukitoa pesa ile umetoa ...