Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anachotaka kufanya Jessica kabla ya kupofuka

Mtoto mwenye umri wa miaka 6, ameorodhesha vitu ambavyo angependa kuona kabla ya kupoteza uwezo wake wa kuona kutokana na ugonjwa usio na tiba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Utafiti muhimu kabla ya kufanya biashara

WATU wengi hufikiri kwamba mtaji ni kigezo pekee cha kuanzisha biashara na kutoona umuhimu wa kufanya utafiti. Kutokana na hali hiyo, hujikuta biashara zao zikishindwa kuhimili ushindani kwa kuanguka au...

 

11 years ago

Mwananchi

Cecilia; nilikosea kutaka kujiua baada ya kupofuka

Ilikuwa mwaka 2011 mwezi wa saba katika eneo la Visole Manispaa ya Morogoro, Cecilia Ricardo anasema kuwa wakati huo akiishi kwa dada yake, Theresia Patrick Ricardo alimtuma mtoto wa dada yake, Evodia kwenda dukani kununua sumu ya kuua panya ili anywe kwa lengo la kujiua.

 

9 years ago

Bongo5

Vitu gani wasanii wa nje wanavyoviangalia kabla ya kukubali kufanya collabo? — Shetta ana majibu

Collabo za kimataifa ni kitu muhimu kwa mwanamuziki yeyote mwenye malengo ya kujitangaza zaidi nje ya mipaka ya nyumbani. Japo sio kazi rahisi kwa msanii kupata collabo na wasanii wakubwa wa nje kama msanii huyo asipozingatia vitu muhimu. Moja ya faida za collabo ni pande zote mbili kupata mashabiki wapya kutoka kila upande wa wasanii […]

 

5 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA


Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .

Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi

PIX 1 (1)

Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.

PIX 3 (1)

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...

 

10 years ago

GPL

DAVID KAFULILA NA JESSICA KISHOA WALIVYOMEREMETA

Mbunge wa Kigoma Kusini, Mhe. David Kafulila akiwa na mai waifu wake Jessica Kishoa wakijiandaa kukata utepe wa kuingia katika mnuso kwenye ukumbi wa Annex uliopo Uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014. Mhe. David Kafulila na mai waifu wake Jessica Kishoa pamoja na wapambe wao Mhe. Deo…

 

5 years ago

WIRED

Christina Koch and Jessica Weir: The Stellar Women of the ISS

Christina Koch and Jessica Weir: The Stellar Women of the ISS  WIREDPuppy love! Astronaut's reunion with her dog after a nearly yearlong flight made us cry  Space.comA Budget for a New Era of Space Exploration on This Week @NASA – February 14, 2020  NASAVideo: NASA Astronaut Has Tear-Jerking Reunion With Dog After 328-Day Space Mission  Sputnik InternationalWatch Astronaut Christina Koch's Dog React To Her Return After A Year | TODAY  TODAYView Full coverage on Google...

 

5 years ago

The Jerusalem Post

Jessica Meir offers isolation advice from the International Space Station

Jessica Meir offers isolation advice from the International Space Station  The Jerusalem PostJapan astronaut Noguchi to return to ISS aboard Space X's ship  Kyodo News PlusHow to watch the SpaceX Dragon spacecraft depart the ISS on Tuesday  Digital TrendsHow to cope with isolation, according to a NASA astronaut - Business Insider  Business InsiderNASA Astronauts Train to Fly the SpaceX Crew Dragon Spacecraft  SciTechDailyView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE SHEREHE YA MIAKA 25 YA NDOA YA AMOS NA JESSICA MUSHALA

IMG_9718Bw.Mshala akipongezwa na Mama Kassembe. IMG_9733Mama Mushala akipongezwa na Meya. IMG_9716Bw.Mushala akipongezwa na Imma. IMG_9591Bi.Asha Nyang'anyi. IMG_9700Mr&Mrs Imanuel Bandawe a.k.a "The Boss" IMG_9635MaWinny Casey mwanzilishi wa Miss Tanzania USA akiwa na Rais wa Jumuiya ya watanzania DMV Bw.Iddy Sandaly. IMG_9596Wapendanao Lovenness na ubani wake. IMG_9675Bw.David na ubavu wake. IMG_9686Kwa furaha Bw.Tumaini na mkewe Bi. Tumaini. IMG_9689Bw.Vikta na mkewe Bi.Eda. IMG_9690Bw.Tino Malinda na mkewe Mary Mgawe.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
IMG_9625Jessica na Amos Mushala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani